Kwanini Mitandao ya Simu ilishindwa kuendelea kutumia codes za zamani (Voda-0754, Tigo Yas-0717, Airtel-0787)?? Any technical justification please??..

Kwanini Mitandao ya Simu ilishindwa kuendelea kutumia codes za zamani (Voda-0754, Tigo Yas-0717, Airtel-0787)?? Any technical justification please??..

Alex Muuza Maembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2024
Posts
655
Reaction score
1,413
Good Morning my dear brothers and sisters out there.

(1) Kwanini mitandao ya simu (mfano Tigo Yas) wanatumia codes mbili yaani 0717****** pamoja na 0654******?? Kwanini ilishindikana kubaki na ili ili code yao ya zamani??

(2) Je, numbers za simu kuwa na 10 digits badala ya 11 (0654527779) ni suala lenye ulazima kitaalam au ni utashi tu wa makampuni ya simu??

(3) Kwanini codes za kuangalia Salio (102#) pamoja na kujaza Salio (*104) zinafanana kwa mitandao yote lakini codes za Mobile Money (Tigo Yas Pesa, M-PESA, HALO PESA, AIRTEL MONEY) zinatofautiana?? (*150*01# *150*00#)

(4) Je, hizi tetesi ya kuwa siku hizi mnara mmoja wa simu unatumiwa na service provider zaidi ya mmoja (Yaani Tigo Yas, Vodacom, Airtel, Halotel) zina ukweli wowote ule ndani yake??

(5) Kwanini mtu asiwe na number yake permanently yaani 527774 katika mitandao yote?? Yaani mtu akienda Vodacom, Airtel au Tigo Yas, anaambiwa kuwa hiyo number ni ya Alex Muuza Maembe hatuwezi kukupa.

WATAALAM NA TELECOMMUNICATIONS PAMOJA NA ICT PLEASE TUNAOMBA UFAFANUZI WENU NDUGU ZANGU.

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe.
 
Good Morning my dear brothers and sisters out there.

(1) Kwanini mitandao ya simu (mfano Tigo Yas) wanatumia codes mbili yaani 0717****** pamoja na 0654******?? Kwanini ilishindikana kubaki na ili ili code yao ya zamani??

(2) Je, numbers za simu kuwa na 10 digits badala ya 11 (0654527779) ni suala lenye ulazima kitaalam au ni utashi tu wa makampuni ya simu??

(3) Kwanini codes za kuangalia Salio (102#) pamoja na kujaza Salio (*104) zinafanana kwa mitandao yote lakini codes za Mobile Money (Tigo Yas Pesa, M-PESA, HALO PESA, AIRTEL MONEY) zinatofautiana?? (*150*01# *150*00#)

(4) Je, hizi tetesi ya kuwa siku hizi mnara mmoja wa simu unatumiwa na service provider zaidi ya mmoja (Yaani Tigo Yas, Vodacom, Airtel, Halotel) zina ukweli wowote ule ndani yake??

WATAALAM NA TELECOMMUNICATIONS PAMOJA NA ICT PLEASE TUNAOMBA UFAFANUZI WENU NDUGU ZANGU.

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe.
Ni hesabu rahisi sana.
Fuatilia data za TCRA kuhusu usajili wa namba mpya na namba ambazo ziko active utapata jawabu kwanini.
 
Kwanini wewe unataka 11 na siyo 10?
Kuna mtu aliniambia kuwa Tigo Yas walihama kutoka 0717 mpaka kwenda 0654 kwa sababu digits zilijaa (0717999999) sasa ndio mimi nikamuuliza sasa kwanini wasiongezea tu idadi ya digits ili ile code yao iliyozoeleka na vichwa vya wengi yaani 0717 iendelee kubaki vile vile kuliko kuja na code mpya 0654 ambayo makampuni mengi yakifanya hivyo watu watachanganya na kushindwa kujua kama hii ni Tigo Yas, AIRTEL au Vodacom..
 
ukitoa code za mtandao (namba 4 za awali) zinabaki digit 6. namba ya juu kwa digit 6 ni 999,999. ko bila kubadili code za mwanzo za mtandao tunatarajia kuwa na watumiaji laki 9, 99 elfu mia 9 tisini na kenda.

muda huo wewe una laini tatu za mtandao mmoja..

hopeful umenipata.
 
Good Morning my dear brothers and sisters out there.

(1) Kwanini mitandao ya simu (mfano Tigo Yas) wanatumia codes mbili yaani 0717****** pamoja na 0654******?? Kwanini ilishindikana kubaki na ili ili code yao ya zamani??

(2) Je, numbers za simu kuwa na 10 digits badala ya 11 (0654527779) ni suala lenye ulazima kitaalam au ni utashi tu wa makampuni ya simu??

(3) Kwanini codes za kuangalia Salio (102#) pamoja na kujaza Salio (*104) zinafanana kwa mitandao yote lakini codes za Mobile Money (Tigo Yas Pesa, M-PESA, HALO PESA, AIRTEL MONEY) zinatofautiana?? (*150*01# *150*00#)

(4) Je, hizi tetesi ya kuwa siku hizi mnara mmoja wa simu unatumiwa na service provider zaidi ya mmoja (Yaani Tigo Yas, Vodacom, Airtel, Halotel) zina ukweli wowote ule ndani yake??

WATAALAM NA TELECOMMUNICATIONS PAMOJA NA ICT PLEASE TUNAOMBA UFAFANUZI WENU NDUGU ZANGU.

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe.
0744
 
Back
Top Bottom