Kwanini Marekani waliamua wasimchague Rais mwanamke kuwaongoza?

Kwanini Marekani waliamua wasimchague Rais mwanamke kuwaongoza?

Anayejua sababu kwanini wamarekani walikataa kumchagua Rais mwanamke kuwaongoza atujuze, wengine tunaomba kujifunza kupitia hayo maamuzi yao, si kwa ubaya lakini. Ila Mode msifute huu uzi maana mnahisia kali sana, mm sipo huko mtakapo peleka hisia zenu sawa. 😂 hapa kazi ni kujifunza tu.
Woman are too emotional
 
Anayejua sababu kwanini wamarekani walikataa kumchagua Rais mwanamke kuwaongoza atujuze, wengine tunaomba kujifunza kupitia hayo maamuzi yao, si kwa ubaya lakini. Ila Mode msifute huu uzi maana mnahisia kali sana, mm sipo huko mtakapo peleka hisia zenu sawa. 😂 hapa kazi ni kujifunza tu.
Madhaifu ya wanawake ni mengi, fikiria tu inasemekana leo huko Morogoro wafanyakazi wameambiwa waende kwenye msikiti mpya unaotembelewa na mama yake Lucas Mwashambwa
 
Anayejua sababu kwanini wamarekani walikataa kumchagua Rais mwanamke kuwaongoza atujuze, wengine tunaomba kujifunza kupitia hayo maamuzi yao, si kwa ubaya lakini. Ila Mode msifute huu uzi maana mnahisia kali sana, mm sipo huko mtakapo peleka hisia zenu sawa. 😂 hapa kazi ni kujifunza tu.
Unashindwa kuelewa tatizo si jinsia, ni sera za chama chake, hakuandaliwa.
Linapokuja suala la kuchagua kiongozi ngozi nyeupe huwa hazifanyi ujinga kabisa.
 
Anayejua sababu kwanini wamarekani walikataa kumchagua Rais mwanamke kuwaongoza atujuze, wengine tunaomba kujifunza kupitia hayo maamuzi yao, si kwa ubaya lakini. Ila Mode msifute huu uzi maana mnahisia kali sana, mm sipo huko mtakapo peleka hisia zenu sawa. 😂 hapa kazi ni kujifunza tu.

yani kitu watu ambacho wanashindwa kukielewa ni kwamba Kamala hakuchaguliwa si kwa sababu ya jinsia yake bali wa marekani wamemkataa kutokana na sera za chama chake washazichoka. Sasa hivi ndipo makando yake yanaanza kuibuka kwamba kwanza ni mtu ambaye ni vigumu kufanya naye kazi watu aliokuwa akifanya nao kazi ikulu karibu wote waliacha kazi.
Pia wanadai alikuwa anaigiza sana hata kule kucheka kwake kulikuwa kuigiza kabla ya hapo hakuwa hivyo.
Blacks wanadai alikuwa anajifanya ni black american wakati wala hakulelewa hivyo bali kalelewa kama mhindi.
Wanadai hakuwa na sera ila alikuwa kila kitu tu anamsingizia trump wakati chama chake ndicho kilikuwa madarakani, alikuwa anajaribu kutumia mbinu ya ccm ya kutoa lawama wakati iko madarakani toka tumepata uhuru.
Plus, wanadai hakuwa anasikiliza mtu, alikuwa anapenda kufanya mambo yake mwenyewe ndio maana report inaonyesha fedha nyingi za kampeni zimetumika ndivyo sivyo.
Si suala la jinsia bali ni suala la uwezo. Wengine wamekwenda mbali zaidi wakasema angekuwa Condoleezza Rice ingekuwa safi maana uwezo anao.
 
Unashindwa kuelewa tatizo si jinsia, ni sera za chama chake, hakuandaliwa.
Linapokuja suala la kuchagua kiongozi ngozi nyeupe huwa hazifanyi ujinga kabisa.
Kabisa, wanadhani wao wanapiga kura kama huku. Eti utasikia sasa hivi ni zamu ya mwanamke. Yani watu wanachagua kiongozi kwa sifa ya jinsia yake wala si uwezo wake.
 
Anayejua sababu kwanini wamarekani walikataa kumchagua Rais mwanamke kuwaongoza atujuze, wengine tunaomba kujifunza kupitia hayo maamuzi yao, si kwa ubaya lakini. Ila Mode msifute huu uzi maana mnahisia kali sana, mm sipo huko mtakapo peleka hisia zenu sawa. 😂 hapa kazi ni kujifunza tu.
Marekani raia wao Wana akili kubwa
 
Sababu mbalimbali zinaweza kuchangia kwa nini Marekani haijawahi kuchagua rais mwanamke. Hapa kuna baadhi ya mambo muhimu:

1. Historia na Utamaduni: Marekani ina historia ndefu ya utawala wa wanaume, na hii inaweza kuwa na athari kwenye mtazamo wa umma kuhusu uwezo wa wanawake kuwa viongozi.

2. Vikwazo vya Kijamii:
Ingawa wanawake wamefanya maendeleo makubwa katika siasa, bado wanakabiliwa na vikwazo vya kijamii na kiuchumi vinavyoweza kuathiri uwezo wao wa kugombea na kushinda uchaguzi.

3. Mawazo ya Kijinsia:
Kuna mawazo ya kijinsia ambayo yanaweza kuathiri jinsi wanawake wanavyoonekana katika siasa. Watu wengi wanaweza kuwa na mitazamo ya zamani kuhusu majukumu ya wanawake na wanaume.

4. Ujumuishaji na Msaada: Wanawake mara nyingi wanakosa rasilimali na mtandao wa msaada wanaohitaji ili kuweza kugombea kwa ufanisi. Hii inaweza kuathiri uwezo wao wa kufanya kampeni nzuri.

5. Mabadiliko ya Kisiasa: Wakati wa uchaguzi, masuala kama uchumi, afya, na usalama yanaweza kuwa na uzito zaidi kwa wapiga kura, na wanawake wanaweza kuwa na changamoto katika kujitokeza kama wagombea wa kuaminika.

Ingawa wanawake kama Hillary Clinton na Kamala Harris wameonyesha uongozi katika ngazi za juu, bado kuna kazi kubwa ya kufanywa ili kuvunja vizuizi hivi na kuhakikisha uwakilishi wa wanawake katika uongozi wa kisiasa.
 
Huwezi sema Marekani hawamtaki ilihali alipata kura na watu walimsikiliza kampeni zake, nachokiona kule hakuna kura za jinsia, Sera zako ndo zinakubeba, hushindi sababu ya jinsia yako, Hata angekuwa Trump ndo mwenye sera za huyo mwanamke na mwanamke ana sera za Trump huenda wangebadilishana matokeo ya kura.
 
Anayejua sababu kwanini wamarekani walikataa kumchagua Rais mwanamke kuwaongoza atujuze, wengine tunaomba kujifunza kupitia hayo maamuzi yao, si kwa ubaya lakini.
Sababu moawapo, alikuwa hana nia ya kumaliza vita walivyovianzisha kwenye utawala wake wa sasa.

Nyingoine ni kukumbatia lgbtq.
 
Siyo kweli.Kama ni sera na uongeaji wa mbwembwe,basi Kamala angeshinda.Twende mbali zaidi ya hayo.
Hawachagui mtu kwa uongeaji wa mbwembwe. Kwani Trump aliposhindwa na Biden napo Trump alikuwa mwanamke?

Kati ya Trump na Biden nani anaongea kwa mbwembwe na mbona Trump alishindwa.
 
kwa maslahi ya nchi yako,...unaweza mpigia kura mkeo awe raisi wa nchi yako?....🤔🤔

kwa ufupi ukiona mkeo anakushauri ushauri mzuri, bas ujue wewe huna akili, au unashauriwa na mwanaume mwenzio kupitia mdomo wa mkeo,....
 
Siyo kweli.Kama ni sera na uongeaji wa mbwembwe,basi Kamala angeshinda.Twende mbali zaidi ya hayo.
Kamala hakuwa na sera za maana kwenye uhamiaji, masuala ya kiusalama na vita, manufacturing ya Marekani, diplomasia ya Marekani kimataifa. Kamala sera zake kubwa zililenga kwenye petty issues kama kuruhusu haki ya kutoa mimba, mambo ya kijinsiia na mashoga yalikuwa muhimu kwake kuliko mambo ya msingi ya kimaisha, kutoa misaada, kulinda demokrasia duniani ilikuwa muhimu kwake wakati Trump sera yake ni Marekani kwanza.

Mtu yeyote aliyefuatilia hawa wawili angekuwa Mmarekani its more likely angempa Trump kura. Sijui unapata wapi ujasiri wa kusema Kamala alikuwa na sera nzuri kuliko Trump. Na suala la kuongea kwa mbwembwe au media PR Trump anamzidi mbali sana Kamala.

Trump alienda kwenye mgahawa akahudumia, akabeba trash truck pale team Kamala waliposema trash, akakoswa kuuwawa mara mbili. Picha za Trump zilikuwa nyingi, midahalo, mijadala, media fanfare. Alitawala vyombo vya habari sijui wewe unakomalia CNN ndio ukaona Kamala alikuwa na mbwembwe.

Polls zote za awali zilionyesha Trump anashinda. Midahalo ilionyesha Trump anajibu vizuri na atashinda. Wewe ulikuwa wapi
 
Jiulize swali; kwanini Nyoka hakwenda kwa Adam instead alimchagua Hawa? Uingereza hadi leo wanajilaumu kwa kumpa u PM mama Margaret Theacher, they will never repeat it, same as India kwa mama Indila Ghandi. Kina mama ni wazuri kwenye kuchamba; just nenda kasikilize hata hotuba za mama Harris Kamala akiwa anamjibu Trump, alikua anamchamba tu.
Kuna watu wanazungumzia sera eti, hebu warudishe kumbukumbu nyuma kidogo hapo hapo USA, mwanzoni mama Hilary Clinton alionesha Nia ya kugombea through chama chake, Obama nae pia, guess what? Democrats waliona bora wampe Blackman kuliko mwanamke Hillary; remember kwa maana ya experience, Hillary may be she could do better cause her husband was an Ex president of USA, not only ex president but alikua rais aliyeimarisha sana uchumi wa USA kwa kipindi chake, wakati hu ndio marekani ilikua imeyumba kiuchumi sana baada ya Bush kupigana vita 2, Afghanistan na Iraq, makampuni kadhaa yalifirisika na mabenki kadhaa yalifungwa, never on their history but they opt to go with a Man not a woman, well baada ya Obama kutoka madarakani, mama huyu si alishinda kwa kura za wananchi dhidi ya Trump? What happened? Wahafidhina wakaona bora kumpa tajiri asie na uzoefu wowote wa kisiasa, huyu sasa kihistoria ni mzee wa starehe na totoz, Hillary aliongoza vizuri sana ukamatwaji na mauaji ya Osama Bin Laden but Americans said No to their highest office. Mwisho, USA wanawake wameanza kuhurusiwa kupiga KURA mwishoni mwa miaka ya 60, means hata kuwapigia kura wanaume, wanawake hawakuruhusiwa.
 
Back
Top Bottom