Kwanini Marekani waliamua wasimchague Rais mwanamke kuwaongoza?

Kwanini Marekani waliamua wasimchague Rais mwanamke kuwaongoza?

Marekani wanachagua sera hawachagui jinsia. Hata wagombea wote wangekuwa wa kike bado mshindi angekuwa mmoja mwenye sera walizozielewa.
Ww ni mtz pekee mwenye akili waliobakia wanafananisha marekani na makabila yanayopata mlo kwa kulima kwamba nguvu zinagitajika rather than policy
 
Kwa taifa la demokrasia wanaangalia weledi na uwezo, hawaangalii jinsia. Mwanamke alishindwa kwa kura, kura zinaangalia uwezo wa mtu.
 
Mwanamke ni mwanamke tu.
Samia akıondoka madarakani hapo ndipo mtakapokua madudu anayoyafanyia nchi kwenye mikataba mibovu aloyosaoni na kuificha wananchi wasiione!
Wanawake wana tawala kwa mapenzi Ndio maana uongozi wao hushindwa!
 
Marekani wanachagua sera hawachagui jinsia. Hata wagombea wote wangekuwa wa kike bado mshindi angekuwa mmoja mwenye sera walizozielewa.
Umemjibu vizuri huyo kilaza na vilaza wenzake waliokurupuka tu na kuanza kufuata mkondo wa huyo mtoa mada. Bure kabisa
 
Marekani wanachagua sera hawachagui jinsia. Hata wagombea wote wangekuwa wa kike bado mshindi angekuwa mmoja mwenye sera walizozielewa.
Siyo kweli.Kama ni sera na uongeaji wa mbwembwe,basi Kamala angeshinda.Twende mbali zaidi ya hayo.
 
Hawakumchagua mwanamke Kwa sababu wanajua mwanamke angeiuza marekani nzima.mfano rejea mama Samia alivyoiuza Tanzania Kwa mabeberu.
 
Kule hawana muda na wapaka wanja..........mambo kike kuyapereka head office ni hatari........bora alivyoachwa akahudumie mume wake.....
 
Back
Top Bottom