Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ndugaye anamuogopa Mbowe kisa msimsmo wake juu ya covid-19 kina Mdee.Jana nimecheka sana speaker anadai kuwa Mbowe amepotosha kuhusu taarifa ya CAG wakati Mbowe hakuzungumzia chochote kuhusu taarifa hiyo![emoji23][emoji23][emoji23]
Maana anajua cdm ikishakataa rufaa ya kina Matiko ndiyo wanakosa sifa ya kubakia bungeni.