Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ntakusaka nazihitaji, pump ya mafuta pia utakuwa nayo? Nadhani za Toyota zinaingiliana nataka ya kijapani.Yeah!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakusaka nazihitaji, pump ya mafuta pia utakuwa nayo? Nadhani za Toyota zinaingiliana nataka ya kijapani.Yeah!!!
Ww ni mtz pekee mwenye akili waliobakia wanafananisha marekani na makabila yanayopata mlo kwa kulima kwamba nguvu zinagitajika rather than policyMarekani wanachagua sera hawachagui jinsia. Hata wagombea wote wangekuwa wa kike bado mshindi angekuwa mmoja mwenye sera walizozielewa.
Pump itabidi kesho nichek kwanza kama ipoNtakusaka nazihitaji, pump ya mafuta pia utakuwa nayo? Nadhani za Toyota zinaingiliana nataka ya kijapani.
Poa nichekiePump itabidi kesho nichek kwanza kama ipo
unamzungumzia bi indira gandhi?Wahindi mpaka kesho wanajuta yule bibi alichowafanya
Unafahamu Angel Markel? Uliwahi kumsikia Margareth Thatcher? Wanawake ni viongozi Tena very powerfulMwanamke sio kiongozi. Uliza mataifa yenye viongozi hao. Utasikia vilio vyao
Nina furaha tu.Umelewa?
alishaponapa GONOREA UYO DADA?wanawake ni wa kutuhifazii mazee ...mwenzenu mwanajf nipo chemba hapa naenjoy utamu wa nchiii
View attachment 3160615
Good.Nina furaha tu.
Samia akıondoka madarakani hapo ndipo mtakapokua madudu anayoyafanyia nchi kwenye mikataba mibovu aloyosaoni na kuificha wananchi wasiione!Mwanamke ni mwanamke tu.
Umemjibu vizuri huyo kilaza na vilaza wenzake waliokurupuka tu na kuanza kufuata mkondo wa huyo mtoa mada. Bure kabisaMarekani wanachagua sera hawachagui jinsia. Hata wagombea wote wangekuwa wa kike bado mshindi angekuwa mmoja mwenye sera walizozielewa.
unamzungumzia bi indira gandhi?
Siyo kweli.Kama ni sera na uongeaji wa mbwembwe,basi Kamala angeshinda.Twende mbali zaidi ya hayo.Marekani wanachagua sera hawachagui jinsia. Hata wagombea wote wangekuwa wa kike bado mshindi angekuwa mmoja mwenye sera walizozielewa.
Huyu demu wako mbona ana sura pana ......??au vinasaba vya kijapani??wanawake ni wa kutuhifazii mazee ...mwenzenu mwanajf nipo chemba hapa naenjoy utamu wa nchiii
View attachment 3160615