Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Tokea nianze kupata ufahamu mwishoni mwa miaka ya 80 mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000, sikuwahi kuona mtu anakula tikiti maji wala mimi kula... Je Tunda hili limepata umaarufu kwa ajili ya nini ? Maana zamani kilikua chakula cha nguruwe na ng'ombe kama ilivyo malapu lapu ya mbwa siku hizi mnaita michemsho...
Tikiti maji kwa nini zamani hatukula?
Tikiti maji kwa nini zamani hatukula?