Kwanini mara nyingi mwanamke anapotangulia kufariki mume naye huwa hachukui siku nyingi?

Twende kinyume chake:

👉Mke wa nyerere yupo
👉Mke wa mkapa yupo
👉Mke maalim seif yupo
👉Mke wa Mandela yupo
👉Mke wa Muhammad Alli yupo
Ongeza hapo:
• Mama Ngina Kenyatta
• Mke wa mzee Karume, rais wa kwanza wa Zanzibar aliyefariki miaka 52 iliyopita.

Nadhani kwa hawa niliotaja hapa itakuwa walitofautiana sana umri.
 
Ongeza hapo:
Mama Ngina Kenyatta
Mke wa mzee Karume, rais wa kwanza wa Zanzibar aliyefariki miaka 52 iliyopita.

Nadhani kwa hawa niliotaja hapa itakuwa walitofautiana sana umri.
Yes kwa hao kidogo age difference ni kubwa
 
Itakuwa wameambukizana ugonjwa , na bahati mbaya ugonjwa wenyewe hauna subira
 
Kwahiyo unataka kusema Babu Tale nae si muda mrefu!?
 
Amin
 
Inategemea na sababu ya kifo, kama ni maambukizi then yanafikia muda immunity inagota, kama ilikua ni uzee au non communicable disease wanaobaki wanadumu sana tu, kama mama Maria Nyerere tangu mumewe afariki si tayari ni umri wa mtu mzima?
Mkuu una mchango wa hatari sana , napenda mno 🤔🤔🤔nashauri ufungue nyuzi kabisa🤔
 
Kama hatumii kileo Wenda hahahha
 
😂😂
😂jaman
 
MASIMANGO kutoka kwa jamii,..mume utaambiwa ulikuwa mkali sana kwa mkeo, unampiga, unamcheat , haumtunzi, maisha ya mtoto watu yalianza kuwa magumu toka ulipomuweka ndani, una nuksi na gundu we mwanaume hadi mtoto wa watu akafa...
 
Nimeelewa sana..labda nikwambie endapo mwanamke akakufanyia hayo Kisha yeye akatangulia kufariki je wewe utachukua mda mrefu kuishi.!?
Mkeo tu ndo ana roho ya kishetani kukutilia steel wire kwenye chakula wengine hawako hivyo.
Hoja kwanini tufe mapema baada ya kufa mke? Siyo kulishwa wire.
 
Hizo takwimu za kichwani kwako! Hazina uhalisia katika mapana!
 
Ni hatari sana! Ila hiyo atakuwa siyo mke mkuu! Yaani akuwekee steel wire kisa ni nini? Tuishi nao kwa akili!
 
Wanaume pamoja na maguvu, ni tegemezi sana kwa mwanamke.
 
Uhai wa binadamu na mwisho wake unapangwa na Mungu mwenyewe.
 
Siri Yao ipo jikoni siku umemkorofisha anakupikia chakula kitamu anachanganya na steel wire kidogo kwenye mboga..we ukija unabugia vyuma tu
Utakua unaishi na shetani linataka kukuuwa hilo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…