Kwanini Mitandao ya Simu ilishindwa kuendelea kutumia codes za zamani (Voda-0754, Tigo Yas-0717, Airtel-0787)?? Any technical justification please??..

Kwanini Mitandao ya Simu ilishindwa kuendelea kutumia codes za zamani (Voda-0754, Tigo Yas-0717, Airtel-0787)?? Any technical justification please??..

TCRA ndio wanawapangia hao miamba kila kitu ,ukiwa zako kawe ukwamani unaweza tu kudhani wanajiamulia ila kwa ground kuna a lot of protocols and regulations to follow
Sawa mkuu. Lakini wanawapangia wakiwa na sababu fulanifulani ndio maana sisi tunahoji "the logic behind" ili tuweze kujifunza..
 
Sawa mkuu. Lakini wanawapangia wakiwa na sababu fulanifulani ndio maana sisi tunahoji "the logic behind" ili tuweze kujifunza..
Ndio regulations mkuu , kwaajili ya kuondoa chaos imagine kila mtandao ungekua na menu yake yakuangalia salio ,au menu ya kuangalia salio kila mtandao ungeachwa ubuni codes zake wasianze na 150..# ni sis watumiaji ndio tungechanganyikiwa
 
Ndio regulations mkuu , kwaajili ya kuondoa chaos imagine kila mtandao ungekua na menu yake yakuangalia salio ,au menu ya kuangalia salio kila mtandao ungeachwa ubuni codes zake wasianze na 150..# ni sis watumiaji ndio tungechanganyikiwa
Sawa mkuu, umefafanua vema sana na nikushukuru kwa hili.

Mkuu, kwa hiyo mitandao yote ikiamua kuwa na menu moja ya mobile money inayofanana (kwa mfano: *150*01#) inawezekana kabisa kiufundi??..
 
ukitoa code za mtandao (namba 4 za awali) zinabaki digit 6. namba ya juu kwa digit 6 ni 999,999. ko bila kubadili code za mwanzo za mtandao tunatarajia kuwa na watumiaji laki 9, 99 elfu mia 9 tisini na kenda.

muda huo wewe una laini tatu za mtandao mmoja..

hopeful umenipata.
Nime elewa kwa ubora sana.
 
Mkuu, vp swali langu number 5?? Unaweza ukanipa ufafanuzi kidogo kama inawezekana?? Alafu mkuu, lakini hizo protocols si zinaandaliwa na wanadamu??
Namba za simu nchini Tanzania
zinatolewa chini ya kanuni za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (Tanzania Communication Regulatory Authority - TCRA).

Mamlaka hii inatoa leseni kwa ajili ya makampuni ya huduma za mawasiliano pamoja na simu na intaneti. Kanuni zake zinatawala fomati za namba za simu
 
Namba za simu nchini Tanzania
zinatolewa chini ya kanuni za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (Tanzania Communication Regulatory Authority - TCRA).

Mamlaka hii inatoa leseni kwa ajili ya makampuni ya huduma za mawasiliano pamoja na simu na intaneti. Kanuni zake zinatawala fomati za namba za simu
Okay. Thanks mkuu..
 
Good Morning my dear brothers and sisters out there.

(1) Kwanini mitandao ya simu (mfano Tigo Yas) wanatumia codes mbili yaani 0717****** pamoja na 0654******?? Kwanini ilishindikana kubaki na ili ili code yao ya zamani??

(2) Je, numbers za simu kuwa na 10 digits badala ya 11 (0654527779) ni suala lenye ulazima kitaalam au ni utashi tu wa makampuni ya simu??

(3) Kwanini codes za kuangalia Salio (102#) pamoja na kujaza Salio (*104) zinafanana kwa mitandao yote lakini codes za Mobile Money (Tigo Yas Pesa, M-PESA, HALO PESA, AIRTEL MONEY) zinatofautiana?? (*150*01# *150*00#)

(4) Je, hizi tetesi ya kuwa siku hizi mnara mmoja wa simu unatumiwa na service provider zaidi ya mmoja (Yaani Tigo Yas, Vodacom, Airtel, Halotel) zina ukweli wowote ule ndani yake??

(5) Kwanini mtu asiwe na number yake permanently yaani 527774 katika mitandao yote?? Yaani mtu akienda Vodacom, Airtel au Tigo Yas, anaambiwa kuwa hiyo number ni ya Alex Muuza Maembe hatuwezi kukupa.

WATAALAM NA TELECOMMUNICATIONS PAMOJA NA ICT PLEASE TUNAOMBA UFAFANUZI WENU NDUGU ZANGU.

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe.
Utateseka Bure mkuu usipoelewa hivi vitu vya msingi.
Huwezi kuwa na namba ya simu inayotumia carriers tofauti kwasabu hizi.
Duniani nchi yeyote Ile imepewa MCC yaani mobile country code kama ilivyo TZ +255, Kila nnchi ina yake ambazo ni namba Tatu za mwanzo.

MNC au MNO (Mobile network code au mobile network operator) hii sasa ndio inayotofautisha mtandao na mtandao, ndomana halotel utamkuta Wana 617, 623 n.k voda 750, 745, 760 n.k hizo namba Tatu ukiexclude sifuri ndio MNO zinatambulisha mtandao unaotumia. Kwahiyo tukisema namba Yako ya voda iwe inapatikana kama tigo au halotel inakuwa haiwezekani na ipo nnje ya mfumo.

MSIN (mobile subscription identification number) hizi ndio namba Tisa au kumi zinazokutambulisha wewe kama mtumiaji wa mtandao Fulani, na hizi umuhimu wake unakuja kwenye mambo mengi pamoja na wakati simu Yako inafanya roaming.
 
1. Namba 6 zinaweza kutoa kutoa namba milioni tofauti. Kwahyo, mf tigo 0717-XXXXXX inachukua jumla wateja milioni, tigo ina zaidi ya wateja hao.

2. Ni standard ya kimataifa kwa ajili ya Ku-regulate rasilimali za mawasiliano ambayo ni lazima ku-comply. Ila kitaalamu inawezekana kabisa na pengine huko baadae wataongeza wakiona zimejaa

3. Sina uhakika, ila uelewa wangu, hizo codes za pesa hazifungamani na mtandao, ndy maana NMB, CRDB nk wanaweza kutia huduma zao kupitia operators via hzo USSD. Nadhani, ilitakiwa mf hata kama unatumia tigo, uweze kuAcceas Mpesa. Ila mfn ussd ya *102# ni standard specifically kuangalia salio kwa mitandao ya simu, imewekwa na TCRA. maswala ya Security, branding yanaingia pia.

4. Ni kweli, operator mfano, tigo anaweza kukodi nafasi kwny mnara wa ttcl. Mfani kila operator akitaka kuweka mnara eneo fulani itakuwa vurugu, na economically haijakaa sawa pia kwao
Kwanini wasingeongeza zero katikati au mwishoni? Mfano 0717-0 XXX XXX au 0717 - XXX XXX0
 
The first three digits are the area code, which is unique to each region. The next three digits also pertains to region, but narrows it down a bit. The remaining digits make up the line number.
Jibu sahihi kabisa lenye standards za ITU
 
Back
Top Bottom