Kwanini miradi aliyofanywa na Hayati Magufuli wanasema ni ya Awamu ya nne?

Kwanini miradi aliyofanywa na Hayati Magufuli wanasema ni ya Awamu ya nne?

Kwanini tunapenda individualism? Hatuwezi kujivunia mafanikio kama nchi badala ya kutaja viongozi? Kwanini tusijipongeze kwa kupiga hatua kadha wa kadha badala ya kutaka kuonesha kuwa mtu fulani ndiye ameleta mafanikio hayo single handedly?

Tubadilike.
Ajabu sana mkuu, mtu akijenga nyumba badala ya kujipongeza anamsifu prezidaa.
Mtu kapona kwenye ajali badala ya kumsifu Mungu na kushukuru madaktari kwa jitihada zao anamsifu prezidaa.
Yaani imekuwa kama mashindano
Sijasema asisifiwe bali iwe na uhalisia
Hii hunyika zaidi mbele ya kamera, gizani huenda ...
 
Hakuna Rais aliyemfikia JaKaya kwa idadi za kilometa za lami alizojenga. Kikwete alitengeneza barabara ndefu zenye kilometa nyingi kuunganisha mikoa Tanzania. JPm alitengeneza barabara za kilometa moja au mbili za halmashauri/mitaa Hilo halipingiki. Na alimwachia miradi au mipango iliyomrahisishia Jpm kukamilisha hiyo miradi
Kama mnavunja jiwe, mpo watano, wa kwanza akapiga weeeee akachoka, akaja wa pili akapiga weeee akachoka, wa tatu naye akapiga weee akachoka, wa nne akapigaaa kukatokea na krek ila akachoka wa tano akapiga mara moja likavunjika swali ni Je wa tano ana nguvu sana? Au nyundo za wa kwanza hadi wa nne zina mchango?

JPM kafanya mambo mazuri, ila ni UPUMBAVU sana kutenganisha mazuri yake na awamu zilizopita.

Anayesifia kwa kuponda waliopita ni MPUUZI, JINGA JINGA ZEZETA LISILO NA MAANA YOYOTE.

Angevunja na jeshi, na utumishi wasitumike hao waliofundishwa na kupewa training na awamu zilizopita afundishe wa kwake ili apewe sifa za kipekee.

Kama alirithi maendeleo basi apewe sifa ya kuendeleza walipoishia wenzake na si kusifiwa kama vile hakujawahi kuwa na maendeleo kabla yake.

HALAFU MAENDELEO YA NCHI SI LAMI NA MADARAJA TU, HATA KUHAKIKISHA KUWA NCHI NI SALAMA NA WATU WANAFANYA BIASHARA ZAO BILA KUKIMBIA NCHI NI MAENDELEO.
 
Kumbe na wewe utakufa! Nilifikiri unashangilia utaishi milele. Hebu tuthibitishie hayo mauaji aliyoyafanya Magu.
Hakuna ambae ataishi milele ila ukishajua hilo halikupi kibali cha kusitisha maisha ya watu
 
Kumbe na wewe utakufa! Nilifikiri unashangilia utaishi milele. Hebu tuthibitishie hayo mauaji aliyoyafanya Magu.
Achana na hao wauza madawa mkuu walidhibitiwa sana wakati wa Magu ndio maana hawataki kusikia mazuri yake lakini hawawezi watz wanajua sana tu mazuri ya Rais Magufuli na aliwanyoosha kweli kweli.
 
Anayesifia kwa kuponda waliopita ni MPUUZI, JINGA JINGA ZEZETA LISILO NA MAANA YOYOTE.
Haukuwahi huu ujinga kuwepo kama si Jiwe. Tena akaenda mbali na kusema yeye akiachia madaraka hakuna atakayetekeleza miradi hiyo (as if Tanzania imeanza na yeye). Mungu akamjibu kwa vitendo. Miradi inatekel zwa tena na mwanamama tu. Aaagh, aendelee tu kuwa kiongozi wa Malaika huko.
 
Haukuwahi huu ujinga kuwepo kama si Jiwe. Tena akaenda mbali na kusema yeye akiachia madaraka hakuna atakayetekeleza miradi hiyo (as if Tanzania imeanza na yeye). Mungu akamjibu kwa vitendo. Miradi inatekel zwa tena na mwanamama tu. Aaagh, aendelee tu kuwa kiongozi wa Malaika huko.
Tanzania ina historia ndefu sana. Kuna mikataba ya fedha za maendeleo kazi za awamu zilizopita ilirithishwa kwa awamu ya 5, kusifia maendekeo ya awamu ya 5 kwa kuponda awamu zilizopita ni woga na udhaifu wa kiutawala.
 
Magu alipiga mzigo mwingi sana. Mauwaji utekaji utesaji unyang'anyi kubambikia kesi kufunga watu na kubomoa makazi ya watu kimara

Hakuna alichofanya Cha maendele...
[emoji44][emoji44]
 
Mwanza -senkenke-dar
Dar-mbeya
Etc

Dar - Mbeya imejengwa Awamu ya 4 ? Nimekuwa nikitumia Dar- Moro miaka mingi kabla ya Awamu 4 na ilikuwa lami siku zote labda Morogoro- Mbeya lkn nafikiri Mikumi ilikuwa na lami pia sijui huko mbele kuelekea Mbeya.
 
Tanzania ina historia ndefu sana. Kuna mikataba ya fedha za maendeleo kazi za awamu zilizopita ilirithishwa kwa awamu ya 5, kusifia maendekeo ya awamu ya 5 kwa kuponda awamu zilizopita ni woga na udhaifu wa kiutawala.
Yes, true. Mfano wa wazi ni mradi wa uboreshaji makazi mijini wa WB ambao ndio uliotengeneza barabara zote mpya za maeneo ya mijini katika mikoa mbalimbali. Mradi huu awamu ya 5 imeurithi ukiwa kila kitu set. Kuna watu hawaelewi haya mambo, wanatoka mishipa kutetea awamu wazitakazo bila kujua historia ya nchi.
 
Dar - Mbeya imejengwa Awamu ya 4 ? Nimekuwa nikitumia Dar- Moro miaka mingi kabla ya Awamu 4 na ilikuwa lami siku zote labda Morogoro- Mbeya lkn nafikiri Mikumi ilikuwa na lami pia sijui huko mbele kuelekea Mbeya.
Enzi ya mkapa wakazii wa kanda ya ziwa, walipitia nairobi kwenda dar,
Pale senkenke ilikuaga noma sana,,
 
Huko bank umeibiwa wewe tu, unadhani nani hana pesa bank? Huwezi kuchukua hata kipande kidogo cha chuma cha mtu bila kuwa na sababu kama ulikuwa mhujumu uchumi ukakutwa na kosa kwanini isichukuliwe? Hebu nitajie hapa watu waliouliwa na Magufuli sio unazungumza tu ili uonekane unajua kuzungumza.
Akikujibu vyema nipo kwa lubuva hapa napata juisi lozera nitaarifu.
 
Dar - Mbeya imejengwa Awamu ya 4 ? Nimekuwa nikitumia Dar- Moro miaka mingi kabla ya Awamu 4 na ilikuwa lami siku zote labda Morogoro- Mbeya lkn nafikiri Mikumi ilikuwa na lami pia sijui huko mbele kuelekea Mbeya.
Dar Mbeya barabara ya lami ilishakufa siku nyingi. Hivyo ilibidi irudiwe. Mfano kipande cha Chalinze-Moro-hadi mbele kidogo karibia na mikumi kikijengwa na kampuni ya Skanphil Colas. Hiyo ilikuwa enzi ya Mkapa. Then project nyingine zilifuata hadi now ipo Igawa.
 
Magu alipiga mzigo mwingi sana. Mauwaji utekaji utesaji unyang'anyi kubambikia kesi kufunga watu na kubomoa makazi ya watu kimara

Hakuna alichofanya Cha maendeleo.

Leo hii chini ya Mama SSH na Hussein Mwinyi nchi imetulia hakuna vilio wa kutekwa.

Mungu alimuua kwa maombi yetu
Unajitesa bure tu
 
Kwa wizi, ujambazi mauwaji na majisifu
Wacha litokomee kuzimu
Kwenye swala la kutokomea kuzimu huwa hakuna namna, japo sijui ni lini na wapi, ila nina uhakika 100% kuwa litakufika tu.
 
Back
Top Bottom