Kumbe unajua kuwa wote ni wauwaji?Taja watu watano waliouliwa na magu na watano walioibiwa pesa, kisha na mimi nikutajie kumi waliouliwa na jk.
but you still alive typing under fake username aka keyboard warriorThat one who has killed everyone (NIKE)
Kumbe yeye alikuwa ni mahakama alipozikwapua pesa za watu bank?Huko bank umeibiwa wewe tu, unadhani nani hana pesa bank? Huwezi kuchukua hata kipande kidogo cha chuma cha mtu bila kuwa na sababu kama ulikuwa mhujumu uchumi ukakutwa na kosa kwanini isichukuliwe? Hebu nitajie hapa watu waliouliwa na Magufuli sio unazungumza tu ili uonekane unajua kuzungumza.
Thibitisha.Wewe hutakufa sawa, shangilia milele, Si umfuate Tu huko aliko unasikitika kitu gani?
Hivi yule Ben Saanane, wale aliowauwa kwenye uchaguzi bara Na Zanzibar au wewe huna jamaa yako humo . List ni ndefu bila wale waliookotwa Coco beach
He was stupid and doctor.There is no one like deceased JPM.
Thibitisha wewe ben Saa nane yuko wapiThibitisha.
Where is Ben sanane?Elaborate please.
Thibitisha kauwa wangapi na ukatuoneshe makaburi waliyozikwa usitafute sifa miongoni mwa watu.Kumbe yeye alikuwa ni mahakama alipozikwapua pesa Za watu bank?
Mauwaji hivi huelewi kauwa wangapi ,hiyo nakupa homework
Since when do I live with himWhere is Ben sanane?
Wacha ujinga yaani nikawaonyeshe humu JF? Thibitisha alipo Ben SaananeThibitisha kauwa wangapi na ukatuoneshe makaburi waliyozikwa usitafute sifa miongoni mwa watu.
Like youHe was stupid and doctor.
Unaumia kufa jambazi Si kunywa kilozoni ulifuate kuzimulike you
From now on nakuupuza huna uwezo wa kujadili hoja na mimi.Wacha ujinga yaani nikawaonyeshe humu jf ,? Thibitisha alipo Ben Saanane ,
Si unywe kilozoni ulifuate jambazi kuzimuFrom now on nakuupuza huna uwezo wa kujadili hoja na mimi.
Kwanini tunapenda individualism? Hatuwezi kujivunia mafanikio kama nchi badala ya kutaja viongozi? Kwanini tusijipongeze kwa kupiga hatua kadha wa kadha badala ya kutaka kuonesha kuwa mtu fulani ndiye ameleta mafanikio hayo single handedly?
Tubadilike.
Una laana kubwa sana,hujitambuiUnaumia kufa jambazi Si kunywa kilozoni ulifuate kuzimu
Sasa thibitisha wewe kuwa yuko mahali fulani Na hakuuliwa Na MagufuliUmesema Ben ameuliwa na Magufuli, wewe ndiyo umetuhumu. Thibitisha tuhuma zako. Unaposhindwa kuthibitisha maana yake unachotuhumu hakipo, ni uongo tu. Una chuki zako binafsi.
Una laana kubwa sana,hujitambui