Will Billy
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 300
- 378
aseee mimba inatesa sanaa, ila vingine mtu unaona kabisa unafanyiwa makusudi, mtu ananiamsha saa nane usiku eti ana njaa anataka chips yai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwa sababu yuko jeraNaunga mkono.angalia wanao zalia makwao mbwembwe izo hakuna
Mke mjamzito ana burudani zake bana weh 🤣Kuishi na mke akiwa mjamzito Ni kazi sana
Wakwangu kila siku mara naumwa hiki mara kile
Mara na hamu na nyama choma ukileta anadonoa anacha
Mara sijisiki kufanya chochote
Mara nikifua naumwa
Nakisugue miguu sifikii
Mara we mbishi
Nipikie nkipika Mimi sitamani kula
Kila saa kunywa fruto
Unashangaa mkeo anampenda mdogo wako tu we hakutaki 🤣🤣🤣Wengine na wakikuchukia wamekuchukia eti
ni kwel japo mengine ni automatic ila wanawake wa mjini wanazid'nilisikia hyo mwingine sa nane za usiku anamwamsha mmewe akamtaftie barafu mtaa wa pili na mwanaume na uboya wake anaamka anaendaHayo yote ni maigizo ya huko huko mjini, wamekuwa wakifundishana na kupania... sikuwahi kuyasikia vijijini!
ni kwel japo mengine ni automatic ila wanawake wa mjini wanazid'nilisikia hyo mwingine sa nane za usiku anamwamsha mmewe akamtaftie barafu mtaa wa pili na mwanaume na uboya wake anaamka anaenda
Mikoani mwanamke ana hadi mimba ya miezi 7 na hana gubu wala nini anafanya biashara zake vzr tu
Wengi wao ni makusudi.. mbona wadada wa kazi wakipata ujauzito hii hali huwa hawana. Tena wanaendelea kuchapa kazi. Nyie wa siku hizi mnanyeka sana.😀Ukiachilia mbali na ujauzito kuwapelekesha kuna baadhi ya wanawake huwa wanafanya makusudi tu! Na hii inategemea na namna waume zao wanavyoishi nao pindi wakiwa siyo wajawazito!
wanichekesha weyeNi maigizo tu, cha ajabu uzi huu wanaochangia wengi ni wanaume... wanawake wahusika wachache wamechangia hapo juu wasome vizuri utaelewa.
Vijijini ni kula udongo tu na shamba wanaenda kama kawa, mujini full Isidingo!
Wengi wao ni makusudi.. mbona wadada wa kazi wakipata ujauzito hii hali huwa hawana. Tena wanaendelea kuchapa kazi. Nyie wa siku hizi mnanyeka sana.[emoji3]
Hii inategemea na namna Waume zao wanavoishi nao pindi wakiwa siyo wajawazito
[emoji23][emoji23]Kuishi na mke akiwa mjamzito Ni kazi sana
Wakwangu kila siku mara naumwa hiki mara kile
Mara na hamu na nyama choma ukileta anadonoa anacha
Mara sijisiki kufanya chochote
Mara nikifua naumwa
Nakisugue miguu sifikii
Mara we mbishi
Nipikie nkipika Mimi sitamani kula
Kila saa kunywa fruto
Igiza wewe kama ni rahisini kwel japo mengine ni automatic ila wanawake wa mjini wanazid'nilisikia hyo mwingine sa nane za usiku anamwamsha mmewe akamtaftie barafu mtaa wa pili na mwanaume na uboya wake anaamka anaenda