GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwahiyo Kagera, Singida, Kigoma, Dodoma na Tabora wanakotoka Watani zangu siyo Tanzania?Sababu hiyo Mikoa ndio Tanzania
Hunipendi halafu bado Unanifuatilia / Unanisoma Kutwa ( 24/7 ) hapa JamiiForums je, nikisema huna Akili utasema nakosea?Uuzi zako mkuu unazilewa mwenyewe naona kama umeishiwa mada mpya, basi uwe unasoma za wengine sio lazima
Kwahiyo hii Mikoa ya Masikini na Washamba ya Kagera, Singida, Kigoma, Dodoma na Tabora yenyewe siyo ya Kikanda?Hayo ni majiji yenye uwekezaji mkubwa na yapo kikanda zaidi. Dar kanda ya pwani, Arusha kaskazin, Mwanza kanda ya ziwa, Mbeya Nyanda za juu kusini.
Uuzi zako mkuu unazilewa mwenyewe naona kama umeishiwa mada mpya, basi uwe unasoma za wengine sio lazima
Wenye chuki waache na chuki zao mkuu wewe tuletee mada km hizi tuenjoy, kwenye watu 10 huwezi kukosa wawili wasiokufurahia Ila wapo 8 wanaokukubariAsante Mkuu na tupo pamoja japo kuna Mtu Mmoja Covax anadhani GENTAMYCINE anayenichukia Nimekurupuka tu Kuuanzisha huu Uzi.
Shukran na Ubarikiwe Kiongozi wangu.Wenye chuki waache na chuki zao mkuu wewe tuletee mada km hizi tuenjoy, kwenye watu 10 huwezi kukosa wawili wasiokufurahia Ila wapo 8 wanaokukubari
Yaani Watani zangu Warangi wawe na Purchasing Power kuliko Sisi Wazanaki, Wakurya, Wajita na Wajaluo kutoka Kwetu Mkoani Mara? Mkuu are you Serious?Dodoma haisahauliki siku hizi maana purchasing power imehamia huku.
Hopeless.Ila nilikwambia Usome kitabu Cha Mwalimu Nyerere.
KINAITWA TUJISAHIHISHE.
Isitujazie seva za Jf.
Hapa saivi kila kabila lipo hapa hao wagogo na warangi wamekimbilia porini hukoYaani Watani zangu Warangi wawe na Purchasing Power kuliko Sisi Wazanaki, Wakurya, Wajita na Wajaluo kutoka Kwetu Mkoani Mara? Mkuu are you Serious?