Kwanini Marais wengi wa barani Afrika hupenda kulindwa na watu watokao kwao au hata ndugu zao?

Kwanini Marais wengi wa barani Afrika hupenda kulindwa na watu watokao kwao au hata ndugu zao?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nina Taarifa za uhakika (100%) kwa Kujiamini kabisa (kama ilivyo Desturi yangu GENTAMYCINE) kuwa kuna Rais Mmoja Afrika (kwa sasa nimemsahau Jina) analindwa na Wajomba zake Wawili huku Mwingine akiwa ni Mfanyakazi wake wa Ndani ambaye pia ndiye aliyemlelea Wanawe Wakubwa Wawili (Mmoja Kazaa na Wanaume Wawili) kwa Nyakati tofauti.

Na Taarifa zaidi zinasema hao Wajomba zake Wawili na huyo aliyekuwa Mfanyakazi wake wa Ndani Kipindi cha Nyuma ndiyo wana Sauti Kubwa ya Kiulinzi Kwake na ndiyo anawasikiliza kuliko Mtu Mwingine yoyote.

Na sasa huyo Rais wa Barani Afrika (ambaye kwa bahati mbaya kwa sasa nimemsahau Jina ila nikimkumbuka baadae nitamtaja japo anatokea AU na SADC) anajiandaa Kupeleka Ndugu zake Wengine Kikosini na waende Kozi ya VIP Protection ili ikiwezekana basi 98% ya Wanaomlinda au Watakaomlinda wawe ni Ndugu zake na anaowaamini na siyo alindwe na GENTAMYCINE ambaye hajulikani kama no Mnyarwanda au ni Mmalawi au ni Mbotswana.

ANGALIZO

Sijamtaja hapa Rais yoyote kwa Jina lake na Nchi anayotoka sasa Wewe jifanye Kiherehere na unaujua mno Ubongo wa GENTAMYCINE na anayemlenga kisha Ujipendekeze Kumtaja nikupe za Uso Weekend yako uishuhudie huku ukiwa na Usununu (Hasira) nami.
 
Nina Taarifa za uhakika ( 100% ) kwa Kujiamini kabisa ( kama ilivyo Desturi yangu GENTAMYCINE ) kuwa kuna Rais Mmoja Afrika ( kwa sasa nimemsahau Jina ) analindwa na Wajomba zake Wawili huku Mwingine akiwa ni Mfanyakazi wake wa Ndani ambaye pia ndiye aliyemlelea Wanawe Wakubwa Wawili ( Mmoja Kazaa na Wanaume Wawili ) kwa Nyakati tofauti.

Na Taarifa zaidi zinasema hao Wajomba zake Wawili na huyo aliyekuwa Mfanyakazi wake wa Ndani Kipindi cha Nyuma ndiyo wana Sauti Kubwa ya Kiulinzi Kwake na ndiyo anawasikiliza kuliko Mtu Mwingine yoyote.

Na sasa huyo Rais wa Barani Afrika ( ambaye kwa bahati mbaya kwa sasa nimemsahau Jina ila nikimkumbuka baadae nitamtaja japo anatokea AU na SADC ) anajiandaa Kupeleka Ndugu zake Wengine Kikosini na waende Kozi ya VIP Protection ili ikiwezekana basi 98% ya Wanaomlinda au Watakaomlinda wawe ni Ndugu zake na anaowaamini na siyo alindwe na GENTAMYCINE ambaye hajulikani kama no Mnyarwanda au ni Mmalawi au ni Mbotswana.

ANGALIZO

Sijamtaja hapa Rais yoyote kwa Jina lake na Nchi anayotoka sasa Wewe jifanye Kiherehere na unaujua mno Ubongo wa GENTAMYCINE na anayemlenga kisha Ujipendekeze Kumtaja nikupe za Uso Weekend yako uishuhudie huku ukiwa na Usununu ( Hasira ) nami.
Hahahahhahhah,ngoja nicheke kidogo ( Kwamba atakaejipendekeza ni za uso)
 
Kumbe huyo rais ni ke!!
tiyari umeshamtaja dadeki 😅
Hivi kumbe ukisema Wanawe Wawili kwa Akili fupi hapa unakuwa umemaanisha Mwanamke na kwamba Mwanaume hawezi kuwa na Wanae / Wanawe?
 
Hivi kumbe ukisema Wanawe Wawili kwa Akili fupi hapa unakuwa umemaanisha Mwanamke na kwamba Mwanaume hawezi kuwa na Wanae / Wanawe?
Usiukane mwandiko wako, umeandika "kazaa watoto wawili na wanaume wawili tofauti" Kwa maana hiyo kazalishwa na vidume wawili, so lazima huyo rais awe pambo la nyumbani 😂
 
Nina Taarifa za uhakika ( 100% ) kwa Kujiamini kabisa ( kama ilivyo Desturi yangu GENTAMYCINE ) kuwa kuna Rais Mmoja Afrika ( kwa sasa nimemsahau Jina ) analindwa na Wajomba zake Wawili huku Mwingine akiwa ni Mfanyakazi wake wa Ndani ambaye pia ndiye aliyemlelea Wanawe Wakubwa Wawili ( Mmoja Kazaa na Wanaume Wawili ) kwa Nyakati tofauti.

Na Taarifa zaidi zinasema hao Wajomba zake Wawili na huyo aliyekuwa Mfanyakazi wake wa Ndani Kipindi cha Nyuma ndiyo wana Sauti Kubwa ya Kiulinzi Kwake na ndiyo anawasikiliza kuliko Mtu Mwingine yoyote.

Na sasa huyo Rais wa Barani Afrika ( ambaye kwa bahati mbaya kwa sasa nimemsahau Jina ila nikimkumbuka baadae nitamtaja japo anatokea AU na SADC ) anajiandaa Kupeleka Ndugu zake Wengine Kikosini na waende Kozi ya VIP Protection ili ikiwezekana basi 98% ya Wanaomlinda au Watakaomlinda wawe ni Ndugu zake na anaowaamini na siyo alindwe na GENTAMYCINE ambaye hajulikani kama no Mnyarwanda au ni Mmalawi au ni Mbotswana.

ANGALIZO

Sijamtaja hapa Rais yoyote kwa Jina lake na Nchi anayotoka sasa Wewe jifanye Kiherehere na unaujua mno Ubongo wa GENTAMYCINE na anayemlenga kisha Ujipendekeze Kumtaja nikupe za Uso Weekend yako uishuhudie huku ukiwa na Usununu ( Hasira ) nami.
Bila kwenda mbali sana. Sabaiu ni kuwa hao marais ni wakabila pro max
 
mods(moderators) futeni huu uzi ( thread) wa huyu mtoa taarifa ( mtoa mada) kwa sababu uz ( thread) yake haina mantiki( maana) yoyote kwa jamii( society) ya watanzania ( watanganyika na zanzibar) wa karne hii ( karne ya ishirini na moja) au uamishieni kwenye platform( jukwaa) la vichekesho ( chit chat)

Nimekomenti ( comment) kwa kutumia handwritting ( mwandiko)wa mtoa mada
 
mods(moderators) futeni huu uzi ( thread) wa huyu mtoa taarifa ( mtoa mada) kwa sababu uz ( thread) yake haina mantiki( maana) yoyote kwa jamii( society) ya watanzania ( watanganyika na zanzibar) wa karne hii ( karne ya ishirini na moja) au uamishieni kwenye platform( jukwaa) la vichekesho ( chit chat)

Nimekomenti ( comment) kwa kutumia handwritting ( mwandiko)wa mtoa mada
Pumbavu.
 
s
Nina Taarifa za uhakika ( 100% ) kwa Kujiamini kabisa ( kama ilivyo Desturi yangu GENTAMYCINE ) kuwa kuna Rais Mmoja Afrika ( kwa sasa nimemsahau Jina ) analindwa na Wajomba zake Wawili huku Mwingine akiwa ni Mfanyakazi wake wa Ndani ambaye pia ndiye aliyemlelea Wanawe Wakubwa Wawili ( Mmoja Kazaa na Wanaume Wawili ) kwa Nyakati tofauti.

Na Taarifa zaidi zinasema hao Wajomba zake Wawili na huyo aliyekuwa Mfanyakazi wake wa Ndani Kipindi cha Nyuma ndiyo wana Sauti Kubwa ya Kiulinzi Kwake na ndiyo anawasikiliza kuliko Mtu Mwingine yoyote.

Na sasa huyo Rais wa Barani Afrika ( ambaye kwa bahati mbaya kwa sasa nimemsahau Jina ila nikimkumbuka baadae nitamtaja japo anatokea AU na SADC ) anajiandaa Kupeleka Ndugu zake Wengine Kikosini na waende Kozi ya VIP Protection ili ikiwezekana basi 98% ya Wanaomlinda au Watakaomlinda wawe ni Ndugu zake na anaowaamini na siyo alindwe na GENTAMYCINE ambaye hajulikani kama no Mnyarwanda au ni Mmalawi au ni Mbotswana.

ANGALIZO

Sijamtaja hapa Rais yoyote kwa Jina lake na Nchi anayotoka sasa Wewe jifanye Kiherehere na unaujua mno Ubongo wa GENTAMYCINE na anayemlenga kisha Ujipendekeze Kumtaja nikupe za Uso Weekend yako uishuhudie huku ukiwa na Usununu ( Hasira ) nami.
sa mbona kama umeshamtaja tu...
 
Back
Top Bottom