Kwanini Mbowe anakuwa sehemu ya mjadala wa bunge la bajeti pasipo na ulazima? Je, ni kwa sababu ni Mtu Maarufu?!

Jana nimecheka sana speaker anadai kuwa Mbowe amepotosha kuhusu taarifa ya CAG wakati Mbowe hakuzungumzia chochote kuhusu taarifa hiyo![emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugaye anamuogopa Mbowe kisa msimsmo wake juu ya covid-19 kina Mdee.

Maana anajua cdm ikishakataa rufaa ya kina Matiko ndiyo wanakosa sifa ya kubakia bungeni.
 
Halafu sheria za bunge haziruhusu kumuongelea bngeni mtu ambae hana nafasi ya kujibu bungeni. By the way. Hatuna bunge bali tuna kamati kuu B ya Ccm.
Hajapona madhala ya yule bundi aliyeingia bungeni
 
Ukona hivi ujue WAJUMBE walio ndani ya mjengo:
1.Wamekosa UBUNIFU
2.Wamekosa MAONO(vision),
3.Wamekuwa wanaenda mwendo wa MAELEKEZO
4.Wajumbe wanaangalia maslahi yao binafsi.

WAJUMBE WAMEKOSA:
1.Ajenda
2.Utashi wa kusimamia masilahi ya wananchi
Woote hawana sifa kabisa
 
Wapo kwenye kamati ya chama
 
Wanataka kumsafisha mtu wao
 
Ni kwa sababu wanaona wakishachaguliwa wanatumikiwa na wananchi badala ya wao kuwatumikia wananchi. Wote hao tunawatumikia sisi.
 
Mbowe ni Shujaa, Mbowe ni MWAMBA.
Kapiga za mbavu kama kawaida MaCCM lazima mkae.
 
Mpotoshaji yoyote mwenye kiwango cha kitaifa lazima idhibitiwe nje ndani,mtu aliyeshindwa kuiongoza taasisi yake anawezaje kuwa na mawazo mbadala ya kulijenga Taifa?
 
Mbowe akili kubwa,ametia mafuta ya taa kwenye shimo la nyoka wote wamekurupuka. Hotuba ya Mbowe imetusaidia Watanzania kujua hasara tuliyopata kuwa na Bunge sampuli hii,yaani tunawalipa watu mishahara na posho kwenda kuendekeza mipasho,matusi na kejeli huku Bunge zima likirindima kushangilia matusi,hiki ni kipimo tosha kuwa tumepigwa,hakuna Bunge pale. Asante Mh. Mbowe kwa kuwachezesha kiduku hawa mataga.
 
Spika amekua mkali sana na kuoneshwa wazi hapendi kuona miradi ya JPM ikitolewa kasoro ni hekima zaidi nae aache kumsema vibaya Mbowe.
 
Spika amekua mkali sana na kuoneshwa wazi hapendi kuona miradi ya JPM ikitolewa kasoro ni hekima zaidi nae aache kumsema vibaya Mbowe.
Huyu si ndiye anaupigia chapuo mradi wa bandari ya Bagamoyo.

Mi namuona MNAFIKI na si MKALI.
 
BAVICHA Tupo tuna mobilize michango, Siku si nyingi tutampeleka Milembe akapate sindano maana hali yake sio nzuri sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…