Kwanini Mbeya maisha yako nafuu kiasi hiki ukilinganisha na sehemu zingine za nchi yetu?

Kwanini Mbeya maisha yako nafuu kiasi hiki ukilinganisha na sehemu zingine za nchi yetu?

ngoja niweke mentality ya wilaya flani hivi [emoji1]
pia nijipange kama mtalii flani

Ntakuja december mana staki vumbi, nitakaa kwa miezi mi3 ya majaribio..
Wanyakyusa ni wakarimu? vipi kuhusu ushirikina?
Ushirikina sio sana......Ila kuna baadhi ya mitaa kuna mitambo ya chuma ulete imetegeshwa.
Ngoja nikwambie ni jinsi gan inafanya kazi hio advanced chuma ulete.

Unaweza ukawa unaishi mtaa fulan tuseme mtaa K,sasa kwenye huo mtaa anaweza akawepo mtaalamu fulan,akategesha matunguli yake sehemu ambayo asilimia kubwa ya watu wa huo wanapita au kukusanyika.
Sasa Hilo tunguli ukipita linachukua 1k kwa siku haijalishi umepita mara ngap au una kias gan mfukon,jenyewe ni buku tu we utashangaa buku haipo. Siku ukipita hauna hata mia inakuwa deni siku ukipita litachukua 2k kufidishia na jana ake.

Ukipita week nzima upo dolo utashangaa siku umepita na 10k lazima kitokee kitu ushangae umetumia hio 7k kimchezo,yaan unaweza jikuta umenunua parachichi la ovyo kwa 7k afu unakuta parachichi limeoza.
Hiyo chuma ulete imekaakaa kama Songesha ya Voda vile.
 
Mbeya hakuna mzunguko mzuri wa pesa pamoja na kuwa expenses za maisha zipo chini.

biashara nyingi zinategemea wanachuo so vyuo vikifungwa biashara nyingi hazitembei.. i can say 50% ya population ya mbeya mjini ni wanachuo.

Pia kuna kitu kinaitwa baridi, nais ndo sababu ya mkoa kuongoza kitaifa kwenye suala la maambukizi ya VVU. Mbeya kulala peke yako usiku ni mtiani

Kuna vumbi la hatari kuanzia mwezi wa 8 mpaka mwezi wa 11, utapachukia Mbeya hio miezi.


Faida

Gharama za kuishi Mbeya zipo chini

Usafiri uhakika.. bajaji za kutosha kuliko watu.
kwenda Mikoani unasafiri hata usiku bila shida yoyote, kuna magari pale Uyole na stendi ya nanenane.

Vyakula kule ndo vinalimwa..wanavuna kila siku
Nenda Mbalizi sokoni au Nzovwe ndipo wakulima wanauza bidhaa zao kwa bei sawa na bure
Usiende Soweto au Mwanjelwa bei zao zipo juu kidogo.

Starehe zipo sana tena pesa haziishi kama apa Dar
Kuna Bar kama Mwailubi, Mwamunyange, City Pub, Polos, Nasoma, Mbeya pazuri na baadhi ya hotels za gharama nafuu kama ni mtu wa kujichanganya kama Usungilo, Modern Highlands, Desderia, Peace of Mind, Beaco Resort n.k

Sehemu za kukaa ni Forest Mpya, Isyesye, Veta, Block T, Iwambi.. usikae maeneo ya wanachuo kuna wizi sana.

Kama ni Mfanyabiashara unaweza kwenda kuanzisha moja ya hizi Biashara maana ni chache sana af wafanyabiashara wengi wa Mbeya hawajui Biashara in terms of customer care and creativity

Biashara ya kuuza nyama [ Butchery ]
Mfano Soko zima la kabwe hakuna Bucha la Kitimoto mpaka mtu utembee hadi Juakali - Mwanjelwa

Pharmacy / duka la Dawa
Izo huduma zinapatikana Maeneo ya Hospitali tu kama Maranatha na Kabwe Sokoni [ in short maduka ya dawa yapo along Tanzam Road tena ni machache hayafiki matano]

Biashara ya urembo wa kucha maeneo ya vyuo.
Mpaka sasa kuna jamaa mmoja tu pale Soweto ndo anasifika kwenye hiyo fani sehemu zingine zote ndo biashara zinaanzishwa wengi bado ni amateurs.

Mwisho ni Biashara ya kuuza simu.
Simu ambazo ni tofauti na Tecno na Infinix ambazo zinauzwa pale kwa Kwa Mtawa - Ilomba zina bei karibia mara dufu ya bei za Dar.
Ukitaka kununua Samsung au iPhone iwe ni used au mpya kwa Mbeya mpaka uwe vizuri mfukoni.


The choice is yours


Kama kuna nilichokisahau kinachoitaji ufafanuzi please inform me ntakufafanulia
🙏🙏,Natunza hii comment.Soon ntakua Mbeya hapo.
 
Niko Mbeya nashangaa shangaa
Naona mabucha mengi ya nyama ya ng'ombe yanauza nyama kilo 6,000/=
Kitimoto kilo ni 8000/=
Mchele kilo ni 2000/=
Mafuta ya kupikia lita 5 ni 23,000/=
Maharage kilo ni 2500/=
Ndizi mkungu ni elfu 5 tu.
Matunda yapo ya kila aina,mfano maembe bakuli zima ni jero tu.
Hiki kitu kimenishangaza sana wakuu,hawa jamaa wana serikali yao tofauti na hii ya ndugu Samia?
The blessed land
 
Viazi kindoo kidogo elfu 6... Maparachichi 10 elfu 3[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ushirikina sio sana......Ila kuna baadhi ya mitaa kuna mitambo ya chuma ulete imetegeshwa.
Ngoja nikwambie ni jinsi gan inafanya kazi hio advanced chuma ulete.

Unaweza ukawa unaishi mtaa fulan tuseme mtaa K,sasa kwenye huo mtaa anaweza akawepo mtaalamu fulan,akategesha matunguli yake sehemu ambayo asilimia kubwa ya watu wa huo wanapita au kukusanyika.
Sasa Hilo tunguli ukipita linachukua 1k kwa siku haijalishi umepita mara ngap au una kias gan mfukon,jenyewe ni buku tu we utashangaa buku haipo. Siku ukipita hauna hata mia inakuwa deni siku ukipita litachukua 2k kufidishia na jana ake.

Ukipita week nzima upo dolo utashangaa siku umepita na 10k lazima kitokee kitu ushangae umetumia hio 7k kimchezo,yaan unaweza jikuta umenunua parachichi la ovyo kwa 7k afu unakuta parachichi limeoza.
Hiyo chuma ulete imekaakaa kama Songesha ya Voda vile.
daah kweli advanced [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
yani chuma ulete inadai nmècheka sana
 
Ushirikina sio sana......Ila kuna baadhi ya mitaa kuna mitambo ya chuma ulete imetegeshwa.
Ngoja nikwambie ni jinsi gan inafanya kazi hio advanced chuma ulete.

Unaweza ukawa unaishi mtaa fulan tuseme mtaa K,sasa kwenye huo mtaa anaweza akawepo mtaalamu fulan,akategesha matunguli yake sehemu ambayo asilimia kubwa ya watu wa huo wanapita au kukusanyika.
Sasa Hilo tunguli ukipita linachukua 1k kwa siku haijalishi umepita mara ngap au una kias gan mfukon,jenyewe ni buku tu we utashangaa buku haipo. Siku ukipita hauna hata mia inakuwa deni siku ukipita litachukua 2k kufidishia na jana ake.

Ukipita week nzima upo dolo utashangaa siku umepita na 10k lazima kitokee kitu ushangae umetumia hio 7k kimchezo,yaan unaweza jikuta umenunua parachichi la ovyo kwa 7k afu unakuta parachichi limeoza.
Hiyo chuma ulete imekaakaa kama Songesha ya Voda vile.
duuh hii noma aisee nimecheka sana

naomba kufahamu kwa anaefahamu bei ya sasa mwezi april mchele mbeya ni bei gani
 
Back
Top Bottom