Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #41
Huu ni uandishi mbovu sana andika vizuriKEsi ni tanzania vs guinea. Sidhani kama ghana ilihusika mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uandishi mbovu sana andika vizuriKEsi ni tanzania vs guinea. Sidhani kama ghana ilihusika mkuu
Kama mpaka sasa hujaona ni juu yako uzi upo wazi unajieleza na wenzako wameelewaSawa mkuu, sema bado hujatoa hoja tanzania imechaguliwaje
SaWa MKUuHuu ni uandishi mbovu sana andika vizuri
Ni marufuku kuchanganya herufi kubwa na ndogo sawa?SaWa MKUu
Yaani ni mashabiki wa hovyo sanaShida ni mashabiki wa Simba wakiongozwa na pasi milioni.
Kesi kafungua guinea mkuu, kama caf watafanya maamuzi kisa micky anapost kila saa, basi shida sio micky mkuu. Bomu litakua ni cafKama mpaka sasa hujaona ni juu yako uzi upo wazi unajieleza na wenzako wameelewa
Sio shida zangu
Nani amesema micky kafungua kesi? Mbona mnafanya walimu wenu shule wajutie?Kesi kafungua guinea mkuu, kama caf watafanya maamuzi kisa micky anapost kila saa, basi shida sio micky mkuu. Bomu litakua ni caf
Fafanua post zangu zinashida gani mpaka umekuja na hiyo statement hapo.Nani amesema micky kafungua kesi? Mbona mnafanya walimu wenu shule wajutie?
Si huelewi na hueleweki sasa tukueleweshe vipi uelewe?Fafanua post zangu zinashida gani mpaka umekuja na hiyo statement hapo.
Nakuunga mkonoWanatakiwa wafukuzwe nchini hapa
Yaani wana low iq mpaka inaboa hawa ndugu zetu sijui tuwasaidiejeNakuunga mkono
KWahiyo hakuna sehemu yeyote inayoeleza kwamba micky kafungua kesi sio? Sasa ile statement ulifikiria nini mkuuSi huelewi na hueleweki sasa tukueleweshe vipi uelewe?
Nimejitahidi nimeshindwa dogo
Sikia kwaheri sana kijana naona mpaka sasa huajelewa hebu onesha wapi nimesema micky kafungua kesi?KWahiyo hakuna sehemu yeyote inayoeleza kwamba micky kafungua kesi sio? Sasa ile statement ulifikiria nini mkuu
UNatoka kwenye reli mkuuSikia kwaheri sana kijana naona mpaka sasa huajelewa hebu onesha wapi nimesema micky kafungua kesi?
View attachment 3158909
Hii statement yako ni hewaNani amesema micky kafungua kesi? Mbona mnafanya walimu wenu shule wajutie?
Hivi una shida gani? Una matatizo ya kuelewa au akili labda? Sema usaidiweUNatoka kwenye reli mkuu
Hii statement yako ni hewa
Mi nikiona Notification umereply namimi natandika replyHivi una shida gani? Una matatizo ya kuelewa au akili labda? Sema usaidiwe
Niliwahi kupita mara kadhaa kwenye page yake nikakuta baadhi ya makolo ndio yanamkenulia meno anazidi kujiona master.Kinachokera matanzania mapumbavu na majinga yamejaa kwenye page yake yanamsapoti na kumpetipeti kila jambo yanasifia na kujipendekeza yaani huu utahira watanzania tutaacha lini?
Niliwahi kupita mara kadhaa kwenye page yake nikakuta baadhi ya makolo ndio yanamkenulia meno anazidi kujiona master.Kinachokera matanzania mapumbavu na majinga yamejaa kwenye page yake yanamsapoti na kumpetipeti kila jambo yanasifia na kujipendekeza yaani huu utahira watanzania tutaacha lini?