Kwanini mgeni akiulizwa "unaondoka lini" inakuwa nongwa?

Kwanini mgeni akiulizwa "unaondoka lini" inakuwa nongwa?

sisi tabia zetu hatuwaulizi wageni utaondoka lini ni aibu sana kwa sisi warabu kumuuliza mgeni utaondoka lini akae atakavyoweza kwani mgeni huja na baraka zake
Ni kweli kbsa mm nilimpkkea mgen jamaa angu mwingine yey kanirahisishia maisha sna yaani mm Ni kod tu napambana nayo ila mizosi na matuvitu vidg vdg na kulipa umeme Yuko fresh ctaman at aondoke
 
Bro. Kuna ishu naiskilizia wameniambia bado bado kwa hiyo nitakuwepo kuwepo halafu maisha pale kijijini yamebadilika? Hali ngumu sana. Wacha niwaskilizie hao walioniita wanasemaje.
 
Huu mfumo wa maisha wa kimagharibi umeepunguza mnoo upendo baina yetu, ukikaa na wazee wakusimulie maisha yao ya zamani, utaona upendo naa umoja ulitawala japo hawakuwa na kitu kivile, ila siku hizi chamgamoto, hatutembeleani, hatukirimiani kabisa, kila mtu kakumbatia watoto wake, mwisho hawajuani, zamani shule zikifungwa hata km mzee wako yupo town, unapelekwa kwwa ndugu iwe kijijini au wapi, mnakutana watoto kibao, mtakula kilichopo, ila siku hizi ni killa mtu na wake.
Hapakuwa na upendo bali unafiki na uoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Staki kujua ataondoka lini sema kama upweke atakoma maana tutakuwa tunaonana usiku saa 4 na weekend tu.
 
Tulikuwa tunaona kwenye michezo TV watu wakifika mjini wanasahau ndugu zao ndo haya sasa, kuna watu wakifikaga mjini wanajionaga kama wako kwenye bunge la bajeti kila kitu atataka akipigie hesabu hasa wale wenye vipato flani ivii, halafu malofa ya hivi yanaongoza KUHONGA balaa
Unamuuliza ndugu yako utakaa siku ngapi huku dhamira yako ya ndani ni kuexamine damage/burden atakayokuletea huo ni Uchoyo Roho Mbaya tu
Jiulize ukishindwa kumsaidia ndugu yako nani amsaidie?? Ni maana ya undugu, kama huna kitu mwambie kwa staha na hata yy mwenyewe atajionea.

Tuache kuigaiga umagharibi f**ck off.
Waambie wafanye kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali linajieleza kabisa. Hili lipo sana kwenye familia za Kiafrika.

Nimepokea mgeni, kutokana na mipangilio ya kifamilia na kibajeti nalazimika kumuuliza atakaa hapa ugenini kwa muda gani.

Mara mgeni anaanza kusambaza taarifa mimi ni mbinafsi, sitaki kutembelewa 😂😂😂😂😂

Wazungu na idea Yao ya Return Tickets waliona mbali
 
Huyo Mgeni kama umemualika au umemkubalia akae kwako si mmeulizana kwenye simu kabla hajaja?
 
Maisha Sasa hivi yamekuwa magumu Sana ,mtu analisha familia yake kwa 5000-10,000 kwa siku halafu we mgeni ukikaa mezani unapasua hotpot nusu kidogo inaleta utata
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ni kweli maisha yamebadilika, ila umagharibi pia unachangia..

Maisha ni kwa wale wakina sisi vipato vya chini, umepanga chumba kimoja, una mke na watoto, hapa sawa ni sababu ya kimaisha.
Ila wengine ni umagharibi ana life zuri, class A ila anayofanya ndio hayo ninayoyazungumzia.
Una life class A 😅😅😅 wakijua una vyumba vya kuwalaza kuanzia bibi, babu, shangazi, wakwe na wengine wengi hawatakaa wahame kwako. Yaani huruma nayo inatesa sana.
We utasikia nyumba yote hii yako na huko pia. Nani mwenye life class A anataka usumbufu hapa mjini 🤒🤒🤒
 
Wageni wa kulala siwapi nafasi nyumbani kwangu kama una shida nitakusaidia huko huko ulipo. Kama ni lazima uje lodge itakuhusu japo kwa gharama zangu.
Nyumbani kwako bila shaka umepazindika hutaki mtu afie kwako.
Nyumba zenu mkiuza utasikia hapakuwa pana kaliwa na mtu ndiyo maana maruweruwe
 
Back
Top Bottom