citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Apokelewe na balozi wetu au mwambata wa kijeshiMathalani Rais wetu kipenzi mh. SSH amekwenda MAREKANI kwa ajili ya MKUTANO WA UMOJA WA MATAIFA-UNITED NATIONS GENERAL ASSEMBLY(UNGA) ambao huhudhuriwa na marais wengi sasa ulitaka AKAPOKELEWE NA mh.Rais Joe Biden?!!!Khaaa😲
JPM mbona mnaruhusu awatese hivyo japo kafa? Kweli jamaa alikuwa jiwe. Vipi mirija bado imekatika[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mfu ndio hata kutua hataruhusiwa,atatua huko mexico then atembee kwa miguu mpaka New York!
Yule jamaa mfu kweli yaani
Huyo analeta ushabiki tu Marais wa nchi mbalimbali wanahudhuria mkutano na mapokezi ni kama hayo hayo why washangae ya Rais.Inawezekana hajui, itapendeza zaidi wewe unayejua ukamwelimisha.
Hana point huo ni mkutano wa UN mkuu na sio mwaliko wa Rais Biden so kuna utifauti, pia nyie mumezoea mapokezi ya kishamba ka yetu kule mbelezi hamna huo ujingaBut he has a point
nahisi kwenye hotuba yake atazungumzia wanawake kupewa nafasi za uongozi kama vile yeye ndio mwanamke wa kwanza kutawalaMapokezi unaangalia nani wa kumpa pia. Sasa kama hawa wetu wenye Falsafa ya Mwanamke naye ni zamu atawale bila kujali Agenda, unategemea nini. Wenzetu Raisi ni mtu mwenye maono makubwa. Kimsingi Viongozi wengi wa Afrika wanachukuliwa kama Ceremonial Presidents tu.
Akienda kwa 'mwaliko' nafasi ya urais inapanda na akienda kuhudhuria nafasi ya urais inashuka?.Alienda kama rais JMT kwa mwaliko maalum na JF Kennedy,sio kuhudhuria UN Comittee.
Nafikiri raisi Jk alipokelewa White House kwa mwaliko maalumu wa raisi Bush na raisi Obama Kwa vipindi tofautiRais wa Mwisho kupokelewa alikuwa Nyerere tu.
Kwani hiyo ni state visit?Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.
Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.
Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.
Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Kipindi hicho JMT haikuwepo. Alikuwa rais wa Jamhuri ya TanganyikaAlienda kama rais JMT kwa mwaliko maalum na JF Kennedy,sio kuhudhuria UN Comittee.
Africa tunadharaulika sana, Trump ni moja ya maraisi ambae alituchana makavu kwamba inabidi tutawaliwe tena, mwanaume ni Kim wa NK, jamaa alimkaribisha Papa kijeshi licha ya kuwa ni kiongozi wa kidini.
Najisikia uchungu sana kuona bara langu na taifa tukidharaulika kiasi hiki,
Obama alikuja wakakata mpaka miti airport, waka install radar zao, yaani wanajifanya very special, tukawafagilia na barabara, tshirt zikachapwa, mabango yakatengenezwa
Hivi Africa tulikosa nini?
Yeye siyo mgeni wa Marekani.Amekwenda UNO ambayo iko MarekaniLeo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.
Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.
Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.
Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Marais wa nchi za Afrika zaidi ya 90% wanatamani kwenda Marekani pia.Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.
Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.
Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.
Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Magufuli tutakukumbuka daimaLeo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.
Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.
Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.
Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?