Kwanini mikoa yenye idadi kubwa ya Waislamu kuna maambukizi machache ya UKIMWI?

Kwanini mikoa yenye idadi kubwa ya Waislamu kuna maambukizi machache ya UKIMWI?

Natafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi?

Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi?

Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate

Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?

Unakoelekea utalipata unalolitafuta
 
Natafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi?

Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi?

Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate

Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?

Kuna kitu unatafuta wewe sio bure😏
 
Kuna mwingine atakuja na swali namna kama ya la kwako pia utatoa macho, mfano :hivi hiyo mikoa ndio ile ya wale wadada wanacheza kwa kukalia chupa ? Unaona sasa.🤔🤔
Umemuweza🙌😂😂
 
Back
Top Bottom