Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Hii inaweza kukuletea shida ujue
Hakuna shida naweza kuipata....watu kama akina membe na tabia zao zinajulikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaweza kukuletea shida ujue
Mambo ya uongozi kama kweli tuko makini hakuna cha tumwache! Aliuza nchi full stop, anastahili adhabu au hata kuulizwa, Mwarabu anafaida gani zaidi ya wananchi?Aiseee kwa hapa hapana, tumuache mzee wa watu aendelee kucheza vizuri na vitukuu vyake, kuanza kumuuliza kuhusu haya mambo kunaweza changia kumkosa sio muda.
Hii ngoma imevuma wakati huu wa utawala awamu ya 6, ichezwe makidamakida mukidemukide na aliyeko madarakani
Ile betri (pacemaker) aliyowekewa kwa michango ya wanafunzi wenzake UDSM ilikuwa kwa unachokiita "sarakasi zinazoenedelea sasa"?Mzee wa watu huenda alifariki tu Kwa maradhi yake, lakini Kwa hizi sarakasi zinazoendelea, unawezakujikuta unaamini tetesi kwamba kifo chale kina namna.
Ile betri (pacemaker) aliyowekewa kwa michango ya wanafunzi wenzake UDSM ilikuwa kwa unachokiita "sarakasi zinazoenedelea sasa"?
Ignorence is bliss
KumbeeJob ni mshauri wa askofu Mkuu wa Canterbury Queen Elizabeth ndio mkuu wa Kanisa Anglican
Kabisa ndo maana mungu ameingilia katiKwangu Magufuli ndie raisi asiyefaa kuliko maraisi wote waliomtangulia kuingoza Tanzania.
Msitake kumpa presha babu wa watu nyieeMambo ya uongozi kama kweli tuko makini hakuna cha tumwache! Aliuza nchi full stop, anastahili adhabu au hata kuulizwa, Mwarabu anafaida gani zaidi ya wananchi?
Magufuli ni mjinga tuu alikuwa muoga wa ku face reality kwa sababu hajiamini na analazimisha kupendwa..
Hilo la Ngorongoro alilifumbia macho kama tuu ambavyo alifumbia macho kuzagaa hovyo kwa machinga..
Magufuli aliruhusu hadi Polisi kuchukua rushwa akisema ni vihela vidogo vidogo...
Zaidi ya propaganda hakuna kitu chochote cha maana alifanya..
Namkubali Rais Samia Kwa sababu hana mda wa kufanya cheap politics,kulazimisha kupendwa kwa maigizo na yuko straight kama ni nyeusi ni nyeusi tuu..
Masai lazima wapishe,haiingii akikini wanaharibu hifadhi Kisa nini?
Ni hatari kuwa na akili kwenye kundi la wajinga wengi, mko wengiTo me he was the worst president in the history of this country
Ni hatari kuwa choko kwenye kundi la mabasha, machoko mpo wengi sanaNi hatari kuwa na akili kwenye kundi la wajinga wengi, mko wengi
Mbaya zaidi kwanini waarabu hawalalamiki?Oterlo business Corporation ni akina nani? Na kwa nini wanalitaka hili eneo la Loliondo tokea miaka ya utawala wa Mwinyi?
Loliondo gate kuna nini? Kwa nini wakati wa hayati JPM haya masuala hayakuibuka?
Hawa OBC wana siri kubwa na nzito hawa sio watu wema.
Mkuu wa nchi anashiriki kutwanga vitu vizito raia maskini wasio na mbele wala nyuma.
Umeshusha point tupu mkuuKuwahamishia wamasai kwenye makazi ya 'mjini'ni kuwadhulumu haki yao! Wao wanahitaji uhuru wa kufanya mila na desturi zao. Wanahitaji kukimbia na kuruka hukohuko maporini. Kuwajengea nyumba na kuwalazimisha kuishi maisha ya kisasa ni uonevu.
Halafu yeye yupo Oman kupokea malekezo