GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Dar es Salaam
2. Arusha
3. Mwanza
4. Mbeya
Kama Tanzania nzima ina jumla ya Mikoa 31 kama sijakosea baada ya mingine kuongezeka ikiwemo yangu ya asili ya Mara (Musoma) na Mtwara (Masasi) ni kwani nii hii Minne (4) tu tajwa hapa ndiyo hutajwa mara kwa mara?
Ila ninachofurahi hata mikoa ya watani zangu wakubwa Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Warangi, Wakara na Wanyamwezi nayo pia haimo na ningeshangaa sana kusikia kama na yenyewe ingetajwa (ingekuwepo) kwani ni mikoa ya watu masikini na washamba tupu, ila wakija mkoani Mara ndiyo huja kutajirika na kujanjaruka.
Watani mpo?
2. Arusha
3. Mwanza
4. Mbeya
Kama Tanzania nzima ina jumla ya Mikoa 31 kama sijakosea baada ya mingine kuongezeka ikiwemo yangu ya asili ya Mara (Musoma) na Mtwara (Masasi) ni kwani nii hii Minne (4) tu tajwa hapa ndiyo hutajwa mara kwa mara?
Ila ninachofurahi hata mikoa ya watani zangu wakubwa Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Warangi, Wakara na Wanyamwezi nayo pia haimo na ningeshangaa sana kusikia kama na yenyewe ingetajwa (ingekuwepo) kwani ni mikoa ya watu masikini na washamba tupu, ila wakija mkoani Mara ndiyo huja kutajirika na kujanjaruka.
Watani mpo?