WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Worst president like Idd Amin.The best president of the centuries
Wale aliowatoa jela na kwenda kuapishwa kuwa wabunge hukumbuki?Acha pumba zako. Alijaza kivipi? Aliwakodia basi liwapeleke Bungeni? Mbunge akiwa bungeni anatumia akili za mtu mwingine kutetea maslahi ya umma?
Mzalendo gani anaua raia wake na kudhulumu chaguzi?Hilo la kubadili katiba unapotosha, mzalendo namba moja hakuwahi kuwazia hilo. Wabunge walichaguliwa na wananchi. Wao wanatakiwa wawe na meno kwa maslahi ya taifa. Usimsingimzie mzalendo namba moja. Sasa hivi mnauzwa kama nguruwe.
Walichaguliwa na nani,mbona mnazidi kutetea uovu ,ona madhara ya uhaguzi ule ndiyo haya Wabunge wa kuwasemea wananchi hawapo tena.Wamebaki wapiga makofi na watetea serikali kwa kila jambo hata kama lina hasara kwa nchi.Hizo ni kuni zinazomwuunguza jpm mahali popote alipo.Hilo la kubadili katiba unapotosha, mzalendo namba moja hakuwahi kuwazia hilo. Wabunge walichaguliwa na wananchi. Wao wanatakiwa wawe na meno kwa maslahi ya taifa. Usimsingimzie mzalendo namba moja. Sasa hivi mnauzwa kama nguruwe.
Kuwahamishia wamasai kwenye makazi ya 'mjini'ni kuwadhulumu haki yao! Wao wanahitaji uhuru wa kufanya mila na desturi zao. Wanahitaji kukimbia na kuruka hukohuko maporini. Kuwajengea nyumba na kuwalazimisha kuishi maisha ya kisasa ni uonevu.
Na aliyewauza ninyi kama nguruwe ni Magufuri kwa sababu kuu tatu:-Hilo la kubadili katiba unapotosha, mzalendo namba moja hakuwahi kuwazia hilo. Wabunge walichaguliwa na wananchi. Wao wanatakiwa wawe na meno kwa maslahi ya taifa. Usimsingimzie mzalendo namba moja. Sasa hivi mnauzwa kama nguruwe.
Usipate tabu, ni corona.Mzee wa watu huenda alifariki tu Kwa maradhi yake, lakini Kwa hizi satakasi zinazoendelea, unawezakujikuta unaamini tetesi kwamba kifo chale kina namna.
Hata siku moja Nyerere hakunyoosha mkono. Angekuwa amenyoosha mkono usingekuta hizi mbuga wanazofukuza wananchi ili kuzipiga bei kwa waarabu zipo. Kuwa na tatizo kwetu suluhisho siyo kuita wengine watufanyie. Suluhisho ni kujirekebisha na kufanya wenyewe.Sisi wenyewe ndio wanaowafuata hao wawekezaji, kuna tatizo miongoni mwetu ndio maana tunawafuata hao wawekezaji.
Mwalimu Nyerere alikuwa na akili kama hizi za kwako, lakini mwisho wa siku akanyoosha mikono kwa hao hao wawekezaji.
Mauaji gani unazungungumzia? Kuna mauaji ya aina nyingi na sababu za aina nyingi.Tutajie ambae mauaji hayakutokea akiwa kwenye uongozi
Nyerere alikuwa na uchungu wa mali za taifa kama hayati JPMHata siku moja Nyerere hakunyoosha mkono. Angekuwa amenyoosha mkono usingekuta hizi mbuga wanazofukuza wananchi ili kuzipiga bei kwa waarabu zipo. Kuwa na tatizo kwetu suluhisho siyo kuita wengine watufanyie. Suluhisho ni kujirekebisha na kufanya wenyewe.
Huwa unakwepa sana kujibu maswali. Na unaelekeza chuki zako kwa hayati bila hata LogicDhalimu kwako ndio alikuwa nchi? Uliza serikali ya majizi ya kura na sio kutaka kutuletea sifa za mtu hapa.
Mauaji ya watu ambao wana element tofauti na mkuu wa nchiMauaji gani unazungungumzia? Kuna mauaji ya aina nyingi na sababu za aina nyingi.
Najua unaumia sana! Pole sana kamanda uchwaraDhalimu kwako ndio alikuwa nchi? Uliza serikali ya majizi ya kura na sio kutaka kutuletea sifa za mtu hapa.
Ana stress ile mbaya huyo kamanda uchwara tindoHuwa unakwepa sana kujibu maswali. Na unaelekeza chuki zako kwa hayati bila hata Logic
Umesema vema ila nikusahihishe kuwa mbinguni hakuna moto. Moto uko jehanamu/ziwa la moto.Haya ndio baadhi ya matakataka ya Mzee Ruksa ambae kuna watu wanamuona wa maana sana!
Nimemsikia Lissu akisema Mwinyi aulizwe kuhusu jambo hili, maana yeye ndie aliyeanzisha kuwekwa mfukoni na Mwarabu kwa kuiuza Loliondo akiacha wananchi wakiteseka.
Huenda Mungu amemuweka hai ili aone mateso aliyoyaanzisha kwa wananchi wasio na hatia kwa uroho tu wa pesa za Mwarabu...ili akifika mbinguni nae aungue bila kulalamika, awe ashajua kosa lake.
Suffer In eternal flame JPMR.I.P Numbisa
Taarifa:Worst president like Idd Amin.
Magufuli aliamuru Ben Saanane auawe. Alitaka Lissu auawe. Na bado kuna wengine wengi waliuawa maeneo ya Ikwiriri.Mauaji ya watu ambao wana element tofauti na mkuu wa nchi
Si kweli kwa sababu Magufuli alichanja kisirisiri chanjo ya corona.Usipate tabu, ni corona.