Kwanini Marekani waliamua wasimchague Rais mwanamke kuwaongoza?

Kwanini Marekani waliamua wasimchague Rais mwanamke kuwaongoza?

weka uthibitisho kwamba alikataliwa kwa sababu ya uanamke wake na sio sera zake ili tuchangie

umezungumza kihisia zaidi kuliko hali halisi
 
Anayejua sababu kwanini wamarekani walikataa kumchagua Rais mwanamke kuwaongoza atujuze, wengine tunaomba kujifunza kupitia hayo maamuzi yao, si kwa ubaya lakini.
kama ni kuwa Rais basi Mama Clinton angekuwa Rais ila kwa kuwa hawajawahi kuamini katika jinsia ya kike hadi Kesho Kamwe Mwanamke hawezi kuwa Rais wa USA.

Wakati ule wa wana wa Israel katika sensa walikuwa wanahesabiwa tu wanaume.

Dini ya Kiislamu iheshimiwe sana
japo mie ni muumini wa kikristo.
ina misingi ya Mungu linapokuja nafasi ya mwanamke.

Leo kuna wachungaji wanawake.
zamani katika ule usabato halisi mwanamke alikuwa hawezi kuruhusiwa kusimama pale mbele eti anahubiri.

Leo haya mapokeo yameharibu kila kitu.
Lastly ukiweka mwanamke na Jiwe USA nadhani Jiwe litapata 71% za Electral votes.
 
Anayejua sababu kwanini wamarekani walikataa kumchagua Rais mwanamke kuwaongoza atujuze, wengine tunaomba kujifunza kupitia hayo maamuzi yao, si kwa ubaya lakini.
Agenda yake kuu ilikua ni utoaji mimba, ndoa za jinsia moja na kutetea mafirauni, kitu ambacho sio kipaumbele cha wamarekani wengi.

Mbaya zaidi,
wamarekani wengi hawakufurahishwa na uongozi wa huyu mwanamke kwa kujifungia white house ndiyo wana bwekabweka wakiwa wamejifungia ndani ba Biden.
Influence ya Marekeni kiuchumi, kijeshi na kitecholojia duniani imeporomoka sana huyu mama akihusika.

Hakua na sera ya maana kuhusu ajira, uhamiaji afya, elimu na hata usalama wa wa marekani duniani.

Kamala Haris ni mnyonge mno,
ukilinganisha na ujasiri na uwezo wa kiuchumi na kimamlaka kwa mataifa makubwa ya ulimwengu mathalani China, Russia n.k
Wamarekani wengi walihitaji mtu jasiri asie muoga, anaeweza kuchukua maamuzi magumu kwa maslahi ya wa marekani.
Kamala Haris ni dhaifu mno.🐒
 
Kukubali kuongozwa na mwanamke ni kuuza uanaume wako, watanzania tumekikubali hilo bila shida. Wenzetu wanaojitambua hawawezi kuukubali huo upuuzi.
 
Anayejua sababu kwanini wamarekani walikataa kumchagua Rais mwanamke kuwaongoza atujuze, wengine tunaomba kujifunza kupitia hayo maamuzi yao, si kwa ubaya lakini.
Hajakataliwa sababu ni mwanamke, ila sababu Democrats ilifeli kwenye uchumi na yeye alikua serikalini. Ila angegombea 2020 kipindi Covid 19 imemmaliza Trump mbona angeshinda. Marekani huko kama wanasupport ushoga ndio watashindwa chagua mwanamke?
 
Back
Top Bottom