Uchaguzi 2020 Kwanini Marais wanaoangalia maslahi ya nchi zao hawatakiwi na Marekani?

Tatizo siyo kuwakazia mataifa ya nje...

Tatizo linakuja pale unapokazia mpaka wananchi wake mwenyewe...



Cc: mahondaw

Kanuni za kuongoza nchi yeyeto duniani ni mbili
. usisomeshe namba watu wak
.usiwachokoze wakuu wa dunia
Hapo ni lzm uvune ulichopanda
 
Vipofu na viziwi tu ndiyo wanaweza wakasema Marekani kuna haki za binadamu, werevu tunaona ukiukwaji wa haki za binadamu mara kibao na raia wanauawa wazi wazi, wanakuja kupora mali zetu kwa jina la demokrasia, haki za binadamu na brabra nyingi, halafu watu wanaojiita wasomi kumbe ni wavivu waliozoea kuiba na kufisadi ndio wanaunga mkono, kosa vyote kuliko kukosa jicho na akili ya kung' mua yaliyojificha nyuma ya pazia. Kamwe Tanzania haiwezi kuwa chini ya wasaliti, mapandikizi na waliojaa roho mbaya kama Lisu na orodha yao kwa ujumla.
 
Daaaaaaah Kwenye mfano hapo ndo ulipoaribu uhalisia wa mada, Magufuli hangalii maslahi ya nchi, ila angalia maslahi ya tumbo lake
 
Umetumwa wewe
 
Tatizo uyu ni mshamba.anaendesha nchi kawa wote wasukuma
 
Hivi kweli watanzania leo tuone Tanzania ikiongozwa na mawaziri ya aina ya Hallima Mdee, Lema ama Heche. Dunia itatushangaa sana
Sasa ivi wanashanga kweli kuongozwa na uyu eti phd holder.mara maendeleo hayana vyama,Mara kwenye upinzani sileti maendeleo,wanatushangaa kweeeli kweli
 
Asante mkuu.eti nchi huru yangu 1961 halafu kuna watu wasiojulikana??upuuzi tu huo.waje tu wazungu
 
hakuna mtu au Mtanzania aliemchukia Magufuli,wananchi wanaichukia CCM ,msimbakizie matatizo Magu,hili linawahusu CCM wote kwa ujumla wao,matatizo kuanzia serikali kuu mpaka serikali za mitaa ni shida tu.

CCM walifunga mikutano kwa vyama vingine,Mauaji mengi yasio na maelezo ya uhakika yametokea kiasi sasa wananchi wanaishi kwa hofu,kubambikiziwa kesi kumekuwa jambo la kawaida chini ya utawala wa CCM ,yaani ni shida tu,

sasani zamu ya wananchi kuamua na mnatakiwa muheshimu,tume ikivuruga na wao watavurugwa.
 
Inasemekana hio ni fomu kutoka sehemu za Tunduru wameletewa,angalia hayo majina utajua imenyofolewa sehemu gani hapa Tanzania bara.
 

..unadhani kati ya Syria na Saudi Arabia Marekani anaipenda nchi gani?

..anaipenda zaidi Saudia. kwasababu, kwanza wana amani, na pili wana viongozi mafisadi.

..huko Syria mpaka watoe hayo mafuta ni lazima warushiane marisasi, mabomu, drones, it is just too costly and risky.

..Wamarekani na mabeberu do not want failed states. Failed states zinaongeza gharama za wao kuiba rasilimali za nchi changa.

..Habari ya kusema kwamba mabeberu wanataka kutuletea vita ni uongo na tunapaswa kuukataa.

..Vita huwa zinatokea ktk nchi ambazo kuna uminywaji wa haki. Na vita ikitokea mabeberu watakuja kuuza silaha, lakini silaha wanazouza inategemea na ukubwa na sophistication ya wanaopigana vita.

..Again, mabeberu wanapenda nchi yenye amani, yenye rasilimali, na yenye kiongozi fisadi. Hawapendi nchi yenye vita.

NB:

..mimi sipendi vita hata kidogo.
 
Mbona Rais wa Misri Sisi ni dikteta na muuaji mkubwa lakini mpaka leo anapewa misaada na heshima zote na Marekani.
Hawa Marekani ni wahuni wakubwa
Unatuambia sisi kinakuhusu nini??? Hujui siasa za mashariki ya kati kwa iyo kaa kimya. Kwa Mashariki ya kati Marekani anataka mtu wa kuhakikisha Israel inakuwa salama tu!
 
Madikteta wote yafaa wayashughulikie ndio yanaingiza dunia gharama za kuhudumia wakimbizi sababu ya malezi mabovu utotoni
 
Maslahi ya nchi au wananchi?
Tumia akili kidogo ulizibaki nazo
Tunataka tuishi vizuri,chakula kipatikane kwa uhakika kwa kuanzisha skim za umwagiliaji,mazao tuuze kwa maslahi,elimu iwe bora kwa kulipa vizuri walimu.

Huduma za afya ya uhakika na kwa bima.
Siyo midege na sgr
 
Chama Cha kikominist cha China kimetawala miaka 70 na leo China ndio nchi yenye uchumi mkubwa duniani. Rais Magufuli ametawala miaka 5 na ameonyesha uwezo mkubwa kwanini asipewe miaka 5 mingine akamilishe kazi zote alizozianzisha.
We unadhani ni kwa sababu gani uchumi wetu haufiki angalau asilimia 50% ya ule wa china ikiwa tumepishana miaka 11 pekee kiungozi?
 
Mkuu unaongelea vikwazo 2025? Amini usiamini ngoja jiwe atangazwe na tume alafu baada ya muda utaniambia,l. Tena yawezekana ikawa vikwazo na baadhi ya watu kuburuzwa The Hague, mark my word
 
Namibia wana UCHUMI mzuri sana, tatizo la Magufuli hana utu
 
Mkuu unaongelea vikwazo 2025? Amini usiamini ngoja jiwe atangazwe na tume alafu baada ya muda utaniambia,l. Tena yawezekana ikawa vikwazo na baadhi ya watu kuburuzwa The Hague, mark my word
Kwani ni serious kiasi hicho?
 
Hii pumba uliyoandika hapa haiendani kabisa na umri wako. Daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…