Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Nimeuliza kwanini mikoa ambayo waislamu ni wengi kuna idadi ndogo ya maambukizi ya ukimwi?Kumbe siku hizi ukimwi unachagua dini sio?
Umeona takwimu za mwaka huu? Mtwara top ten ipo?Mtwara Ukimwi upo niliwahi fanya kazi kule daah watu wameoza aisee
Madai yake ni kwamba hawafanyi uzinzi wameishika diniKumbe siku hizi ukimwi unachagua dini sio?
Kuna mwingine atakuja na swali namna kama ya la kwako pia utatoa macho, mfano :hivi hiyo mikoa ndio ile ya wale wadada wanacheza kwa kukalia chupa ? Unaona sasa.🤔🤔Ni
Nimeuliza kwanini mikoa ambayo waislamu ni wengi kuna idadi ndogo ya maambukizi ya ukimwi?
Hiyo mikoa uliyotaja hawaamini mambo ya hospitali wanaamini katika tiba za asili hivyo hawahudhurii sana vipimo vya hospitali na tiba za hospitali. Na kama wewe si muumini wa tiba za hospitali hatuwezi tukapata data zako kama unaumwa au la! Hiyo mikoa yenye Ina idadi kubwa ya maambukizi sio kwamba wanaambukizana sana kuliko mikoa yote Bali Wana uelewa mkubwa wa tiba za hospitali na wanazitumia ndo maana tunaweza kupata data zaoNatafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi? Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi? Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate
Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?
Mkuu unataka uislam utukanwe na hawa wayaudi wa tandale kwa tumbo!Natafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi? Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi? Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate
Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?
Wana kaza kwenye ishu ya maadili.Hata wasimbe huko ni wachacheNatafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi? Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi? Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate
Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?
Huu uchokozi!Natafakari sana aisee hivi kwanini mikoa mingi ambayo kuna idadi kubwa ya waislamu kuna maambukizi machache ya virusi vya ukimwi? Tunaona kila mwaka mikoa kama lindi na sehemu kama zanzibar ambapo kuna idadi kubwa ya waislamu kunaripotiwa visa vichache vya amambukizi ya ukimwi je kwamba wana uelewa sana kuhusu ukimwi? Au kwao ngono si kipaumbele chao kama mikoa mingine kila mwaka ni Njombe,Iringa na mbeya ndiyo zinatia fora na tunajua huku watu gani wame dominate
Tutafakari wote tujue sababu ni ipi?
.Ingekuwa vzri kama hungeweka kumi Bora ya hyo mikoa ili tuone mikoa ipi Ina waislam wengi na ipo kwenye hyo orodha ndo tuendelee na mjadala
HapoHuu uchokozi!
Umefanya research lini??
Ingekuwa vzri kama hungeweka kumi Bora ya hyo mikoa ili tuone mikoa ipi Ina waislam wengi na ipo kwenye hyo orodha ndo tuendelee na mjadala
🤣🤣🤣post zako nyingi ni ukabila na udini kua na mentality za kijingajinga imeka jadi yako