Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Nakuambia kila siku Ana wageni wapya si mnasema wageni ni baraka haha...... huwa wanaambizana. Kwa fulani bwana, Hana shida. Utapokeaga Wageni hata usio na ukaribu nao, watafululizana hapo, bandika bandua.