Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Natafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi?
Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi?
Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate
Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?
Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi?
Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate
Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?