Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Nionavyo mimi ingawa sijafanya huo utafiti inaweza kuwa ni sababu za kimakuzi. Mwambao tuna shughuli 2 tu.kitandani na jikoni basi.Hatujihusishi sana na mambo mengine kama kilimo,elimu,kwaya,nk.
 
Wakati unaandika ujinga huu, kesho usiwe wa kwanza kusema 'oooh mbona nafasi wanapewa Edith na Rachel tu, kwani kina Mwantumu na Zena sio wanawake'?

Maisha ni maandalizi. Mtu akiniambia wanawake wa Kikristo hawajui kupika labda nitamuuliza chakula gani. Kitu kama biriani na vitumbua si asili ya watu wa bara na hata mimi ukinipikia biriani utamichefua. Nikiwa na akili zangu timamu, too much spices ni uchafuzi wa tumbo langu. Mke wangu anajua kupika, kuliko hao mama ntilie walioorodheshwa hapa.

Kitimoto mnaturostiaga nyie?

Labda huko uswahilini mnakoishi waweza kuona jambo, wacha nikusaidie. Wakati mama Flora anamhimiza binti yake aende shule maneno yake hayatafanana na ya mama Aisha akimhimiza Aisha asugue sufuria 'ling'ae'.

Mama Flora: Hivi wewe, ukishafeli utaishi maisha gani hapa mjini kama sio kutegemea wanaume wakulishe wewe? Nani anataka golikipa siku hizi?

Mama Aisha: Wewe endeleaga hivyo hivyo na mkichwa wako mzito, tui la kwanza linakuwaga hivyo...we hata humalizi mwaka mumeo atakuolea mke mwingine, hebu niondokee hapa

MAISHA NI VIPAUMBELE.
Yaani una akili mpaka unakera![emoji106]
 
Hawajui kupika pia si wabunifu wa mapishi nina sababu 2 ukitaka takwambia
 
fika kahama,waarabu wengi,na wakazi wengi si christians ila kwenye migahawa hawajui kupika,wanajua kuweka viungo vingi kwenye mchuzi,yaani balaa
 
Kulikuwa na shida gani ya kutaja mikoa husika badala ya kuhusisha dini mbona waislanu wengi wanakula nguruwe na siyo ishu kabisa
HILO LAKO NA SI KILA MWENYE JINA ATHUMANI AU YAASINI NI MUISLAM WENGINE NI MAJINA TU! NA KAMA HUAMINI HILO NJOO DODOMA!
 
Ni kweli kwasababu wao muda mwingi ufikiria kupika kuliko shule,wa upande wa pili muda mwingi waliutumia shule
SI KWELI KABISAAAAA!HAO WA MIGOMBANI WASIO NASHULE NA WAGG WA DODOMA NAO NI SHULE IMEWA FANYA WASIJUE MAPISHI?
 
Kula Wakristo siyo hoja sana kwao. Ni urithi wa kizungu. Waliokwenda Ulaya, vyakula vyao siyo vitamu ki hivyo! Waarabu wanajali sana kula ndio maana viungo vingi vina soko Uarabuni. Ni part ya Uislamu nadhani! Wanafundishwa nadhani madarasa! Mwambao wote wanajua kulemba chakula. Stand to be corrected!
Dhana yako haina ukweli. .......hakuna somo la mapishi madrassa. ......Kuna masomo ya binadamu wamjue mungu ni yupi na dini ni ipi. .kwa ushahidi wa kitabu.
 
Kwa Nini upate shida mkuu! Hili nalo ndo mpaka ufungue thread hapa? Kama Mighahawa ya Kikristo haikupi chakula unachosema kitamu! Nenda kwenye Mighahawa ya Kiislamu ukale....! Simple.....!!!
UNAJUA UKWELI HUCHOMA HATA KAMA HAUNA NCHA
 
Wagalatia na mapishi ni sawa na bashite na vyeti.
Kwanza umejiita ni Dr. Samahani ni daktari mzamivu au daktari wa cheti anayetibu mbwa mitaani au kupima nyama bucha. Nataka nikujibu baada ya kutambua na mtu wa kiwango gani cha elimu na ufahamu.
 
Mkuu
Chakula kizuri ni kipi? Kila mtu ana test yake. Kama pilau la kiislam kwako ni deal mwingine burger ndo deal.
Unaposhabikia wali wanazi we mtu wapwani, msukuma ugali ndo deal hivyo topic yako si oni mantiki yake zaidi ya element za ugonganishi.
HATA BURGER LA JUMA NI TAMU TOFAUTI NA LA FARU
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Unataka tusii au?
 
Kwanza umejiita ni Dr. Samahani ni daktari mzamivu au daktari wa cheti anayetibu mbwa mitaani au kupima nyama bucha. Nataka nikujibu baada ya kutambua na mtu wa kiwango gani cha elimu na ufahamu.
Hakuna msosi mtamu kama rosti ya Kitimoto...

Hii lishe bora inatengenezwa na waislamu???
 
Back
Top Bottom