Kwanini Micky Jnr anachochea sana moto Tanzania wapokonywe nafasi yao AFCON apewe guinea?

Kwanini Micky Jnr anachochea sana moto Tanzania wapokonywe nafasi yao AFCON apewe guinea?

Anaetakiwa kukagua jezi za wachezaji kabla ya match ni nani mkuu? Kamishina wa mchezo ana kazi Gani? Na vipi namba huwa zinaandikwa pindi mchezaji anaingia uwanjani au refa anakuwa nazo teyar? Kama huwa zinaandikwa kwenye kile kibao huenda alikosea kuandika refa msaidizi
 
Anaetakiwa kukagua jezi za wachezaji kabla ya match ni nani mkuu? Kamishina wa mchezo ana kazi Gani? Na vipi namba huwa zinaandikwa pindi mchezaji anaingia uwanjani au refa anakuwa nazo teyar? Kama huwa zinaandikwa kwenye kile kibao huenda alikosea kuandika refa msaidizi
Huo ndiyo ukweli yule ndiyo aliyekosea namba sio sisi

Halafu ingekuwa kama mchezaji aliyepelekwa jina aingie halafu akaingia mwengine ingekuwa soo ila aliyeingia ndiyo huyo AME na sio mwengine na jina lake lipo kwa match officials sasa hapo kama adhabu labda faini tu
 
Watanzania akili hawana, Sasa Mwandishi wa habari unamchukiaje kwa kuandika habari. Habari yenyewe ni ya ukweli siyo uongo sasa unachukia nini, ?. Baadhi ya Watanzania wapumbavu saana
Ukweli ni kwamba wewe humjui micky na wala hujui kinachoendelea

Kaa kimya na ukampe na kijambio akile maana ndiyo tabia zenu wabongo kushoboka na wageni sijui wawape nini hata kama wamekosea
 
huyo jamaa si anakujaga Tanzania? kwanini asitekwe apelekwe katavi aache unafiki tumeomba sana Tanzania ishinde alafu mjinga mmoja anataka kuharibu
Anakujaga mara moja moja tu kwenye mechi za simba

Mara ya mwisho akikuja dhidi ya simba na ahly ahly
Ila akapigwa pini hakuingia uwanjani walimzuia sijui sababu gani

Akasubiri mpka mwisho wa mechi ndiyo akaenda kupiga na kina Tau

Unadhani kwanini micky na waandishi wenzie haziivi?
 
Watanzania akili hawana, Sasa Mwandishi wa habari unamchukiaje kwa kuandika habari. Habari yenyewe ni ya ukweli siyo uongo sasa unachukia nini, ?. Baadhi ya Watanzania wapumbavu saana
Wee mrundi una akili ? Ungekua na akili si ungerud kwenu Burundi ukajenge taifa lako?
 
Mimi siyo mwanasheria! Ila sioni kama kuna kesi hapo. Halafu huyo jamaa hata simfahamu eti!! Labda nimuulize Kalpana anaweza kunipa darasa la kutosha kumhusu huyo jamaa.
Ni rafiki yake Fadlu...Injinia Hersi na wengineo....nasikia ana demu wa kitanzania 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom