Aisee manka, waulize hao wasio wakristo kama wanaweza kupika mtori wa kitimoto.Mi najua kupika ...nA ni mkristo....huyo mwny mgahawa asiejua kupika labda katokea kishumundu babaa anguu
Kabla ya waarabu kuja afrika mashariki mapishi yalifanana kwa kiwango fulani kati yetu. Nunua mapishi kwa waislam ni matokeo ya kuadopt eastern Arabic civilization ambao kwao kupika wamekutilia juhudi sana ndo maana hata ukienda mighahawa ya wapemba wapishi wengi ni wanaume kwa hiyo Hilo jambo lipo kitamaduni zaid kuliko kidini. Sidhani kama Kuna mafundisho ya mapishi kwenye Quran Wala Bible.Bila shaka mumeo unamlisha notes zinazonukia harufu nzuuuuuri ya wino.
Kusoma kwako kukusaidie kujitambua ili kuyamudu mazingira ya sasa na yajayo.
Mazingira yajayo ni kujua kuwa ipo siku utakuwa mke, na huna budi kutimiza majukumu yako ikiwa ni pamoja na kumpikia mumeo. Vipo vitu vingi vinavyoongeza upendo, hata hili pia lina mantiki.
Hujachelewa, chukua hatua.
Hawajui baba angu...wanadhani kupika ni pilau na biriani tu baabaa angu...kuna mapishi hawajui kabisa.......wakipika mtori usishangae wakijaza mdalasini nA ilikii etiiiAisee manka, waulize hao wasio wakristo kama wanaweza kupika mtori wa kitimoto.
Maana nilipata hiyo kitu pale Kibosho ni tamu ati...
Duhh, kumbe watu wanafikiria sanaHii funga mwaka, ila huenda kweli
mzee ni kwasababu hawaweki maji ya ........... kwenye msosi.Mimi ni Mkristo!
Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!
Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Kwahiyo mtu Mwarabu wewe ndio unachukulia ni uislam? Hujui kuna maaskofu Wa kikristo waarabu?ukweli 100%
kupanga ni kuchagua. kama toka dunia imeumbwa hakuna gari ya kiarabu,hakuna meli ya kiarabu,hakuna ndege ya kiarabu, hakuna kitu mwarabu kavumbua kisayansi mwarabu bado anafuata maagizo ya mnyaaz ndo maana ni bingwa wa kupika,pafyum,mapazia,mabusati kupiga pu... no.
dunia inasonga mbele.
Mkuu, Mie yangu mcho ! Utajikuta uko kituo cha police cha kati!, je, unakumbuka yaliyotokea Buselesele mkoani Geita mwaka 2014?Acha maneno yako, uchochezi wapi, huo ndio ukweli, waisalamu wanajua kupika na nisababu ya connection ya uarabu. Kipindi cha Ramadhani sote tunakula futari regardless of dini zetu, coz hawa jamaa ni noma kwenye mapishi.