Kwanini Micky Jnr anachochea sana moto Tanzania wapokonywe nafasi yao AFCON apewe guinea?

Kwanini Micky Jnr anachochea sana moto Tanzania wapokonywe nafasi yao AFCON apewe guinea?

Sawa mkuu, sema bado hujatoa hoja tanzania imechaguliwaje
Kama mpaka sasa hujaona ni juu yako uzi upo wazi unajieleza na wenzako wameelewa

Sio shida zangu
 
Kama mpaka sasa hujaona ni juu yako uzi upo wazi unajieleza na wenzako wameelewa

Sio shida zangu
Kesi kafungua guinea mkuu, kama caf watafanya maamuzi kisa micky anapost kila saa, basi shida sio micky mkuu. Bomu litakua ni caf
 
Kesi kafungua guinea mkuu, kama caf watafanya maamuzi kisa micky anapost kila saa, basi shida sio micky mkuu. Bomu litakua ni caf
Nani amesema micky kafungua kesi? Mbona mnafanya walimu wenu shule wajutie?

Hujui micky ni mtu mwenye influence kubwa sana na mtaalamu wa propaganda akikazia jambo?

Uliza swala la aziz kipindi kile alichofanya na ndiyo chanzo chake yanga kumkataa
 
Fafanua post zangu zinashida gani mpaka umekuja na hiyo statement hapo.
Si huelewi na hueleweki sasa tukueleweshe vipi uelewe?

Nimejitahidi nimeshindwa dogo
 
Si huelewi na hueleweki sasa tukueleweshe vipi uelewe?

Nimejitahidi nimeshindwa dogo
KWahiyo hakuna sehemu yeyote inayoeleza kwamba micky kafungua kesi sio? Sasa ile statement ulifikiria nini mkuu
 
KWahiyo hakuna sehemu yeyote inayoeleza kwamba micky kafungua kesi sio? Sasa ile statement ulifikiria nini mkuu
Sikia kwaheri sana kijana naona mpaka sasa huajelewa hebu onesha wapi nimesema micky kafungua kesi?
1731648308806.jpg
 
Kinachokera matanzania mapumbavu na majinga yamejaa kwenye page yake yanamsapoti na kumpetipeti kila jambo yanasifia na kujipendekeza yaani huu utahira watanzania tutaacha lini?
Niliwahi kupita mara kadhaa kwenye page yake nikakuta baadhi ya makolo ndio yanamkenulia meno anazidi kujiona master.
 
Kinachokera matanzania mapumbavu na majinga yamejaa kwenye page yake yanamsapoti na kumpetipeti kila jambo yanasifia na kujipendekeza yaani huu utahira watanzania tutaacha lini?
Niliwahi kupita mara kadhaa kwenye page yake nikakuta baadhi ya makolo ndio yanamkenulia meno anazidi kujiona master.
 
huyo jamaa si anakujaga Tanzania? kwanini asitekwe apelekwe katavi aache unafiki tumeomba sana Tanzania ishinde alafu mjinga mmoja anataka kuharibu
 
Watanzania akili hawana, Sasa Mwandishi wa habari unamchukiaje kwa kuandika habari. Habari yenyewe ni ya ukweli siyo uongo sasa unachukia nini, ?. Baadhi ya Watanzania wapumbavu saana
 
Back
Top Bottom