Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

Matajiri Waafrika na wao wameasili Waarabu,Wachina na Wahindi wangapi?.Ngozi nyeusi kwa kutia tia huruma .Tubadilike.
 
Matajiri Waafrika na wao wameasili Waarabu,Wachina na Wahindi wangapi?.Ngozi nyeusi kwa kutia tia huruma .Tubadilike.
Hizi ngojera za kubadilika zilianza kuimbwa punde tu baada ya uhuru na kiko wapi sasa mpaka leo, more than 50 years later??

Instead of fighting Europeans we rather need to join them..
 
Kum@ la mama yako. Utafilwa wewe, baba yako, mama yako na ukoo wenu wooote kum@ kibuyu wewe. Mkvndv wa mama yao na wako imeoza..

Welcome to my ignore list..
Sasa unakurupuka nini, ulikuwa hutaki kuambiwa ukweli kuwa kulilia adoption nchi za watu kutakupeleka kufilwa, au mwenzetu ni gwiji wa kushikishwa ukuta tayari?
 
(1) Balotelli alifanyiwa adoption na wazungu.

(2) Baada ya kimbunga na maafa kule Haiti, wazungu walichukua idadi kubwa sana ya watoto kuwapeleka Ulaya na Marekani kama watoto wao.

(3) Ni mtu gani mweusi aliwahi kuwa kiongozi wa kisiasa China au nchi yoyote ya Kiarabu??

Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kuandika, ila all in all, GOD BLESS AMERICA.

~ SIPENDI SIASA ~
Wewe unataka kufanyiwa adoption ili iweje,.....,,mkuu kama umeshindwa kuishi maisha ya hapa mjini basi rudi tu kijijini, utakuja kulawitiwa kupenda kuwa adopted.
 
Wewe unataka kufanyiwa adoption ili iweje,.....,,mkuu kama umeshindwa kuishi maisha ya hapa mjini basi rudi tu kijijini, utakuja kulawitiwa kupenda kuwa adopted.
Kum* la m*m* yako wewe ndiye utakayelawitiwa.

Welcome to my ignore list..
 
Ubaguzi unaanza hapo huyu pure black huyu mu Ethiopia etc, Al. Amoud kazaliwa Ethiopia na hajawahi kuacha ku invest kwao, mpaka Raisi wa Ethiopia aliiingililia kati kuhusu Figisu yake na Salman 2017. Na si kweli miaka 13 mfululizo Dangote kuwa Tajiri fanya homework yako

Pure black?wakati mzazi ni mwarabu huyo ni mwarabu sio mwenzetu
 
mchina kumnyima mtu chakula ni kawaida sana vivyo vivyo wahindi, waarabu wachoyo sana na roho mbaya sana.

Wazungu ni Race bora sana mwenyezi Mungu aliileta wanafeel matatizo ya wengine.
Na sio wanafiki,awe na dini awe mpagani bado wana humanity kuliko race zingine.
 
Na sio wanafiki,awe na dini awe mpagani bado wana humanity kuliko race zingine.
hawana mambo ya kuwekeana mtima nyongo! Kuna rafiki yangu alisoma USA/Minnessota kile kipindi cha likizo wazungu huwa wana tabia ya kualika mtu ukakae unakua part ya family watajifunza Culture yako( Kupika, e.tc) na mnaenjoy sana Out wanatoka wana enjoy sana..

Sasa kakae kwa mwarabu, Muhindi au mchina siku moja utaiyona kama upo Jehanamu!

Wazungu ni Race bora sana na ndo maana wakapewa pia nguvu ya Kumiliki na kutawala..
 
hawana mambo ya kuwekeana mtima nyongo! Kuna rafiki yangu alisoma USA/Minnessota kile kipindi cha likizo wazungu huwa wana tabia ya kualika mtu ukakae unakua part ya family watajifunza Culture yako( Kupika, e.tc) na mnaenjoy sana Out wanatoka wana enjoy sana..

Sasa kakae kwa mwarabu, Muhindi au mchina siku moja utaiyona kama upo Jehanamu!

Wazungu ni Race bora sana na ndo maana wakapewa pia nguvu ya Kumiliki na kutawala..
Jenga picha Arabs wangekuwa na Nukes na pesa nyingi kama Europe aisee..
 
Hapo hakuna suala la racism ila ndugu yangu umeshndw kujua mtindo wa maisha baina ya watu wa bara la Asia Ulaya na Africa....?
Kwa nini uhoji Wachina na waarabu wa Africa je?..ok let's go to the point mchina atafanya vipi adoption wkt wana tatizo kubwa la population mda mrefu walizuiliwa wasizae zaidi ya watoto 2..tuje waarabu wana ndoa za mitaala vile vile hakuna masuala ya uzazi wa mpango huoni huo wote ni utamaduni na mtindo tofauti wa kimaisha baina yao na watu wa ulaya na America?
Kwa nini usihoji adoption hata shoga anao uhuru wa kufanya lkn ndo walivyoamua ivoo huku wakikataza ndoa za mitaala
 
Back
Top Bottom