Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
- Thread starter
- #21
AlaaaaWajinga Ndiyo Waliwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AlaaaaWajinga Ndiyo Waliwao
Sasa hpo husiseme et Haina waislam wengi ila hyo maeneo Yana baridi Sana ndo maana watu wanafanya Sana hilo tendo,kwahyo shda sio ukristo shda n hali ya hewa,Hiyo hapo
Wana kaza kwenye ishu ya maadili.Hata wasimbe huko ni wachache
Itakua kwasababu ya pombe.Natafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi?
Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi?
Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate
Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?
ChaiiiiiNatafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi?
Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi?
Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate
Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?
manyara ina asilimia ngapiNatafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi?
Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi?
Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate
Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?
Kwa sababu mikoa hiyo wajumbe wa CCMni wachache,Kuna CUF zaidi.Natafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi?
Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi?
Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate
Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?
Yeye pia hajui sababu ni nini ndio maana ameuliza swali anahitaji majibu sasa badala ya kumjibu mnamkejeli na kumpiga vijembeMadai yake ni kwamba hawafanyi uzinzi wameishika dini
Na kwa nini sehemu yenye idadi kubwa ya ccm wamefikia steji ya kwenda mirembe.Natafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi?
Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi?
Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate
Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?
Vipi kuhusu Same,Ngorongoro pia kuna baridi?Sasa hpo husiseme et Haina waislam wengi ila hyo maeneo Yana baridi Sana ndo maana watu wanafanya Sana hilo tendo,kwahyo shda sio ukristo shda n hali ya hewa,
Huu ndio ukweli.Natafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi?
Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi?
Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate
Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?
Lushoto,Mlalo,,Mlola,Bumburi kuna baridi sana,na waislamu wengi,maambukizi ni machache.Sasa hpo husiseme et Haina waislam wengi ila hyo maeneo Yana baridi Sana ndo maana watu wanafanya Sana hilo tendo,kwahyo shda sio ukristo shda n hali ya hewa,
Hapana issues kubwa ni utamaduni wa tohara umechangia sana urahasi wa maambukiziSasa hpo husiseme et Haina waislam wengi ila hyo maeneo Yana baridi Sana ndo maana watu wanafanya Sana hilo tendo,kwahyo shda sio ukristo shda n hali ya hewa,
Watu ambao hawajafanyiwa tohara wapo katika hatari ya maambukizi ya ukimwi kuliko waliofanyiwa toharaHata Lushoto,Mlalo,Bumburi,kuna baridi sana.Lakini kuna waislamu wengi,na maambukizi ni machache.