Mimi sio mvaa kobazi dogo
Tuonyeshe tu mgawanyiko wa shareholders ili tuufunge huu mjadala maneno yasiwe mengiArabian American Company.
Siyo tu hawana hisa, waliianzisha hiyo kampuni. Kama US wameachia hisa zao Aramco, elewa ni siasa tu za funika kombe mwanaharamu apite, unafikiri Wamerekani wajinga kulinda maslahi yao? Au umeisahau "Arab spring".
Wasaudi hawathubutu kuwanyuma hisa na Mafuta Wamerskani, unafikiri hawajaona yaliyowapa Saddam na Ghaddafi kwa kubania mafuta na kuvunja mikataba inayohusu mafuta na US?
Soma japo kiduchu: The U.S. and Saudi Arabia Since the 1930s - Foreign Policy Research Institute
Mfano mzuri ni haoa Tanzania tulipojidai hatuwataki mabepari wachimbe dhahabu, tukapigwa mkwara tukakubali "Ficha pombe* Mwanaharamu apite".
Soma:
View attachment 2640847
Kasome tena post nanba 59, nimeweka attachment inaonnesha wamerekani wanamiliki kisima cha mafuta ndani ya Saudi Arabia. Unajuwa maana yake? Au lugha imekupiga chenga?Tuonyeshe tu mgawanyiko wa shareholders ili tuufunge huu mjadala maneno yasiwe mengi
Mbona kajopambanua vizuri tu kwenye aya hizi na ziko nyingiAllah hana uwezo wa kujibu maombi yoyote maana yeye tu hana nguvu za kujitetea hadi mnamtetea ninyi tena kwa mikono yenu.
Mr's Abdool tafakari nikichoma kitabu chako mtanivamia na kunichoma moto ama kunipiga mpaka kufa au nikija masjid nikafanya yaliyokatazwa mtanifanya kitu kibaya sana lakini katika Ukristo hiyo ni neema nitaokelewa.
Andiko ni refu hata nikiliweka najua hautalisoma ila soma Zaburi ya 66 yote utaona namna gani Yehova ana nguvu za kutusaidia na kututetea wanae
Kitu ambacho kajaaliwa mwanaadam ni uwezo wa kufikiri na kuamuwa. Hata malaika hawajapewa uwezo huo.
Mmarekani Saudia Arabia analinda maslahi yake. Ana hisa kubwa sana katika shirika kubwa duniani la uchimbaji mafuta, nalo lipo Saudi Arabia, linaitwa Saudi ARAMCO, Arabian American Company.
Umeelewa. Kijana? Uwepo wake kuilinda Saudi Arabia ni kwa naslahi yake 100%.
Tent na turubai kwa nini hawekwi yeye mpaka awekewe na nyinyi waumini!?..fungu la kumi na sadaka toka kwa binaadam za nini wakati ana uwezo wote kwa asijifanyie mwenyewe!?...halafu abdool ni nani!?Abdoool long time no see karibu sana
Jehovah haitaji nyumba kwa ajili ya ibada ndio maana watu wanasali kwenye mahema na maturubai.
Fungu la kumi ni sheria yake hivyo lazima ifuatwe, ila abdool Mungu wetu hatetewi wala hapiganiwi kama wenu.
Allah ana sifa zifuatazo kwa uchache
1. Kiziwi
2. Bubu
3. Hana nguvu
4. Mfarakanishi
Ndiyo ukweli wenyewe huo.Ongezea kabisa kua marekani ananufaika na kuvuna mabilioni ya dollar kutoka uarabuni kuliko sehemu yoyote duniani
Binuka binuka ndiyo nini?Dini ikitulia ifanye mambo yake bila kuzingua watu wala hautaskia tukiisema, kwa mfano mabudha na wahindu wanafanya yao huko na huskii mtu akitoa tamko kuwahusu, ila hii yenu mara mtulipukie mabomu, mara mchinje watu kuwalazimisha waabudu hicho mnachokiabudu, hamtulii mfanye yenu.
Vaa mikanzu yako, ota mindevu, binuka binuka utakavyo ila yafanye bila kulazimisha wengine au kufanya fujo au mauaji, tutakuheshimu wewe na mambo yako na hautaskia ukisemwa.
Umesema kuwa Marekani wana hisa pale Saudi Aramco. Nikasema si kweliKasome tena post nanba 59, nimeweka attachment inaonnesha wamerekani wanamiliki kisima cha mafuta ndani ya Saudi Arabia. Unajuwa maana yake? Au lugha imekupiga chenga?
Nimeshalijibu hilo mara nyingi rudia posts tu, lakini hata jina Arabian American Company (Aramco) halikupi maana yoyote?Umesema kuwa Marekani wana hisa pale Saudi Aramco. Nikasema si kweli
Basi utupe mgawanyiko wa shareholders pale Saudi Armaco tuone kama Marekani ana hisa
Nimeshalijibu hilo mara nyingi rudia posts tu, lakini hata jina Arabian American Company (Aramco) halikupi maana yoyote?
Kumbuka, toka ARAMCO ifanywe public company sheria haziwaruhusu na haiingii akilini kutangaza share holders mmoja mmoja ni kina nani. Siyo Limited company hiyo.
Well said, USA ni mabingwa wa kupika sumu ili majirani na mataifa wasielewane - lengo kuu hasa la Merikani ni kuyatafutiia soko viwanda vikubwa vya kuunda silaha (MIC)vya Merikani - bila ya kuchochea vita kila pembe ya Dunia Viwanda vyao vya silaha vitakosa kazi.Hakuna cha ulinzi hapo zaidi ya kijimwambafai tu basi. Vita ya Ukraine imishamvua pichu kuwa Patriot hakuna kitu zaisi ya midoli tu.
Yemen Saudia na iran zimeisha patana na sasahivk anatafutiwa sababu ya kutimuliwa hapo. USA alikuwa anapika sumu dhidi ya majirani ilo awe na uhakika wa kukaa hapo sasa kaishashitukiwa
Abdoool uko hai kumbeTent na turubai kwa nini hawekwi yeye mpaka awekewe na nyinyi waumini!?..fungu la kumi na sadaka toka kwa binaadam za nini wakati ana uwezo wote kwa asijifanyie mwenyewe!?...halafu abdool ni nani!?
Allah ni mfarakanishi, Allah ni mgomvi,Allah hapendi ustawi wa jamii, Allah hana NGUVU.Mbona kajopambanua vizuri tu kwenye aya hizi na ziko nyingi
Na Mola wenu akasema "Niombeni nitakujibuni". Kwa hakika wale wajivunao kufanya ibada yangu bila shaka wataingia Jahannam, wadhalilike".
(Sueat Al - Muumin - Ghafir- 60).
Na akasema:-
"Na waja wangu watakapokuuliza hakika yangu Mimi niko karibu nao. Naitikia maombi ya muombaji anaponiomba. Basi waniitikie na waniamini ili wapate kuongoka".
Surat Al - Baqarah - 186
Allah hana tofauti na mfalme NebukadnezaAllah ndiye aliwezesha hilo lifanyike, kumbuka hilo.
Hafananishwi na chochote.
Ndiyo ndiyo. Nakufuatilia hapa japo umejibu kinyonge sana bimdashiKitu ambacho kajaaliwa mwanaadam ni uwezo wa kufikiri na kuamuwa. Hata malaika hawajapewa uwezo huo.
Mmarekani Saudia Arabia analinda maslahi yake. Ana hisa kubwa sana katika shirika kubwa duniani la uchimbaji mafuta, nalo lipo Saudi Arabia, linaitwa Saudi ARAMCO, Arabian American Company.
Umeelewa. Kijana? Uwepo wake kuilinda Saudi Arabia ni kwa naslahi yake 100%.
Ardhi zote za Mungu ile Kaaba ni nyumba takatifu na hakuna jambo ambalo linafanyika kuharibu utakatifu wake, nani kakwambia nchi za kiislamu basi wasio waislamu hawana haki ya kuishi? fata taratibu za watu utaishiWametia maslahi yao kwenye ardhi ya miungu yenu, mzungu ni balaa isingekua kwa yeye hiyo miungu yenu ingekua maskini sana.
Unyonge sina ni mawazo yako tu.Ndiyo ndiyo. Nakufuatilia hapa japo umejibu kinyonge sana bimdashi
Sasa ndevu na Kanzu zina shida gani? hakuna mtu mwema ambaye hakuvaa kanzu au kufuga ndevu au kufanya vyote , ndevu ni kwa wanaumeWacha kuteseka bana, bila akili za mzungu hao miungu wenu waarabu wangekua wanateseka kwa umaskini na kuvaa mikanzu na kuota mindevu kama ambavyo mnavyofanya wengi huko Pwani kwenye dini yao imezagaa.
Sasa ndevu na Kanzu zina shida gani? hakuna mtu mwema ambaye hakuvaa kanzu au kufuga ndevu au kufanya vyote , ndevu ni kwa wanaume