Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
- Thread starter
- #21
na zakidinieMichezo ni sehemu ya sherehe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na zakidinieMichezo ni sehemu ya sherehe.
Kama hutaki kuangalia mechi hizo siku hiyo basi pita hivi,kweli mpumbavu amesema moyoni mwake hakunq Mungu
tena kule kwa mafarao sindiyo makao makuu!Mpira wa miguu Afrika kuanzia level za club hadi mashirikisho asilimia kubwa ya viongozi wa mpira ni made in madina
mwanaume akiimbii mzeeInatosha jamani amekimbia Uzi wake ...hata ndugu zake wamekimbiana
kitakuwa kichwa cha Ng'ombe wa Mayele umepewa 😀😀Kuna vichwa vingine vilikuw vya mbuzi ila akapewa mtu aisee.
Huko juu wakishamwcha Mungu .. hata hayajaliCristmass ndio sikukuu kubwa ya wakristo. Ila ligi nyingi za soka za majuu zinacheza mechi na hata ligi kubwa ya kikapu NBA inakuwa na mechi nyingi siku ya Xmass
mimi nimekunywa kikombe kidogo tyu cha kimpumu ... wala cjanywa sanaVichwa vya watu vina maujinga ujinga mwingi kwakweli.
Ukifungwa sikukuu inafutika kabisaasasa si ndio sikukuu mkale kwa Mkapa au kibanda umiza
Halmshauri yangu iko vzr tyuNdio halmashauri ya kichwa Chako imekaaa ikaja na hili andiko !!!?? Una Umri Gani kwanza !!?? Tangu umeishi duniani halmashauri ya kichwa Chako haijwahi kuona siku za Pasaka na Christmas kukiwa na michezo !?? Usiache kumeza vidonge vyako .
Unashupaza fuvu na majibu yote uliyopewa hakuna aliyekusupport hata Mmoja ..... Kuna nati zitakuwa zimelegea kichwani mkuu nenda gereji milembemwanaume akiimbii mzee
Sikumbuki mwaka upi lakini ndani ya miaka hii miwili, ligi za israel zilichezwa ndani ya siku hiyo ya xmassCristmass ndio sikukuu kubwa ya wakristo. Ila ligi nyingi za soka za majuu zinacheza mechi na hata ligi kubwa ya kikapu NBA inakuwa na mechi nyingi siku ya Xmass
shida yako niniUkifungwa sikukuu inafutika kabisaa
Ni siku nzuri ya kusherehekea lawama na hapo hapo marafiki mnakutana kupatia burudani toka kwa Mnyama mkali SIMBA. Iko poa Sana kwangu. Sioni tatizo, Ni full burdanYaan siku ambayo Wakristo wanaadhimisha mateso, kufa na kufufuka kwa Mwokozi wa ulimwengu Yesu Kristo, wenywe wameamuru zichzwe mechi kati ya tareh 15 - 17 mwezi huu. Hii ni dharau ya waziwazi kwa Wakristo.
Simba isipofuzu Kateni rufaa.
Uhuru unapozidi ndiyo mambo km haya.COVID19 imeondoka na watu wa maana imeacha wapuuzi kama hawa...
Hii nchi ina watu wapumbavu sana....
Pepo mchafu tokaUhuru unapozidi ndiyo mambo km haya.
Uefa wamekuwa wajanja kuliko CAFYaan siku ambayo Wakristo wanaadhimisha mateso, kufa na kufufuka kwa Mwokozi wa ulimwengu Yesu Kristo, wenywe wameamuru zichzwe mechi kati ya tareh 15 - 17 mwezi huu. Hii ni dharau ya waziwazi kwa Wakristo.
Simba isipofuzu Kateni rufaa.
Huyo yesu unamjua weweYaan siku ambayo Wakristo wanaadhimisha mateso, kufa na kufufuka kwa Mwokozi wa ulimwengu Yesu Kristo, wenywe wameamuru zichzwe mechi kati ya tareh 15 - 17 mwezi huu. Hii ni dharau ya waziwazi kwa Wakristo.
Simba isipofuzu Kateni rufaa.