Kwanini mara nyingi mwanamke anapotangulia kufariki mume naye huwa hachukui siku nyingi?

Kwanini mara nyingi mwanamke anapotangulia kufariki mume naye huwa hachukui siku nyingi?

Twende kinyume chake:

👉Mke wa nyerere yupo
👉Mke wa mkapa yupo
👉Mke maalim seif yupo
👉Mke wa Mandela yupo
👉Mke wa Muhammad Alli yupo
Ongeza hapo:
• Mama Ngina Kenyatta
• Mke wa mzee Karume, rais wa kwanza wa Zanzibar aliyefariki miaka 52 iliyopita.

Nadhani kwa hawa niliotaja hapa itakuwa walitofautiana sana umri.
 
Ongeza hapo:
Mama Ngina Kenyatta
Mke wa mzee Karume, rais wa kwanza wa Zanzibar aliyefariki miaka 52 iliyopita.

Nadhani kwa hawa niliotaja hapa itakuwa walitofautiana sana umri.
Yes kwa hao kidogo age difference ni kubwa
 
Inashangaza mara nyingi mwanamke anapotangulia kabla ya mwanamme

👉Mwanaume huwa hadumu sana hii ni kwasababu zipi?

👉Lakini mwanaume akutangulie kuna possibility kubwa mwanamke akabaki

Mifano halisi
👉 Mke wa Ephraim kibonde alipofariki kibonde alifuata mwaka uliofuata

👉Mzee Kigunge alianza mkewe yeye alafuata miezi michache tu

👉Mzee mengi alianza mkewe, Mengi akafata mwaka uliofuata vifo vyao havikuachana interval kubwa below one year (hii mitatu inatosha)

Twende kinyume chake:

👉Mke wa nyerere yupo
👉Mke wa mkapa yupo
👉Mke maalim seif yupo
👉Mke wa Mandela yupo
👉Mke wa Muhammad Alli yupo
(Mingine mnazijua)

Ebu tuambizane siri ni ipi wakuu tuzungumzie angle zote nne kiuchumi, kijamii, kiimani na kisaikolojia

Karibuni kwa michango
Itakuwa wameambukizana ugonjwa , na bahati mbaya ugonjwa wenyewe hauna subira
 
Inashangaza mara nyingi mwanamke anapotangulia kabla ya mwanamme

👉Mwanaume huwa hadumu sana hii ni kwasababu zipi?

👉Lakini mwanaume akutangulie kuna possibility kubwa mwanamke akabaki

Mifano halisi
👉 Mke wa Ephraim kibonde alipofariki kibonde alifuata mwaka uliofuata

👉Mzee Kigunge alianza mkewe yeye alafuata miezi michache tu

👉Mzee mengi alianza mkewe, Mengi akafata mwaka uliofuata vifo vyao havikuachana interval kubwa below one year (hii mitatu inatosha)

Twende kinyume chake:

👉Mke wa nyerere yupo
👉Mke wa mkapa yupo
👉Mke maalim seif yupo
👉Mke wa Mandela yupo
👉Mke wa Muhammad Alli yupo
(Mingine mnazijua)

Ebu tuambizane siri ni ipi wakuu tuzungumzie angle zote nne kiuchumi, kijamii, kiimani na kisaikolojia

Karibuni kwa michango
Kwahiyo unataka kusema Babu Tale nae si muda mrefu!?
 
Inashangaza mara nyingi mwanamke anapotangulia kabla ya mwanamme

👉Mwanaume huwa hadumu sana hii ni kwasababu zipi?

👉Lakini mwanaume akutangulie kuna possibility kubwa mwanamke akabaki

Mifano halisi
👉 Mke wa Ephraim kibonde alipofariki kibonde alifuata mwaka uliofuata

👉Mzee Kigunge alianza mkewe yeye alafuata miezi michache tu

👉Mzee mengi alianza mkewe, Mengi akafata mwaka uliofuata vifo vyao havikuachana interval kubwa below one year (hii mitatu inatosha)

Twende kinyume chake:

👉Mke wa nyerere yupo
👉Mke wa mkapa yupo
👉Mke maalim seif yupo
👉Mke wa Mandela yupo
👉Mke wa Muhammad Alli yupo
(Mingine mnazijua)

Ebu tuambizane siri ni ipi wakuu tuzungumzie angle zote nne kiuchumi, kijamii, kiimani na kisaikolojia

Karibuni kwa michango
Amin
 
Inategemea na sababu ya kifo, kama ni maambukizi then yanafikia muda immunity inagota, kama ilikua ni uzee au non communicable disease wanaobaki wanadumu sana tu, kama mama Maria Nyerere tangu mumewe afariki si tayari ni umri wa mtu mzima?
Mkuu una mchango wa hatari sana , napenda mno 🤔🤔🤔nashauri ufungue nyuzi kabisa🤔
 
Inashangaza mara nyingi mwanamke anapotangulia kabla ya mwanamme

👉Mwanaume huwa hadumu sana hii ni kwasababu zipi?

👉Lakini mwanaume akutangulie kuna possibility kubwa mwanamke akabaki

Mifano halisi
👉 Mke wa Ephraim kibonde alipofariki kibonde alifuata mwaka uliofuata

👉Mzee Kigunge alianza mkewe yeye alafuata miezi michache tu

👉Mzee mengi alianza mkewe, Mengi akafata mwaka uliofuata vifo vyao havikuachana interval kubwa below one year (hii mitatu inatosha)

Twende kinyume chake:

👉Mke wa nyerere yupo
👉Mke wa mkapa yupo
👉Mke maalim seif yupo
👉Mke wa Mandela yupo
👉Mke wa Muhammad Alli yupo
(Mingine mnazijua)

Ebu tuambizane siri ni ipi wakuu tuzungumzie angle zote nne kiuchumi, kijamii, kiimani na kisaikolojia

Karibuni kwa michango
Kama hatumii kileo Wenda hahahha
 
😂😂
Mke akitangulia kufa,kwa sababu ya wivu wake lazima akuvute Mume wake umfuate huko aliko ndani ya muda mfupi tu baada ya yeye kuondoka,wakati sisi wanaume tukitangulia huko huwa hatuna habari ya kuwavuta wake zetu watufuate huko tuliko maana tunakua huru zaidi huko kuzimu!!
😂jaman
 
MASIMANGO kutoka kwa jamii,..mume utaambiwa ulikuwa mkali sana kwa mkeo, unampiga, unamcheat , haumtunzi, maisha ya mtoto watu yalianza kuwa magumu toka ulipomuweka ndani, una nuksi na gundu we mwanaume hadi mtoto wa watu akafa...
 
Nimeelewa sana..labda nikwambie endapo mwanamke akakufanyia hayo Kisha yeye akatangulia kufariki je wewe utachukua mda mrefu kuishi.!?
Mkeo tu ndo ana roho ya kishetani kukutilia steel wire kwenye chakula wengine hawako hivyo.
Hoja kwanini tufe mapema baada ya kufa mke? Siyo kulishwa wire.
 
Inashangaza mara nyingi mwanamke anapotangulia kabla ya mwanamme

👉Mwanaume huwa hadumu sana hii ni kwasababu zipi?

👉Lakini mwanaume akutangulie kuna possibility kubwa mwanamke akabaki

Mifano halisi
👉 Mke wa Ephraim kibonde alipofariki kibonde alifuata mwaka uliofuata

👉Mzee Kigunge alianza mkewe yeye alafuata miezi michache tu

👉Mzee mengi alianza mkewe, Mengi akafata mwaka uliofuata vifo vyao havikuachana interval kubwa below one year (hii mitatu inatosha)

Twende kinyume chake:

👉Mke wa nyerere yupo
👉Mke wa mkapa yupo
👉Mke maalim seif yupo
👉Mke wa Mandela yupo
👉Mke wa Muhammad Alli yupo
(Mingine mnazijua)

Ebu tuambizane siri ni ipi wakuu tuzungumzie angle zote nne kiuchumi, kijamii, kiimani na kisaikolojia

Karibuni kwa michango
Hizo takwimu za kichwani kwako! Hazina uhalisia katika mapana!
 
Hatuwezi kufikiri wote kwa mtazamo sawa mkuu..
Ndio maana wanawake wengi utaskia wanaulizia ukifa watoto wataishije..
Mara nyingi mwanamke anachowaza yeye ni kwamba mwanaume wake atawai kufa kuliko yeye..
1) sababu moja ni kwamba tunaoa wanawake ambao tumewazidi umri kivyovyote vile lazima wewe mwanaume utatangulia tu kufariki
2) wanatutanguliza kwa namna wanavyojua wenyewe akiwa kasharidhika na uzazi, ameshajua mianya yote ya uchumi wako.
3) Kuna umri ukifika utaona Mama anakazana sana kupika chakula Cha baba na sio house girl tena.hapo shtuka
Ni hatari sana! Ila hiyo atakuwa siyo mke mkuu! Yaani akuwekee steel wire kisa ni nini? Tuishi nao kwa akili!
 
Inashangaza mara nyingi mwanamke anapotangulia kabla ya mwanamme

👉Mwanaume huwa hadumu sana hii ni kwasababu zipi?

👉Lakini mwanaume akutangulie kuna possibility kubwa mwanamke akabaki

Mifano halisi
👉 Mke wa Ephraim kibonde alipofariki kibonde alifuata mwaka uliofuata

👉Mzee Kigunge alianza mkewe yeye alafuata miezi michache tu

👉Mzee mengi alianza mkewe, Mengi akafata mwaka uliofuata vifo vyao havikuachana interval kubwa below one year (hii mitatu inatosha)

Twende kinyume chake:

👉Mke wa nyerere yupo
👉Mke wa mkapa yupo
👉Mke maalim seif yupo
👉Mke wa Mandela yupo
👉Mke wa Muhammad Alli yupo
(Mingine mnazijua)

Ebu tuambizane siri ni ipi wakuu tuzungumzie angle zote nne kiuchumi, kijamii, kiimani na kisaikolojia

Karibuni kwa michango
Wanaume pamoja na maguvu, ni tegemezi sana kwa mwanamke.
 
Uhai wa binadamu na mwisho wake unapangwa na Mungu mwenyewe.
 
Siri Yao ipo jikoni siku umemkorofisha anakupikia chakula kitamu anachanganya na steel wire kidogo kwenye mboga..we ukija unabugia vyuma tu
Utakua unaishi na shetani linataka kukuuwa hilo!!
 
Back
Top Bottom