Kwanini Marehemu Faustine Ndugulile alienda kusoma sheria (LL.B), wakati tayari alikuwa ni Daktari (MD)?

Kwanini Marehemu Faustine Ndugulile alienda kusoma sheria (LL.B), wakati tayari alikuwa ni Daktari (MD)?

Umri wako?
Elimu yako?
Jinsia yako?
Umeuluza swali la kitoto sana

Huwezi kupractice mahakamani kama hauna LLB
Itoshe kusema wewe ni empty set
Huyu alisoma kozi za ama masomo ya history so yeye anaumia kuona daktari akasoma.llb wakati yeye hawezi kusoma MD

Kuna masomo ukisoma yaani Kila kozi chuo unasoma like pcm mpaka MD unasoma ukiwa imesoma.masomo ya pcm
 
Habari Wakuu!

Katika mapitio yangu ya CV za watu mashahuri Nchini, Week kadhaa nyuma nilipata wasaa wa kupitia CV ya the Late Hon. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa WHO kanda ya Africa.

Hivyo swali langu nilitamani kufahamu umuhimu wa MD kusomea degree ya sheria ilihali tayari yeye ni specialist kwenye Afya.

View attachment 3176412

Leaders read a lot.....
 
Hivyo swali langu nilitamani kufahamu umuhimu wa MD kusomea degree ya sheria ilihali tayari yeye ni specialist kwenye Afya.

Na huyu tuseme nini kama siyo hobby :

Professor Meja General Dr. Yadon Kohi ( TPDF / JWTZ)

Professor Yadon Kohi holds Bachelors (LLB) and Masters (LLM) degrees in Law (OUT, Tanzania), Bachelors degree in Medicine(MB ChB) (Makerere) and a Masters degree in Medicine(University of Glasgow, Scotland).

He was the first neurosurgeon in Tanzania. Professor Kohi has had a distinguished career in public service spanning more than thirty years.

He served in the Tanzania Peoples Defence Forces TPDF rising to the rank of Major General.

He has also served as the Director General of the Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH), a State Corporation created to further and promote scientific research and development. He was the vice president of the Africa Malaria Network Trust and has held teaching positions at the Open University of Tanzania.

Professor Kohi was a member of the Tanzania Academy of Sciences and a Fellow of the Royal College of Physicians Surgeons of Glasgow (RCPSG) which was founded 1599.

Professor Kohi is a distinguished expert in the fields of Medical law, Medical malpractice and negligence
 
Justice Augustino S.L. Ramadhani - United Republic of Tanzania

Justice Augustino S.L. Ramadhani – United Republic of Tanzania​

on: April 06, 2020:

Brigadier General (rtd) Justice Augustino S.L. Ramadhani hails from the United Republic of Tanzania. He was elected Judge of the African Court on Human and Peoples’ Rights in 2010 for a six year term.
He holds a Bachelor of Laws Degree from the University of East Africa (1970), a Master of Laws from the University of Dar es Salaam (1978) in International Law (the law of armed conflict) and a Bachelor of Divinity from the University of London (2004).

Immediately after obtaining his first degree Justice Ramadhani joined the Tanzania Peoples’ Defence Forces. After training in the Tanzania Military Academy, he was commissioned as a Second Lieutenant and reached the rank of Brigadier General when he was voluntarily released in 1996 when Tanzania resumed multiparty democracy.

Prior to being appointed Judge of the African Court, Justice Ramadhani was a Justice of Appeal of the United Republic of Tanzania from 1989 to 2010 when he retired after attaining the compulsory retirement age of 65 years.

In his last three years on the bench he was the Chief Justice of Tanzania from 2007 to 2010. Justice Ramadhani was also the Chief Justice of Zanzibar from 1980 to 1989. He had served as a Judge of the East African Court of Justice from 2001 to 2007.

From 1993 to 2003 Justice Ramadhani was the Vice Chairman of the National Electoral Commission which conducts presidential, parliamentary and local government elections in the United Republic of Tanzania. He held the same position in the Zanzibar Electoral Commission from 2002 to 2007.

He was the Chairman of Executive Council of the Southern African Development Community (SADC) Electoral Commission Forum in 2006 and 2007.

He has published articles on Human rights, such as ‘Promoting a New Economic Order in Developing Countries: A Role for Human Rights Organizations’, published in Speaking about Rights (Canada Human Rights Foundation Newsletter), Vol. XI No. 3/1996, and ‘Electoral Process in a Multiparty Democracy’, a chapter in the book Fundamental Rights and Freedoms in Tanzania, (Mkuki na Nyota Publishers, 1978).
 
Watu kama hao ndiyo huitwa "Wasomi"
Msomi ni mtu mwenye taaluma kadhaa katika nyanja tofauti, mfano Hayati Mzee Mugabe wa Zimbabwe (Shahada zaidi ya kumi), Tumtemeke Sanga (Shahada saba), Mwl. Nyerere, nk. Ukibobea kwenye fani/taaluma moja wewe unakuwa Mtaalamu/Mtaaluma
Lakini pia Wabunge baadhi hupenda kusoma taaluma ya sheria ili kumudu vema shughuli za kibunge hasa utungaji wa sheria. Ile ya kusema Mbunge ajue tu kusoma na kuandika imepitwa na wakati.
 
Toka maktaba :
Amb. Major General Wilbert Augustine Ibuge. Mwanajeshi ambaye ni mwanazuoni, mwalimu wa sayansi ya siasa pia mwanadiplomasia mahiri balozi meja jenerali Wilbert Ibuge akiongea na madiwani


View: https://m.youtube.com/watch?v=6OYXEMCtsGc

  • Ambassador Maj. Gen. Ibuge is currently a Ph.D. Candidate at the Department of Political Science and Public Administration of the University of Dodoma.
  • Gen. Ibuge also holds a Bachelor of Arts (BA) in Political Science and Public Administration (Honours, First Class) and a Master of Arts (MA) in Political Science and International Relations from the University of Dar es Salaam.
  • The General is also a graduate of the South African National War College (SANWC) and holder of a National Diploma (Postgraduate) in Defence and Security Studies, SANWC, Pretoria Republic of South Africa.
  • NATIONALITY: Tanzanian.
 
LLB only useful kukupa fundamentals za legal principles.

Utakachoweza pambania mahakamani ni shahada yako ya awali.

Kwa marehemu ingekuwa maswala ya tort za afya na criminal offences za afya kwa kuzielewa sheria za Tanzania.

Kusoma LLB ili uwe muhitimu wa sheria inabidi kwanza uwe chini ya mwanasheria anae deal na specialisation yako ya fist degree (kwa Ndugulile ni maswala ya afya).

But don’t kid yourself mtu kusoma LLB anajua sheria in general, rather only minor legal principles on how to argue.

Faida yake ni kwa maswala ya degree yake ya awali tu; nothing more.

Mtu ambae kasoma medicine na ana LLB hawezi kukutea kwenye kesi ya kodi, contract na sehemu kubwa ya orodha ya mashtaka ya serikali.

Moreover LLB aina maana bila ya qualified lawyer.

Just to give you a perspective, yaani wabongo mnatukuza elimu balaa. LLB yenyewe ya open university.
 
Back
Top Bottom