Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Hapa kuna vitu viwili vya kuelewa;
1. Huu ni ugeni wa UN hivyo Us hawezi kugharamia mgeni asiyekuwa wake isipokuwa ulinzi wakawaida tu

2. Unajua ukienda kwa tajiri utapokelea na walinzi lakini tajiri akija kwako atapokelewa na ukoozima na majirani tele
 
Kaenda kwenye mkutano wa UN sasa raisi w a Marekani a tapokeamaraisi wangapi maana wanaoudhuria ni wengi.
By the hebu muone councellor wa Germany, kila kitu anatumia mshahara wake kuanzia anapoishi, shopping anaenda mwenyewe supermarket anafanya manunuzi anafanya kila kitu ambachoraia anafanya siyo kwa mapenzi yake ndivyo mfumo w ao ulivyo. Mtu akama huyo hawezi kuongeza ongeza makodi kwakuwa anajua uchungu wake maana anatumia mshahara wake.
Mbona unalinganisha binadamu mkuu na sokwe.
Afrika sio kabisa sijui Bora tu mzungj arudi amtawale.
Kiongozi hawazi nchi yake. Anaangalia kuridhisha nafsi yake
 
Atapokea wangapi? Kila week atashinda Airport?
Pia wengi wetu wanaenda kuomba so lazima wa waoneshe kutojali coz hawana shida kama zako.
Mbona Nyerere alikuwa ana pokelewa na viongoz wakubwa, mfano Queen Elizabeth, John Kennedy tena kwa heshima
 
Angekua Nyerere ingekua ishu ingine

Angekua Kikwete ingekua ishu ingine

Angekua Uhuru Kenyatta ingekua ishu ingine

Angekua Raila Odinga ingekua ishu ingine

Angekua Ramaphosa ingekua ishu ingine

Ila ni huyo nanii wenu who cares aisee?Kafieni huko
Ongeza Hayati Magufuli hapo..
 
😲😲Mkuu wewe ni mkomunisti eee?!! 🤣
Yes! Ubabe wa kimaendeleo lazima itumikemwanzoni ili tupate maendeleo na sio kukaa kupigapiga mdomo tu.
Tukishakuwa na maendeleo achia Uhuru hata ukitaka kulana hadharani nyie kuleni Ila sie masikini ni kuchapa kazi tu.
Mkulima apewe kila kitu afu asipozalisha atoe maelezo tatizo kulikuwa ni Nini.
 
Mbona Nyerere alikuwa ana pokelewa na viongoz wakubwa, mfano Queen Elizabeth, John Kennedy tena kwa heshima
Nyerere alikuwa alikuwa utafananisha na Hawa mafisadi wa siku hizi kweli.
Kumbuka hao vizazi vya 1920s walikuwa tayari kufa ili nchi zao wapate Uhuru.
Siku hizi wako tayari kuuza nchi zao wapate hela.
So imekuwa vice versa.
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
C ameenda kwenye mkutano wa UN ambao unajumuisha maraisi wengi sasa unadhani watapokea wangap mkuu, wataacha kufanya kazi zao za kujenga taifa kazi iwe kupokea tuu
 
Kwani siku ile hayalt magufuli anakabidhiwa uenyekiti wa sadec,Marais wa nchi za sadec walikua wanapokelewa na Nani hapa Tanzania.
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Kuna mkutano wa UN na hakwenda kwa mualiko rasmi wa rais wa marekani....
 
Ungejua wamarekani wengi hata hawajui kuwa kuna nchi inaitwa Tanzania sasa sembuse rais wake. Hii tabia ya kutetemekea watawala na kuwasujudia ni kwa waafrika tu.
 
Mzungu gani mwenye Akili timamu aache kazi zake muhimu aende akampokee mtu anae sema Kuna Magaid wamehukumiwa wakati kesi ndio Kwanza imeanza?Unafikir wale Mabalozi wanao hudhuria Mahakamani hawapeleki taarifa kwao?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Nashangaaa Kama weee
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Mkome! Nyie ndio siku zote mnashobokea wazungu.
 
Ushawahi kumuona tajiri anajipendekeza kwa watu wenye hali duni
Mbona aliyekaribiswa ni tajiri kuliko wao waliomkaribisha? Hivi hayati JPM kumbe hakuwahi kueleweka? Apumzike kwa amani.
Ni staili yao ya mapokezi tu, wanajua viwanja vyao vya ndege viko salama, especially wanapokuwa wana uhakika kuwa hakuna watu maghaidi ambao wanaweza kuwa wapo maeneo yale
 
ma rais wetu huitwa wanaotokea nchi zisizo na ustarabu (hovyo)

a)wakuheshimu wann akati unaenda kuomba msaada

b)marekani inahusikaje hapo kwani ndio kawaita hapo inahusika UN iliyowaita huko kwamkutano

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Hawa jamaa huwa wanathamini what’s in your heart and what’s in your head! hawajali saana profile yako! Wakisha jua una natural power of love watakupa unyenyekevu feki ilimradi wapate ideas kutoka kwako! Zikiisha jipange kupambana na FITINA!
 
Back
Top Bottom