Ni majitu majinga na ndiyo yanampa kichwa sana anawaona majinga sana yaani yanatutia aibuNiliwahi kupita mara kadhaa kwenye page yake nikakuta baadhi ya makolo ndio yanamkenulia meno anazidi kujiona master.
Huo ndiyo ukweli yule ndiyo aliyekosea namba sio sisiAnaetakiwa kukagua jezi za wachezaji kabla ya match ni nani mkuu? Kamishina wa mchezo ana kazi Gani? Na vipi namba huwa zinaandikwa pindi mchezaji anaingia uwanjani au refa anakuwa nazo teyar? Kama huwa zinaandikwa kwenye kile kibao huenda alikosea kuandika refa msaidizi
Ukweli ni kwamba wewe humjui micky na wala hujui kinachoendeleaWatanzania akili hawana, Sasa Mwandishi wa habari unamchukiaje kwa kuandika habari. Habari yenyewe ni ya ukweli siyo uongo sasa unachukia nini, ?. Baadhi ya Watanzania wapumbavu saana
Anakujaga mara moja moja tu kwenye mechi za simbahuyo jamaa si anakujaga Tanzania? kwanini asitekwe apelekwe katavi aache unafiki tumeomba sana Tanzania ishinde alafu mjinga mmoja anataka kuharibu
tatzo la tz kujidai inawapenda wakimbizi na kuwakaribisha kigoma na mikoa mingineKosa lipo ,namba iliyotumwa Caf na kuandikwa kwenye players list sio aliyovaa
Wee mrundi una akili ? Ungekua na akili si ungerud kwenu Burundi ukajenge taifa lako?Watanzania akili hawana, Sasa Mwandishi wa habari unamchukiaje kwa kuandika habari. Habari yenyewe ni ya ukweli siyo uongo sasa unachukia nini, ?. Baadhi ya Watanzania wapumbavu saana
Ni rafiki yake Fadlu...Injinia Hersi na wengineo....nasikia ana demu wa kitanzania 🤣 🤣 🤣Mimi siyo mwanasheria! Ila sioni kama kuna kesi hapo. Halafu huyo jamaa hata simfahamu eti!! Labda nimuulize Kalpana anaweza kunipa darasa la kutosha kumhusu huyo jamaa.