Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
I salute you kinsmen.
Huyu jamaa kwa sasa amezidi kututibua nyongo watanzania kwa kiasi kikubwa sana
Inasemekana kuwa Tanzania wanaweza kupokonywa nafasi yao kushiriki Afcon na akapewa Guinea sababu hasa ni kuwa jamaa wameandika barua CAF kuwa.
Haya yote ni nonsense kabisa Guinea wanatapa tapa tu hawana la maana sababu
Yote hayo hayana mashiko.
Sasa huyu limwandishi tapeli kutoka Ghana limeshikilia bango sana kuhusu hili swala mpaka unajiuliza kama amelipwa na Guinea?
Ni kama post ya 10 hii anazungumzia jambo moja hilo hilo yaani anamwaga petrol kwenye moto!
Mambo mengine huwa hakazii sana hasa mabwana zake waarabu wanaomlipa hela huwa anaongelea mazuri tu sana sana ahly ahly na wydad pia team takataka Simba.
Je, amelipwa au namna gani au sababu taifa lake halijafuzu anataka tukose wote?
Kinachokera matanzania mapumbavu na majinga yamejaa kwenye page yake yanamsapoti na kumpetipeti kila jambo yanasifia na kujipendekeza yaani huu utahira watanzania tutaacha lini?
Kwanini tunakosa uzalendo kabisa?
Unadhanj ingekuwa nchi yake ya GHANA ndiyo ina scenario kama ya Tanzania je angeshikilia bango hivi?
Acheni upumbavu
Huyu jamaa kwa sasa amezidi kututibua nyongo watanzania kwa kiasi kikubwa sana
Inasemekana kuwa Tanzania wanaweza kupokonywa nafasi yao kushiriki Afcon na akapewa Guinea sababu hasa ni kuwa jamaa wameandika barua CAF kuwa.
Tanzania kumchezesha mchezaji ambaye namba anayovaa na iliyoandikwa kwenye ubao ni tofauti yaani 24 na 26 ambaye alikuwa ni Ame.
kupangiwa match officers ambao walikuwa wanatoka Kenya yaani CECAFA zone hivyo ni upendeleo.
Kubadilisha muda wa match kutoka saa 1 kwenda 10 jioni.
Haya yote ni nonsense kabisa Guinea wanatapa tapa tu hawana la maana sababu
Yote hayo hayana mashiko.
mchezaji aliyeingia alikuwa ni Ame ni si mwengine hivyo hakuna ubadhilifu hapo.
kuhusu kubadilishwa match muda Shirikisho liliomba CAF mapema match ichezwe mapema.
kuhusu match officers kutoka Kenya ni CAF ndiyo wamepanga sio sisi .
Sasa huyu limwandishi tapeli kutoka Ghana limeshikilia bango sana kuhusu hili swala mpaka unajiuliza kama amelipwa na Guinea?
Ni kama post ya 10 hii anazungumzia jambo moja hilo hilo yaani anamwaga petrol kwenye moto!
Mambo mengine huwa hakazii sana hasa mabwana zake waarabu wanaomlipa hela huwa anaongelea mazuri tu sana sana ahly ahly na wydad pia team takataka Simba.
Je, amelipwa au namna gani au sababu taifa lake halijafuzu anataka tukose wote?
Kinachokera matanzania mapumbavu na majinga yamejaa kwenye page yake yanamsapoti na kumpetipeti kila jambo yanasifia na kujipendekeza yaani huu utahira watanzania tutaacha lini?
Kwanini tunakosa uzalendo kabisa?
Unadhanj ingekuwa nchi yake ya GHANA ndiyo ina scenario kama ya Tanzania je angeshikilia bango hivi?
Acheni upumbavu