Kwanini miradi aliyofanywa na Hayati Magufuli wanasema ni ya Awamu ya nne?

Kwanini miradi aliyofanywa na Hayati Magufuli wanasema ni ya Awamu ya nne?

Taja watu watano waliouliwa na magu na watano walioibiwa pesa, kisha na mimi nikutajie kumi waliouliwa na jk.
Kumbe unajua kuwa wote ni wauwaji?
Hivi zile bureau za kubadilisha pesa aliwarudishiau pesa zao?
 
Huko bank umeibiwa wewe tu, unadhani nani hana pesa bank? Huwezi kuchukua hata kipande kidogo cha chuma cha mtu bila kuwa na sababu kama ulikuwa mhujumu uchumi ukakutwa na kosa kwanini isichukuliwe? Hebu nitajie hapa watu waliouliwa na Magufuli sio unazungumza tu ili uonekane unajua kuzungumza.
Kumbe yeye alikuwa ni mahakama alipozikwapua pesa za watu bank?
Mauaji hivi huelewi kauwa wangapi, hiyo nakupa homework
 
Wewe hutakufa sawa, shangilia milele, Si umfuate Tu huko aliko unasikitika kitu gani?
Hivi yule Ben Saanane, wale aliowauwa kwenye uchaguzi bara Na Zanzibar au wewe huna jamaa yako humo . List ni ndefu bila wale waliookotwa Coco beach
Thibitisha.
 
Kumbe yeye alikuwa ni mahakama alipozikwapua pesa Za watu bank?
Mauwaji hivi huelewi kauwa wangapi ,hiyo nakupa homework
Thibitisha kauwa wangapi na ukatuoneshe makaburi waliyozikwa usitafute sifa miongoni mwa watu.
 
Hizo ni Siasa tu kazi ikifanyika wakati wa Rais akiwa Madarakani hiyo ni kazi ya Rais huyo, tatizo letu mahaba yanazidi ukweli, Rais akifanya jambo jema sifa wanataka apewe mtangulizi wake lakin akivuruga lawama anabeba yeye

Mf Mabadiliko chanya ya kiuchumi na kisiasa ikiwemo ujio wa Vyama vingi sifa anapewa Nyerere hapo yalitokea wakati wa Mwinyi ila maboko yaliyotokea wakati wa Mwinyi anabebeshwa mwenyewe

Iweje miradi aliyotekeleza JPM sifa apewe JK wakati lawama za kukopa kopa kutekelez miradi hiyo lawama apewe JPM?
 
Kwanini tunapenda individualism? Hatuwezi kujivunia mafanikio kama nchi badala ya kutaja viongozi? Kwanini tusijipongeze kwa kupiga hatua kadha wa kadha badala ya kutaka kuonesha kuwa mtu fulani ndiye ameleta mafanikio hayo single handedly?

Tubadilike.

Kiongozi ni mwajiriwa analipwa mshahara na matunzo hadi kufa, KUFANYA MAENDELEO SIO HISANI WALA FADHILA KWA WANANCHI, ni majukumu yake aloomba kuyafanya, vipi kwatuliowalipa mishahara na bado wanakula pesa zetu hadi watakapo kufa VIPI KAMA WALIFISADI NCHI ? Tuwafanyeje ingali tunataka wasifiwe walofanya vema nahuku tuliwalipa mishahara,posho,kula,pakulala,usafiri,matibabu mpaka familia zao nabado walituibia?
 
Umesema Ben ameuliwa na Magufuli, wewe ndiyo umetuhumu. Thibitisha tuhuma zako. Unaposhindwa kuthibitisha maana yake unachotuhumu hakipo, ni uongo tu. Una chuki zako binafsi.
Sasa thibitisha wewe kuwa yuko mahali fulani Na hakuuliwa Na Magufuli
 
Back
Top Bottom