Kwanini Marekani waliamua wasimchague Rais mwanamke kuwaongoza?

Kwanini Marekani waliamua wasimchague Rais mwanamke kuwaongoza?

Anayejua sababu kwanini wamarekani walikataa kumchagua Rais mwanamke kuwaongoza atujuze, wengine tunaomba kujifunza kupitia hayo maamuzi yao, si kwa ubaya lakini. Ila Mode msifute huu uzi maana mnahisia kali sana, mm sipo huko mtakapo peleka hisia zenu sawa. 😂 hapa kazi ni kujifunza tu.
Lile ni taifa kubwa lenye maadui wengi duniani, wanawake ni watu wa jikoni, kitandani na sebureni. Ndo maana kwetu hapa hatuwezi kusonga mbele, mambo mengi ni ya jikoni na sebureni. Mambo makubwa hakuna.
 

Attachments

  • VID-20241124-WA0041.mp4
    3.4 MB
Yule mama kipindi hiki ni kigumu kwa marekani kufanya maamuzi magumu kwa sera yake ya nje, kuna vita huko ukraine na urusi, makundi ya kipalestina na israel, hali tete ya iran kuingia vitani upande wa vikundi vya kipalestina dhidi ya israel. Sasa angewezaje kuweka mambo sawa ikibidi ubabe utumike?
 
Anayejua sababu kwanini wamarekani walikataa kumchagua Rais mwanamke kuwaongoza atujuze, wengine tunaomba kujifunza kupitia hayo maamuzi yao, si kwa ubaya lakini. Ila Mode msifute huu uzi maana mnahisia kali sana, mm sipo huko mtakapo peleka hisia zenu sawa. 😂 hapa kazi ni kujifunza tu.
Tatizo wengi mmekaza vichwa na kung'ang'ania mnavyotaka kuskia badala ya kuchukua muda kuchunguza ukweli ulikuwaje. Manifesto ya yule mama yalikuwa kuiingiza dunia kwenye ww3. Alipoulizwa atakuja kufanya nn kuuinua uchumi ulioangushwa ndani ya uongozi wa Biden(yeye akiwa v president) hakuwa n lolote la kusema. Kuhusu wahamiaji haramu hakuwa na chochote cha kusema. Ila Alipoulizwa Kuhusu vita ya urusi dhidi ya Ukraine n genocide in Gaza, alianza kuropokwa hadi shidaah.

Nani mpuuzi kupitiliza kuamua kumchagua kibibi kichawi kinachotaka watu waendelee kuuliwa kama sisimizi kule Palestine?? Nani anataka kumchagua raisi atakayesababisha vita ya 3 ya dunia itokee?? Unafikiri Americans ni wapuuzi kama Libyans kuliangusha taifa lao wenyewe??

Trump ndio mtu sahihi kwa America. Yule kibibi ni mchawi tu mnywa damu za wanyonge. Sawa trump ni too authoritative, ila yule bibi ni mwenawazimu. Samahani cjatumia facts but mahaba ya waziwazi kwenye hoja yangu, ila nenda kafuatilie kwenye kampeni ya Kamara Harris aliwaahidi nini Americans akiwa raisi na ufuatilie manifesto za trump pia. Bila shaka utaelewa walikuwa n 2 options, kumchagua an authoritative president au chizi aliyegonga menopause *****. Bila shaka utarudi kuufuta uzi wako
 
Back
Top Bottom