Kwanini miradi aliyofanywa na Hayati Magufuli wanasema ni ya Awamu ya nne?


Usishangae sana! Tangu lini wahuni wakawa upright members of the society?
 
Enzi zake zimekwisha hajafanya lolote la maana ,sasa hivi ni zamu ya propaganda za Hangaya ana maono, atatuvusha.......Samaia aiweka Tz katika nchi kumi tajiri zaidi Afrika, uchumi wa panda haijapata kutokea....CCM wana propaganda za kijinga sana.
 
Zam zam.. hata uncle jiwe ....alijimwambafai kuwa kila kitu kizuri amefanya yeye
Akitoka Hangaya 2025 atakuja April naye atasifiwa na HANGAYA ataonekana hajafanya lolote, TUKATAZE TABIA HII YA UNAFIKI WA KISIASA.
 
Wewe Si unasema hakumuuwa Ben Saanane ,Azory nk,
Sasa tuambie wako mahali gani ?
Hebu nioneshe nimesema wapi?

Uache tabia ya kuchafua marehemu wakati hauna uthibitisho wowote boya wewe.
 
Marehemu Magufuli alijenga tu Chato na kujitajirisha kupitia kampuni zake za Nyanza na Mayanga Construction, kingine alichofanya ni kuua watu aliohisi wana akili ya kutambua na kuhoji ujinga aliokuwa akiufanya
 
We ndo unajidanganya, unajua unajua kumbe hujui

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Achana na hao wauza madawa mkuu walidhibitiwa sana wakati wa Magu ndio maana hawataki kusikia mazuri yake lakini hawawezi watz wanajua sana tu mazuri ya Rais Magufuli na aliwanyoosha kweli kweli.
Siku ukifa na mkakutana na huyo jamaa yako umwambie aachage dharau za kudharau magonjwa asiyo yajua atakuja kufa tena
 
Hakuna Rais amalizae miradi yake yote ndani ya kipindi Cha miaka kumi...
Hiyo ni sahihi kabisa. Kila raisi anakuwa na viporo vya miradi ambavyo humaliziwa na raisi anayefuata. Kwa hilo hakuna la ajabu. Mfano wa barabara inayounga Kijichi na Chekechea ilianza ujenzi mwezi wa Novemba 2015 na baada ya miaka miwili, jee hiyo alijenga nani?

Mradi wa barabara za mitaani DMDP tayari ulikuwa umeshainiwa na baadhi ya sehemu walikuwa wameanza kupima maeneo.

Pia iko miradi mingi ya aina hiyo. Hata yeye JPM angefanya baadhi na baada ya miaka 10 kuacha mingine imaliziwe na raisi anayefuata.
 
Anatambulika africa kwa kuvunja ushirikiano na mataifa mengine hilo ndilo kuu analo tambulika magufuli zaid ya hapo alikuwa mpenda sifa na kutukuzwa hata kwa mambo ya kawaida kabisa na kutokana na hilo aliweza kuteka akili za watanzania wengi wasio na akili za upembuzi na hao ndio wanao sujudu hadi maiti yake sasa.
 
Hebu nioneshe nimesema wapi?

Uache tabia ya kuchafua marehemu wakati hauna uthibitisho wowote boya wewe.
Jambazi liliuwa Azory gwanda , Ben Saanane nk. limepeleka jeshi kuuwa Zanzibar limekwapua pesa Za watu bank , limevunja nyumba Za watu , Kama unalipenda kunywa dawa ya panya ulifuate kuzimu likakujengee SGR
 
Na aliamzisha ujenzi wa Makao ya Mhakama ni jengo kubwa mnoooo

Ila watasema Samia ndo kajenga
 
Wewe uliye mchafu hautakufa endelea tu Na uchafu wako utaishi milele ,au vipi ?
Wewe msafi unacheka Magufuli kufa Kwakua alikuwa katili ndo unambie Sasa, ni nani atakaebaki duniani kwa kigezo cha kutokuwa kama Magufuli?
 
Wewe msafi unacheka Magufuli kufa Kwakua alikuwa katili ndo unambie Sasa, ni nani atakaebaki duniani kwa kigezo cha kutokuwa kama Magufuli?

Utabaki wewe Na uchafu wa kupenda maovu ya Magufuli. Kama kweli unampenda Magufuli , kunywa kilozoni tukuone unamfuata Kuzimu
 
Wewe uliye mchafu hautakufa endelea tu Na uchafu wako utaishi milele ,au vipi ?
Wewe msafi unacheka Magufuli kufa Kwakua alikuwa katili ndo unambie Sasa, ni nani atakaebaki duniani kwa kigezo cha kutokuwa kama Magufuli?
Utabaki wewe Na uchafu wa kupenda maovu ya Magufuli. Kama kweli unampenda Magufuli , kunywa kilozoni tukuone unamfuata Kuzimu
Ngoja nikupe somo la maisha ili uachane na mentality ya kifukara.

Kwenye haya maisha uwe msafi au mwenye madhambi mengi, kufa utakufa tu na kuzimu utaenda.

Sasa hakuna haja ya kujifanya mwema ilihali unaishi maisha mabaya hapa duniani, Magufuli alikuwa ni katili ila kaenjoy maisha yake Mwaka kwenye umri ambao pengine hautafika, na hâta kuzikwa kazikwa kwa heshima na familia yake inaishi kitaita mpaka leo.

Wewe mwema uliyemasikini utakufa ila wewe utakufa kibudu Kwakua huna pesa.
 


"Kila mbuzi ale sawa na urefu wa kamba yake--- wala asivimbewe"

By Bi Tozo.🤣
 
Jambazi liliuwa Azory gwanda , Ben Saanane nk. limepeleka jeshi kuuwa Zanzibar limekwapua pesa Za watu bank , limevunja nyumba Za watu , Kama unalipenda kunywa dawa ya panya ulifuate kuzimu likakujengee SGR
Thibitisha.
 

Heshima ya kuzikwa Magufuli siioni, ile ni kashifa . Mtu akifa husitiriwa Na kuzikwa haraka ,hatembezwi mitaani Kama jambazi.

Wewe kufa ki ofisa Na Tai shingoni utembezwe masokoni Kama bidhaa Kama alivyofanyiwa huyo jambazi unayempigia debe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…