Kwanini mgogoro wa Loliondo haukuibuka wakati Magufuli yupo hai? Hawa OBC ni akina nani? Kwanini Loliondo Gate? Mbona wanasiasa wa Oman?

Mambo ya uongozi kama kweli tuko makini hakuna cha tumwache! Aliuza nchi full stop, anastahili adhabu au hata kuulizwa, Mwarabu anafaida gani zaidi ya wananchi?
 
Mzee wa watu huenda alifariki tu Kwa maradhi yake, lakini Kwa hizi sarakasi zinazoendelea, unawezakujikuta unaamini tetesi kwamba kifo chale kina namna.
Ile betri (pacemaker) aliyowekewa kwa michango ya wanafunzi wenzake UDSM ilikuwa kwa unachokiita "sarakasi zinazoenedelea sasa"?
Ignorence is bliss
 

Wewe utakuwa unaishi kongo hata sami 100 anapenda kusifiwa na kila siku tunawasikia viongozi na machawa kama kina mwijaku...hakuna Rais asiyependa sifa na cheap politics.......kila keo tunaona mabango na matisheti ya Mama anaupiga mwingi unafikiri yanatoka wapi kama sio kitengo cha kusifu na kuabudu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbaya zaidi kwanini waarabu hawalalamiki?
 
Kuwahamishia wamasai kwenye makazi ya 'mjini'ni kuwadhulumu haki yao! Wao wanahitaji uhuru wa kufanya mila na desturi zao. Wanahitaji kukimbia na kuruka hukohuko maporini. Kuwajengea nyumba na kuwalazimisha kuishi maisha ya kisasa ni uonevu.
Umeshusha point tupu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…