Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #21
Mchezaji gani alicheza? Je amecheza mchezaji tofauti na aliyepelekwa?Kosa lipo ,namba iliyotumwa Caf na kuandikwa kwenye players list sio aliyovaa
Hii imfikie mdukuzi aelewe hilokilichonipa faraja ni kwamba, mchezeji bishaniwa alikuwa kwenye list, alikaguliwa na timu pinzani na kamisaa. shida ni jezi tu sio mchezaji. na kwamba kosa kama hilo likitokea huwa kuna adhabu, na adhabu mojawapo ni faini, kufutiwa kama itakuwa serious. sasa ya kwetu haiwezi kusemekana kuwa ni serious fraud wakati alikuwa kwenye list na alikaguliwa na wapinzani. itadondokea kwenye faini tu.
Lakini kwa nini wakose umakini kiasi hicho? Kwamba jezi yake ni 24, kwa nini alivaa 26? Huoni kwamba ni kukosa umakini kwa uongozi na hata huyo mchezaji?kilichonipa faraja ni kwamba, mchezeji bishaniwa alikuwa kwenye list, alikaguliwa na timu pinzani na kamisaa. shida ni jezi tu sio mchezaji. na kwamba kosa kama hilo likitokea huwa kuna adhabu, na adhabu mojawapo ni faini, kufutiwa kama itakuwa serious. sasa ya kwetu haiwezi kusemekana kuwa ni serious fraud wakati alikuwa kwenye list na alikaguliwa na wapinzani. itadondokea kwenye faini tu.
I salute you kinsmen.
Huyu jamaa kwa sasa amezidi kututibua nyongo watanzania kwa kiasi kikubwa sana
Inasemekana kuwa Tanzania wanaweza kupokonywa nafasi yao kushiriki Afcon na akapewa Guinea sababu hasa ni kuwa jamaa wameandika barua CAF kuwa.
Haya yote ni nonsense kabisa Guinea wanatapa tapa tu hawana la maana sababu
Yote hayo hayana mashiko.
Sasa huyu limwandishi tapeli kutoka Ghana limeshikilia bango sana kuhusu hili swala mpaka unajiuliza kama amelipwa na Guinea?
Ni kama post ya 10 hii anazungumzia jambo moja hilo hilo yaani anamwaga petrol kwenye moto!
Mambo mengine huwa hakazii sana hasa mabwana zake waarabu wanaomlipa hela huwa anaongelea mazuri tu sana sana ahly ahly na wydad pia team takataka Simba.
Je amelipwa au namna gani au sababu taifa lake halijafuzu anataka tukose wote?
Kinachokera matanzania mapumbavu na majinga yamejaa kwenye page yake yanamsapoti na kumpetipeti kila jambo yanasifia na kujipendekeza yaani huu utahira watanzania tutaacha lini?
Kwanini tunakosa uzalendo kabisa?
Unadhanj ingekuwa nchi yake ya GHANA ndiyo ina scenario kama ya Tanzania je angeshikilia bango hivi?
Acheni upumbavu
Ukiangakia anavishambuliwa micky kwa kuripoti hii habari, hautashangaa sana serikali inavoziendesha hizi media za hapa ndaniYeye ni mwandishi tu kama alivo shafih dauda hayuko kwenye kamati za caf na hana ushawishi wa kuingilia maamuzi ya caf labda utwambie kama yeye kama mwandishi wa habari za michezo ameripoti tofauti na shirikisho la genea lilivotuma hio case caf ni sawa. Hata hivo nimeona leo channel ten pia wqmeongelea hio kitu na tanzania tumefanya kosa.
Kosa lake adhabu ni kuondolewa AFCON?Yeye ni mwandishi tu kama alivo shafih dauda hayuko kwenye kamati za caf na hana ushawishi wa kuingilia maamuzi ya caf labda utwambie kama yeye kama mwandishi wa habari za michezo ameripoti tofauti na shirikisho la genea lilivotuma hio case caf ni sawa. Hata hivo nimeona leo channel ten pia wqmeongelea hio kitu na tanzania tumefanya kosa.
Basi walikuwa wajinga kusema kila mchezaji na namba ya mgongoni viijulikane mapemaMchezaji gani alicheza? Je amecheza mchezaji tofauti na aliyepelekwa?
Hebu acha siasa ndugu haya adhabu yake inasemaje?
Mlikuwa mnamchekelea alipokuwa anaishambulia Yanga, leo imekuwaje tena?I salute you kinsmen.
Huyu jamaa kwa sasa amezidi kututibua nyongo watanzania kwa kiasi kikubwa sana
Inasemekana kuwa Tanzania wanaweza kupokonywa nafasi yao kushiriki Afcon na akapewa Guinea sababu hasa ni kuwa jamaa wameandika barua CAF kuwa.
Haya yote ni nonsense kabisa Guinea wanatapa tapa tu hawana la maana sababu
Yote hayo hayana mashiko.
Sasa huyu limwandishi tapeli kutoka Ghana limeshikilia bango sana kuhusu hili swala mpaka unajiuliza kama amelipwa na Guinea?
Ni kama post ya 10 hii anazungumzia jambo moja hilo hilo yaani anamwaga petrol kwenye moto!
Mambo mengine huwa hakazii sana hasa mabwana zake waarabu wanaomlipa hela huwa anaongelea mazuri tu sana sana ahly ahly na wydad pia team takataka Simba.
Je amelipwa au namna gani au sababu taifa lake halijafuzu anataka tukose wote?
Kinachokera matanzania mapumbavu na majinga yamejaa kwenye page yake yanamsapoti na kumpetipeti kila jambo yanasifia na kujipendekeza yaani huu utahira watanzania tutaacha lini?
Kwanini tunakosa uzalendo kabisa?
Unadhanj ingekuwa nchi yake ya GHANA ndiyo ina scenario kama ya Tanzania je angeshikilia bango hivi?
Acheni upumbavu
Kaichafuaje tanzania elezea kwa hoja 3 tuHuyo mwandishi kaichafua yanga Hadi kachoka mwenyewe. Kwa Sasa kahamia kuichafua Taifa stars.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Nyie ndiyo matanzania majinga majinga sanaUkiangakia anavishambuliwa micky kwa kuripoti hii habari, hautashangaa sana serikali inavoziendesha hizi media za hapa ndani
Huyo micky tulishasema sana ila wajinga wa huko ukoloni wakaona raha anavyowasifiaMlikuwa mnamchekelea alipokuwa anaishambulia Yanga, leo imekuwaje tena?
Unajifanya future gumu ama?Kaichafuaje tanzania elezea kwa hoja 3 tu
Wanatakiwa wafukuzwe nchini hapaMashabiki wa simba ndo wanaomsapoti
Ishu ya kuweka post kama 10 hapo lawama wa kwanza apewe mmiliki wa twita na maokoto yake. La pili sioni kipya kwa post nyingi ni kama fabrizio tu kwenye transfer ya mchezaji.Nyie ndiyo matanzania majinga majinga sana
Swala sio kuripoti ila swala ni yeye kuivalia njuga sana post zaidi ya 10!
Halafu mbona habari zake huwa ziko biased sana?
Mfano ahly ahly wameshafanya ujinga mwingi sana ila anapost kwa kupetipeti sana ila ndiyo vile watanzania mmejaa ujinga na kujipendekeza sana
Mnapenda kutafuniwa tu na sio kufikiria na nyie ndiyo mtaji wa micky huyo
KEsi ni tanzania vs guinea. Sidhani kama ghana ilihusika mkuuUnajifanya future gumu ama?
Umesoma uzi ukaelewa au ndiyo unajifanya mghana halisi?
Acha ujinga huoni aliyofanya? Just try to think kijana
Wewe bado sana kulijua soka la Africa bado sana .Ishu ya kuweka post kama 10 hapo lawama wa kwanza apewe mmiliki wa twita na maokoto yake. La pili sioni kipya kwa post nyingi ni kama fabrizio tu kwenye transfer ya mchezaji.
Lengo hapa ni sisi kujiuliza imekuaje ikatokea vile.
Empty kabisaKEsi ni tanzania vs guinea. Sidhani kama ghana ilihusika mkuu
Sawa mkuu, sema bado hujatoa hoja tanzania imechaguliwajeEmpty kabisa
Sipotezi muda wangu tena na wewe mkuu
Imetosha sababu huna hoja