Uwe msafi , uwe mwema kuliko wote duniani utakufa kama vile anavyokufa mtenda dhambi n'a wote mtaoza.Mimi sijauwa mtu wala kumuibia mtu . Kufa Hakuna atayebaki. Hilo jiwe lenu lilifikiri Si jiwe ni jabali lakini yuko mtetezi wa wanyonge .
Hiyo ni kazi ya January makamba na nape kupotosha kila kitu na kumdhaliisha mheshimiwa aliyetangulia mbele ya hakiNimetembea Tanzania sehemu nyingi kabla ya Magu (RIP) kuwa raisi kulikuwa hakuna barabara za lami, leo hii kila mahali hadi Mitaani lami, lkn wanasema ni Awamu ya 4 ilijenga, kwa nini wanadanganya na kulazimisha uongo?
I mean, kuna mambo mazuri tu yalifanywa na Awamu ya 4 kama UDOM au daraja la mto Malagarasi, barabara ya B’moyo - Msata ambayo inatumiwa sana na watu wa Kilimanjaro na Tanga kutokea Dar that’s just about it.
Lakini yaliyobakia yote ni Mzigo wa Magu kwa nini hawataki kukubali? Hata tu Barabara ya Moroko - Mwenge wanasema ni Japani na siyo Magu, wanakwenda mbali hata kusema flyovers ni za Awamu ya 4 na siyo Magu, kwa nini ? Kuna kuna tatizo gani mzigo aliopiga Magu ukaachwa na kukubalika? Hakuna anayepinga UDOM ni ya Awamu 4 ?
Give credits where it’s due …
Huyo Jagina mwambie akutajie Rais manage hajawahi kuua mtu, kisha atuambie anadhibitishaje kuwa hakuwahi kuua?Huko bank umeibiwa wewe tu, unadhani nani hana pesa bank? Huwezi kuchukua hata kipande kidogo cha chuma cha mtu bila kuwa na sababu kama ulikuwa mhujumu uchumi ukakutwa na kosa kwanini isichukuliwe? Hebu nitajie hapa watu waliouliwa na Magufuli sio unazungumza tu ili uonekane unajua kuzungumza.
Hahahaaaa kwahiyo na wewe siku ukifa utakuwa umekufa kwasababu ya maombi ya watu uliowakosea? Hivi huu ujinga huwa mnaoutoa wapi?[emoji28]Magu alipiga mzigo mwingi sana. Mauwaji utekaji utesaji unyang'anyi kubambikia kesi kufunga watu na kubomoa makazi ya watu kimara
Hakuna alichofanya Cha maendeleo.
Leo hii chini ya Mama SSH na Hussein Mwinyi nchi imetulia hakuna vilio wa kutekwa.
Mungu alimuua kwa maombi yetu
Kama zilikuwa za kukwepa kodi na magendo mengine basi hujaibiwa bali zimepelekwa zinapostahili,On what ? au kwa kuwa waliouliwa Si jamaa zako Na hujaibiwa pesa zako bank?
Nimetembea Tanzania sehemu nyingi kabla ya Magu (RIP) kuwa raisi kulikuwa hakuna barabara za lami, leo hii kila mahali hadi Mitaani lami, lkn wanasema ni Awamu ya 4 ilijenga, kwa nini wanadanganya na kulazimisha uongo?
I mean, kuna mambo mazuri tu yalifanywa na Awamu ya 4 kama UDOM au daraja la mto Malagarasi, barabara ya B’moyo - Msata ambayo inatumiwa sana na watu wa Kilimanjaro na Tanga kutokea Dar that’s just about it.
Lakini yaliyobakia yote ni Mzigo wa Magu kwa nini hawataki kukubali? Hata tu Barabara ya Moroko - Mwenge wanasema ni Japani na siyo Magu, wanakwenda mbali hata kusema flyovers ni za Awamu ya 4 na siyo Magu, kwa nini ? Kuna kuna tatizo gani mzigo aliopiga Magu ukaachwa na kukubalika? Hakuna anayepinga UDOM ni ya Awamu 4 ?
Give credits where it’s due …
Ndiyo mahakama yenu ilivyoamuru?Kama zilikuwa za kukwepa kodi na magendo mengine basi hujaibiwa bali zimepelekwa zinapostahili,
Wewe uliye mchafu hautakufa endelea tu Na uchafu wako utaishi milele ,au vipi ?Uwe msafi , uwe mwema kuliko wote duniani utakufa kama vile anavyokufa mtenda dhambi n'a wote mtaoza.
Ishi unavyoweza, wema hautazuia kifo chako.
Wewe unayeshabikia udhalimu Na wizi Na uuwaji halitakufika endelea tu kushabikia au vipi ?Kwenye swala la kutokomea kuzimu huwa hakuna namna, japo sijui ni lini na wapi, ila nina uhakika 100% kuwa litakufika tu.
Wewe mtoto wa kike endeleza uzezetaacha uzezeta mtoto wakiume
Mama yako yuko kuzimu mkuu!! Pole sana mbw mkubwa!!
Wewe Si unasema hakumuuwa Ben Saanane ,Azory nk,Sijatuhumu chochote, wewe uliyetuhumu thibitisha.
Achana na hao wauza madawa mkuu walidhibitiwa sana wakati wa Magu ndio maana hawataki kusikia mazuri yake lakini hawawezi watz wanajua sana tu mazuri ya Rais Magufuli na aliwanyoosha kweli kweli.
Unampima JK na mtu wa ovyo, haiwezekaniTaja watu watano waliouliwa na magu na watano walioibiwa pesa, kisha na mimi nikutajie kumi waliouliwa na jk.
Asiyekuwepo na lake halipo!!!Nimetembea Tanzania sehemu nyingi kabla ya Magu (RIP) kuwa raisi kulikuwa hakuna barabara za lami, leo hii kila mahali hadi Mitaani lami, lkn wanasema ni Awamu ya 4 ilijenga, kwa nini wanadanganya na kulazimisha uongo?
I mean, kuna mambo mazuri tu yalifanywa na Awamu ya 4 kama UDOM au daraja la mto Malagarasi, barabara ya B’moyo - Msata ambayo inatumiwa sana na watu wa Kilimanjaro na Tanga kutokea Dar that’s just about it.
Lakini yaliyobakia yote ni Mzigo wa Magu kwa nini hawataki kukubali? Hata tu Barabara ya Moroko - Mwenge wanasema ni Japani na siyo Magu, wanakwenda mbali hata kusema flyovers ni za Awamu ya 4 na siyo Magu, kwa nini ? Kuna kuna tatizo gani mzigo aliopiga Magu ukaachwa na kukubalika? Hakuna anayepinga UDOM ni ya Awamu 4 ?
Give credits where it’s due …