Kwanini Mchungaji Mtikila aliililia sana Tanganyika ambayo haipo badala ya Tanzania tuliyomo!

Kwanini Mchungaji Mtikila aliililia sana Tanganyika ambayo haipo badala ya Tanzania tuliyomo!

ubinafsi. Marekani ni muungano wa nchi 50 we unataka kuvunja muungano wa nchi 2 km siyo uchawi ni nini
 
ubinafsi. Marekani ni muungano wa nchi 50 we unataka kuvunja muungano wa nchi 2 km siyo uchawi ni nini
 
Big No mkuu. I mean umekosea hapo kwa Mtikila muweke Mbowe.
Yani ni Mrema, Marando, Maalim Seif, Mbowe na wengineo ambao wanafahamika hadi sasa.

Mtikila hawezi kuwa kitengo afu afe kishamba vile.
Kile kifo chake ndiyo kimethibitisha bila shaka alikua ulimwengu huo,yaani ajali ya gari akatoka kwenye Siti yake,fumua kioo Cha mbele,anguka mbali huko lakini USO Hauna mchubuko Wala tone la damu!!!?..mtikila aliwakaribisha viongozi wa fdlr nyumbani kwake,raia wa kawaida anaweza fanya Hilo,kwa misingi ipi!?
 
kwanini wewe usimtazame Mtanganyika kama Mtanzania anayestahili kupewa wadhifa wa ukuu wa wilaya ya Tanzania iliyopo Zanzibar
Usimtazame mkuu wa wilaya Kama mzanzibar Bali mtanzania mwenye wadhifa wa ukuu wa wilaya ya Tanzania
 
kwanini wewe usimtazame Mtanganyika kama Mtanzania anayestahili kupewa wadhifa wa ukuu wa wilaya ya Tanzania iliyopo Zanzibar
Zanzibar Kuna serikali yake,inaitwa serikali ya mapinduzi Zanzibar (smz) ambayo hapaswi kuwemo mtu asiye mzanzibar
 
Kikinuka unguja🤣
Kikinuka mzee anakusanya familia yake na kurudi nyumbani kuendelea na maisha. Bahati nzuri mzee hakuacha kujenga kwao akijua kuna leo na kesho lolote linaweza kutokea.
 
Back
Top Bottom