Kwanini Mitandao ya Simu ilishindwa kuendelea kutumia codes za zamani (Voda-0754, Tigo Yas-0717, Airtel-0787)?? Any technical justification please??..

Kwanini Mitandao ya Simu ilishindwa kuendelea kutumia codes za zamani (Voda-0754, Tigo Yas-0717, Airtel-0787)?? Any technical justification please??..

1. Namba 6 zinaweza kutoa kutoa namba milioni tofauti. Kwahyo, mf tigo 0717-XXXXXX inachukua jumla wateja milioni, tigo ina zaidi ya wateja hao.

2. Ni standard ya kimataifa kwa ajili ya Ku-regulate rasilimali za mawasiliano ambayo ni lazima ku-comply. Ila kitaalamu inawezekana kabisa na pengine huko baadae wataongeza wakiona zimejaa

3. Sina uhakika, ila uelewa wangu, hizo codes za pesa hazifungamani na mtandao, ndy maana NMB, CRDB nk wanaweza kutia huduma zao kupitia operators via hzo USSD. Nadhani, ilitakiwa mf hata kama unatumia tigo, uweze kuAcceas Mpesa. Ila mfn ussd ya *102# ni standard specifically kuangalia salio kwa mitandao ya simu, imewekwa na TCRA. maswala ya Security, branding yanaingia pia.

4. Ni kweli, operator mfano, tigo anaweza kukodi nafasi kwny mnara wa ttcl. Mfani kila operator akitaka kuweka mnara eneo fulani itakuwa vurugu, na economically haijakaa sawa pia kwao
Kudos. Asante sana mkuu..
 
ukitoa code za mtandao (namba 4 za awali) zinabaki digit 6. namba ya juu kwa digit 6 ni 999,999. ko bila kubadili code za mwanzo za mtandao tunatarajia kuwa na watumiaji laki 9, 99 elfu mia 9 tisini na kenda.

muda huo wewe una laini tatu za mtandao mmoja..

hopeful umenipata.
Nimekusoma mkuu..
 
The first three digits are the area code, which is unique to each region. The next three digits also pertains to region, but narrows it down a bit. The remaining digits make up the line number.
 
Kwa ufupi, ni mlolongo wa tarakimu unaoturuhusu kupiga simu kwa watu mahususi wanaoishi katika sehemu mbalimbali kupitia kituo cha mteja cha laini ya simu, ambacho kwa upande wake kinaunganishwa na laini ya simu
 
Kwa ufupi, ni mlolongo wa tarakimu unaoturuhusu kupiga simu kwa watu mahususi wanaoishi katika sehemu mbalimbali kupitia kituo cha mteja cha laini ya simu, ambacho kwa upande wake kinaunganishwa na laini ya simu
Sawa mkuu..
 
Good Morning my dear brothers and sisters out there.

(1) Kwanini mitandao ya simu (mfano Tigo Yas) wanatumia codes mbili yaani 0717****** pamoja na 0654******?? Kwanini ilishindikana kubaki na ili ili code yao ya zamani??

(2) Je, numbers za simu kuwa na 10 digits badala ya 11 (0654527779) ni suala lenye ulazima kitaalam au ni utashi tu wa makampuni ya simu??

(3) Kwanini codes za kuangalia Salio (102#) pamoja na kujaza Salio (*104) zinafanana kwa mitandao yote lakini codes za Mobile Money (Tigo Yas Pesa, M-PESA, HALO PESA, AIRTEL MONEY) zinatofautiana?? (*150*01# *150*00#)

(4) Je, hizi tetesi ya kuwa siku hizi mnara mmoja wa simu unatumiwa na service provider zaidi ya mmoja (Yaani Tigo Yas, Vodacom, Airtel, Halotel) zina ukweli wowote ule ndani yake??

(5) Kwanini mtu asiwe na number yake permanently yaani 527774 katika mitandao yote?? Yaani mtu akienda Vodacom, Airtel au Tigo Yas, anaambiwa kuwa hiyo number ni ya Alex Muuza Maembe hatuwezi kukupa.

WATAALAM NA TELECOMMUNICATIONS PAMOJA NA ICT PLEASE TUNAOMBA UFAFANUZI WENU NDUGU ZANGU.

Ni mimi,

Alex Muuza Maembe.

Ilivyofika 0754999999 ikawa hamna namna kuanzisha code mpya

Kwa hiyo pale ni suala la fundamental principle of counting and protocol.
Pia issue kama ya Y2K ya mwaka 1999.
 
TCRA ndio wanawapangia hao miamba kila kitu ,ukiwa zako kawe ukwamani unaweza tu kudhani wanajiamulia ila kwa ground kuna a lot of protocols and regulations to follow
 
Mkuu, vp kuhusu number 5 hapo kwenye thread yangu??

Hilo linafikirisha sana. Sema pengine Alex Muuza Maembe hahitaji number hizo za mitandao tofauti tofauti kwa wakati mmoja.

Hata pia radio 📻 fm wanaweza kuwa na masafa yale yale mikoa yote nchi nzima. Mfano EFM ikatumia masafa FM 102.5 nchi nzima.
 
Haya mambo naimani usiku takupa clear answer maana antiel dorry yupo huko huko tcra sijui ila ni mambo ya telecommunications
 
Hata pia radio 📻 fm wanaweza kuwa na masafa yale yale mikoa yote nchi nzima. Mfano EFM ikatumia masafa FM 102.5 nchi nzima.
Mkuu, hili pia ni suala fikirishi sana, na hata sijui kwanini frequencies za redio hutofautiana katika mkoa mmoja na mwingine..!!??
 
Hilo linafikirisha sana. Sema pengine @Alex Muuza Maembe hahitaji number hizo za mitandao tofauti tofauti kwa wakati mmoja.
Ukihitaji kwa wakati mmoja unaweza kupata katika mitandao miwili alafu mtandao wa tatu na nne wakakwambia kuwa hiyo number sio vacant. Kuna watu wamekwisha zimiliki..
 
Back
Top Bottom