Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Nimeshangaa sana awa wafuasi wa mangungu kutoijadili timu yao iliyopigwa nje ndani na Aly ahly na badala yake wamekuwa makini kujadili mechi za Yanga dhidi ya Mamelod kuanzia mechi ya kwanza mpaka ya mwisho Pretoria?
Najiuliza timu yao walishaikatia tamaa siku nyingi na imepoteza mvuto mbele ya jamii?
Kwa maana ata body language ya wachezaji wa Simba ulikuwa unaona kabisa Kama vile wanakwenda Misri kukamilisha ratiba tu na sio kingine!
Mbumbumbu wameona isiwe tabu wajibanze kuisapoti Mamelod wapate angalau furaha ya muda lakini na penyewe wamepigwa za uso kwa maana walichokuwa wanategemea toka kwao kwamba wataiadhibu yanga ipasavyo kimeshindikana mpaka mbeleko ya mwamuzi kuwaokoa!
Mbumbumbu wanashindwa kujadili ni namna Gani wafanye usajili Bora na kupata viongozi Bora wamebaki kuipaisha yanga kwa kuiongea Kila baada ya sekunde moja!
Wanasahau wanaowajadili wameshawapita na kuwaacha kwenye mipango Bora na uwekezaji ndani ya uwanja kwa kuwa na quality ya wachezaji wanaoweza kucheza na timu yoyote Ile barani Africa na kupata matokeo!
Timu yao imekwenda Misri wakiwa wanajua imejaza wachezaji wengi wanaopatikana tandale kwa mujibu wa mwina kaduguda ndio maana macho na masikio yao yalikuwa Pretoria!
Kwa stahili hii mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama kwa maana juzi alifanya Tena kile alichokifanya kwa kumleta manzoki kwenye mkutano safari hii kabla ya mechi akawaletea mayele akahojiwa kabisa na muimba taarab Ahmed Aly ikiwa ni kuamisha tension ya mashabiki baada ya kichapo wasijadili kichapo Bali wajadili uwepo wa mayele kwenye kambi ya Simba na tetesi za usajili wake!
Kuiongoza Simba kwa sasa ni rahisi sana Kama kuendesha kikundi Cha saccos ama vikao vya kisiasa kwakuwa wanaoongozwa Awana tofauti na nyumbu!
Nawaambia Tena jadilini matatizo yenu vinginevyo ule mnara wa 5G utasimama Tena kwenye mechi ya watani!!!
Najiuliza timu yao walishaikatia tamaa siku nyingi na imepoteza mvuto mbele ya jamii?
Kwa maana ata body language ya wachezaji wa Simba ulikuwa unaona kabisa Kama vile wanakwenda Misri kukamilisha ratiba tu na sio kingine!
Mbumbumbu wameona isiwe tabu wajibanze kuisapoti Mamelod wapate angalau furaha ya muda lakini na penyewe wamepigwa za uso kwa maana walichokuwa wanategemea toka kwao kwamba wataiadhibu yanga ipasavyo kimeshindikana mpaka mbeleko ya mwamuzi kuwaokoa!
Mbumbumbu wanashindwa kujadili ni namna Gani wafanye usajili Bora na kupata viongozi Bora wamebaki kuipaisha yanga kwa kuiongea Kila baada ya sekunde moja!
Wanasahau wanaowajadili wameshawapita na kuwaacha kwenye mipango Bora na uwekezaji ndani ya uwanja kwa kuwa na quality ya wachezaji wanaoweza kucheza na timu yoyote Ile barani Africa na kupata matokeo!
Timu yao imekwenda Misri wakiwa wanajua imejaza wachezaji wengi wanaopatikana tandale kwa mujibu wa mwina kaduguda ndio maana macho na masikio yao yalikuwa Pretoria!
Kwa stahili hii mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama kwa maana juzi alifanya Tena kile alichokifanya kwa kumleta manzoki kwenye mkutano safari hii kabla ya mechi akawaletea mayele akahojiwa kabisa na muimba taarab Ahmed Aly ikiwa ni kuamisha tension ya mashabiki baada ya kichapo wasijadili kichapo Bali wajadili uwepo wa mayele kwenye kambi ya Simba na tetesi za usajili wake!
Kuiongoza Simba kwa sasa ni rahisi sana Kama kuendesha kikundi Cha saccos ama vikao vya kisiasa kwakuwa wanaoongozwa Awana tofauti na nyumbu!
Nawaambia Tena jadilini matatizo yenu vinginevyo ule mnara wa 5G utasimama Tena kwenye mechi ya watani!!!