Kwanini Mitandao ya Simu ilishindwa kuendelea kutumia codes za zamani (Voda-0754, Tigo Yas-0717, Airtel-0787)?? Any technical justification please??..

Kwanini Mitandao ya Simu ilishindwa kuendelea kutumia codes za zamani (Voda-0754, Tigo Yas-0717, Airtel-0787)?? Any technical justification please??..

Kwanni plate number za magari ziliacha kutumia namba , A,B,C na D na kuamia kwendae E ?
 
Utateseka Bure mkuu usipoelewa hivi vitu vya msingi.
Huwezi kuwa na namba ya simu inayotumia carriers tofauti kwasabu hizi.
Duniani nchi yeyote Ile imepewa MCC yaani mobile country code kama ilivyo TZ +255, Kila nnchi ina yake ambazo ni namba Tatu za mwanzo.

MNC au MNO (Mobile network code au mobile network operator) hii sasa ndio inayotofautisha mtandao na mtandao, ndomana halotel utamkuta Wana 617, 623 n.k voda 750, 745, 760 n.k hizo namba Tatu ukiexclude sifuri ndio MNO zinatambulisha mtandao unaotumia. Kwahiyo tukisema namba Yako ya voda iwe inapatikana kama tigo au halotel inakuwa haiwezekani na ipo nnje ya mfumo.

MSIN (mobile subscription identification number) hizi ndio namba Tisa au kumi zinazokutambulisha wewe kama mtumiaji wa mtandao Fulani, na hizi umuhimu wake unakuja kwenye mambo mengi pamoja na wakati simu Yako inafanya roaming.
Nice
 
Mpaka sasa makampuni makubwa ya simu yana code hizi
Vodacom 0741-0749, 0751-0759, 0761-0769
Airtel 0781-0789, 0681-0689, 0691-0699
Tigo(Yas)m 0710-0719, 0651-0659, 0671-0679
Halotel 0620-0629, 0611-0619
TTCL 0731-0739
 
Kuna mtu aliniambia kuwa Tigo Yas walihama kutoka 0717 mpaka kwenda 0654 kwa sababu digits zilijaa (0717999999) sasa ndio mimi nikamuuliza sasa kwanini wasiongezea tu idadi ya digits ili ile code yao iliyozoeleka na vichwa vya wengi yaani 0717 iendelee kubaki vile vile kuliko kuja na code mpya 0654 ambayo makampuni mengi yakifanya hivyo watu watachanganya na kushindwa kujua kama hii ni Tigo Yas, AIRTEL au Vodacom..
kimsingi tigo walianza series ya 0719-0710 kisha wakahamia kwenye 0659-0652 na sasa wana 0678-0672 ambayo kwangu ndio series ngumu kuliko zote. Wameadopt 0772-0779 toka uliokuwa mtandao wa Zantel
 
Mpaka sasa makampuni makubwa ya simu yana code hizi
Vodacom 0741-0749, 0751-0759, 0761-0769
Airtel 0781-0789, 0681-0689, 0691-0699
Tigo(Yas)m 0710-0719, 0651-0659, 0671-0679
Halotel 0720-0629, 0611-0619
TTCL 0731-0739
Voda wana 0798 sasa hivi nadhani hata mwezi hajamaliza. Hii code ilitumiwa na mtandao wa SMART lets talk.
 
Back
Top Bottom