Nakuambia kila siku Ana wageni wapya si mnasema wageni ni baraka haha...... huwa wanaambizana. Kwa fulani bwana, Hana shida. Utapokeaga Wageni hata usio na ukaribu nao, watafululizana hapo, bandika bandua.
Ni kweli kbsa mm nilimpkkea mgen jamaa angu mwingine yey kanirahisishia maisha sna yaani mm Ni kod tu napambana nayo ila mizosi na matuvitu vidg vdg na kulipa umeme Yuko fresh ctaman at aondokesisi tabia zetu hatuwaulizi wageni utaondoka lini ni aibu sana kwa sisi warabu kumuuliza mgeni utaondoka lini akae atakavyoweza kwani mgeni huja na baraka zake
Nitamuuliza ndio.Kama huyo mgeni wako uchumi wake ni mkubwa kuliko wako je utamuuliza??
.......hasara tupu......Nakuambia kila siku Ana wageni wapya si mnasema wageni ni baraka haha
Hapakuwa na upendo bali unafiki na uogaHuu mfumo wa maisha wa kimagharibi umeepunguza mnoo upendo baina yetu, ukikaa na wazee wakusimulie maisha yao ya zamani, utaona upendo naa umoja ulitawala japo hawakuwa na kitu kivile, ila siku hizi chamgamoto, hatutembeleani, hatukirimiani kabisa, kila mtu kakumbatia watoto wake, mwisho hawajuani, zamani shule zikifungwa hata km mzee wako yupo town, unapelekwa kwwa ndugu iwe kijijini au wapi, mnakutana watoto kibao, mtakula kilichopo, ila siku hizi ni killa mtu na wake.
Waambie wafanye kaziTulikuwa tunaona kwenye michezo TV watu wakifika mjini wanasahau ndugu zao ndo haya sasa, kuna watu wakifikaga mjini wanajionaga kama wako kwenye bunge la bajeti kila kitu atataka akipigie hesabu hasa wale wenye vipato flani ivii, halafu malofa ya hivi yanaongoza KUHONGA balaa
Unamuuliza ndugu yako utakaa siku ngapi huku dhamira yako ya ndani ni kuexamine damage/burden atakayokuletea huo ni Uchoyo Roho Mbaya tu
Jiulize ukishindwa kumsaidia ndugu yako nani amsaidie?? Ni maana ya undugu, kama huna kitu mwambie kwa staha na hata yy mwenyewe atajionea.
Tuache kuigaiga umagharibi f**ck off.
Kikawaida si sawa kumtumia mtu hela aje kukusalimiaKuna aliyenipigia simu wiki iliyopita eti nimtumie nauli anataka Kuja kunisalimia,nilimwambia sipo nimesafiri.
Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika.
Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.
Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa πππππ
DuuhKuna aliyenipigia simu wiki iliyopita eti nimtumie nauli anataka Kuja kunisalimia,nilimwambia sipo nimesafiri.
I know ni kawaida but in a Tanzania setting that will be the beginning of WW3Wazungu huwa kawaida tu kuulizana hivyo ahha
Ila wanaelewaga sasa?Wengine makabila yetu ndo unatafuta kutengwa tu maana km maisha yako ni magumu ni bora kusema ila sio kujifanya una roho kigiriki
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Maisha Sasa hivi yamekuwa magumu Sana ,mtu analisha familia yake kwa 5000-10,000 kwa siku halafu we mgeni ukikaa mezani unapasua hotpot nusu kidogo inaleta utata
Kwa sababu tupo negative sanaI know ni kawaida but in a Tanzania setting that will be the beginning of WW3
Bora mkuu umwambie ukweli tu kua una hali mbaya ataelewa tu.Ila wanaelewaga sasa?
Una life class A π π π wakijua una vyumba vya kuwalaza kuanzia bibi, babu, shangazi, wakwe na wengine wengi hawatakaa wahame kwako. Yaani huruma nayo inatesa sana.Ni kweli maisha yamebadilika, ila umagharibi pia unachangia..
Maisha ni kwa wale wakina sisi vipato vya chini, umepanga chumba kimoja, una mke na watoto, hapa sawa ni sababu ya kimaisha.
Ila wengine ni umagharibi ana life zuri, class A ila anayofanya ndio hayo ninayoyazungumzia.
Nyumbani kwako bila shaka umepazindika hutaki mtu afie kwako.Wageni wa kulala siwapi nafasi nyumbani kwangu kama una shida nitakusaidia huko huko ulipo. Kama ni lazima uje lodge itakuhusu japo kwa gharama zangu.