Kwanini Mkuu wa Majeshi hapewi heshima?

Kwanini Mkuu wa Majeshi hapewi heshima?

Zipo kombati za aina nyingi mkuu hii nikutokana na eneo mnalokwenda so kama ni jangwani mtavaa kombati zinazolandana na eneo huwa tunaziita MSADAMU
nikweli hata mimi nimetoa mfano tuu wa vazi la vita ya jangwani, ila vazi hutegemea na mazingira ya vita (bado tupo pamoja)
 
Au niuelewa wangu mdogo au upo tofauti na ukweli husika?

Kuna huu utaratibu wa viongozi wa kiserikali hasa hapa dar kutembea kwa masafara wa magari kadhaa ukiongozwa na pikipiki.
baadhi ni kama waziri mkuu .spika wa bunge MKUU wa mkoa na mkuu wa polisi Mara NYINGI wanapo kuwa wanapita huwa wanasafishiwa njia kabisa.

Lakini why kwa MKUU wamajeshi huwa tofauti??. Inamaaana kweli kiutendaji hawa wapo juu yake??.

Hivi nji ikipinduliwa nani anashika madaraka ya kuiongoza kama sio MKUU wa majeshi..ss kwanini hapewi heshima ??? au ndio utaratibu??.
wiki iliyopita tulinasa nae kwenye foleni bondeni alikuwa akielekea njia ya TEGETA alikuwa na msafara wa gari 1 tu ya MP ambayo ilikuwa mbele ilibidi washuke nakuanza kupangua gari ili MKUU aweze kupita.
Kwanza naomba nikukosoe ninavyojua mimi mwanajeshi haitaji ulinzi au msafara maana yeye ndo mkuu wa ulinzi. Na katika msafara wake wa kwenda ofisini mkuu wa majeshi gari lake lenye nyota nne linakuwa mbele na La MP linakuwa nyuma mpaka atakapofika ofisini mbele ya gari lake panakuwa na pikipiki ya traffic ya kumuepusha na foleni. Kama nimekosea naomba nikosolewe.
 
Cha pili kaka inaelekea haujaenda jeshini hawataki mtu anaefanya kazi kwa ajili ya kupewa sifa. Je aiku hizo sifa zisipokuwepo ? Nchi si itapinduliwa wanaangalia nidhamu binafsi na nidhamu kwa Amiri Mkuu
 
...kama ndio ivo kwa nn kwenye sherehe za uhuru CDF ndio anakuwa benet na Prezdaa na siyo IGP?
 
Nimesema CCM kama chama sio mtu.Kumbuka kuna Jamaa hapo juu alisema kuhusu wanajeshi ambao wana nguvu kuliko askari elfu wa CCM.Sasa nikataka kujua kama kuna Jeshi tanzania hii ambalo lina uwezo wa kukataa amri ya CCM.NIPO TAYARI KUREKEBISHWA.
Kwani ccm ni MTU!?
 
ukisoma kifungu cha 56(4) cha sheria ya ulinzi wa taifa Tz, kinawataka jeshi la ulinzi, kutoa taarifa ya mazoezi yao kwa wakazi wa maeneo husika kama mazoezi hayo yataingia kwenye makazi ya watu, basi na mtu atakaye kaidi au kuingilia mafunzo yao atakamatwa na askari wa jeshi la polisi au ofisa wa jeshi la ulinzi au na askari yeyote wa jeshi la ulinzi kwa amri kutoka kwa ofisa wa jeshi la ulinzi, natena mafunzo hayo yanapaswa yawe na kibali cha maandishi kutoka kwa waziri wa ulinzi s.56(1), na pia kwa waziri wa mambo ya ndani kwa mujibu wa penal code, sasa ni mara ngapi jeshi la kudumu au jeshi la ulinzi hufanya mafunzo karibu na makazi ya watu bila kutoa taarifa kwa wakazi? na tena jeshi hili la kudumu la ulinzi huwa hawatoi hata taarifa ndani ya jeshi la polisi chombo ambacho kimepewa mamlaka ya kuhakikisha watu hawaingilii mafunzo yao, kwa mujibu wa kifungu nilicho kitaja. nilazima dhana ya kudharauliana katika majeshi yetu yote iondolewe kila askari amuheshimu mwenzie kwa mujibu wa majukumu aliyo pewa na nnchi.

na hata kama ni kutafuta kwamba chombo kipi kina mamlaka juu ya chenzie bado jeshi la polisi litakuwa namba moja kimamlaka kwani ndiyo chombo pekee cha kusimamia sheria zote za nchi, ukisoma sheria ya usalama wa taifa letu utaona kwamba TISS hawana uwezo wa ku enforce sheria bali kuchunguza tuu lkn jeshi la polisi linachuguza na ku enforce, je ? nani zaidi kimamlaka ?

ukisoma kifungu cha 77(1) cha sheria ya ulinzi wa taifa, askari wa jeshi la polisi (police constable) ambaye kimsingi ni police officer anamamlaka ya kumkamata askari wa jeshi la ulinzi ambaye anasadikika kuwa ni mtoro katika jeshi hilo, au ni mtoro kabisa, kisha kumfikisha mahakamani au kumpeleka kwenye kambi yao, sasa mpaka hapo nani ni kiranja wa mwenzie kati ya jeshi la polisi na jeshi la ulinzi ? ingawa nao askari wa jeshi la ulinzi huweza kuwa na mamlaka ya askari wa jeshi la polisi pale watakapokuwa wanasaidia mamlaka za kiraia (yaani ku enforce civilian laws)kwa Kifungu cha 22 cha sheria ya ulinzi wa taifa Tz

ukisoma C.40 ya kanuni ya adhabu ndani ya jeshi la ulinzi (CODE OF SERVICE DISCIPLINE) inatamka kuwa kitendo cha askari yeyote yule wa jeshi la ulinzi kuzuia askari mwenzao au ofisa wao asikamatwe na askari polisi, wa jeshi la polisi ni kosa tena lina stahili adhabu ya miaka isiyopungua miwili, hii ni sheria ya jeshi la ulinzi lenyewe, swali ni kwamba ni mara ngapi askari wa jeshi la ulinzi hugoma kukamatwa na askari wa jeshi la polisi ? kwa kisingizio kuwa wao hawa wezi kamatwa na polisi ? na kwa mujibu wa kifungu hiki nani ni zaidi ya mwenzie ? any way TANZANIA POLICE FORCE IS THE ORIGIN OF MILITARY CIVILIZATION IN TANZANIA, DRAW ITS HISTORY FROM THE GERMANS IN COLONIAL PERIODS , FOLLOWED BY THE NATIONAL SERVICE, UKIACHANA NA KINGS AFRICAN RIFLE YA MWINGEREZA AMBAMO JESHI LA ULINZI HUPATA CHANZO CHA HISTORIA YAKE, NA TENA HATA VIONGOZI WA KWANZA WA JKT WALIKUWA NI POLICE, 'majeshi yote yanamajukumu ya ulinzi wa taifa letu na kuhakikisha usalama, ni lazima askari (wanajeshi) wote wa vyombo vyote muheshimiane na kuthaminiana.

NAHATA KAMA NI MFUMO WA VYEO VYA KIJESHI AMBAO ASKARI WA JESHI LA ULINZI HUTAMBIA SANAAAAAA, BADO WANAPASWA KUKUMBUKA KUWA MKUU WA KWANZA WA JESHI LA POLICE TANZANIA ALIKUWA NA CHEO CHA "MAJOR" ALIITWA "MAJOR DAVIS " alikuja Tanganyika akitokea South Africa (hiki kilikuwa kipindi ambacho tanganyika ilikuwa chini ya uangalizi wa muingereza), BAADA YA HAPO COMMISSIONER ELANGWA SHAHIDI AKAWA MKUU WA KWANZA WA POLICE KWA WAZAWA, NA BAADAYE TULIPO UNGANA NA ZANZIBAR ELANGWA SHAHIDI AKAWA "IGP" WA KWANZA WA POLICE TANZANIA
Umejitahidi sana kuonesha ukuu wa police kwa jwtz, safi sana maana polisi kwa sifa hukawii kusema IGP NI MKUU WA CDF
 
Mkuu wa majeshi kila anapokuwa kuna msafara ...gari yake Ina Nyota Nne ...na gari Moja au Mbili nyuma Zenye namba private ...uwepo wa kimuli muli hutegemea Hali ...especially kwa Mkuu tulie naye Hana Makuu na hutumia sweepers tu pale anapokuwa na uharaka ...Zaidi ukiwa nyuma yake hata bila sweeper traffic wanakuwa wamepewa signal na utaona wanaita Magari ya upande wake .....anapita
Hata Mkuu wa TISS naye kwa wanaojuwa wanaweza ku spot msafara wake wa Magari meusi yenye private number ...hadi UWE unajuwa Ndio utaweza ku spot ..entourage yake .

Mkuu wa Majeshi nafasi yake ni namba mbili Baada ya Rais ....yeye Ana ripoti Moja kwa Moja kwa Rais ...sio kwa waziri ,waziri Mkuu au Makamu wa Rais ...ambao anawatii tu..., Ana access na Rais 24/7 ....hata usiku akiwa amelala Anao uwezo wa kuagiza aamswe ili waongee au amuone ...ikitokea hatari yeyote ya ulinzi na Usalama au maafa ..yeye Ndio mwenye jukumu la kukusanya taarifa Za vyombo vyote na kumpelekea Rais taarifa Rasmi ..muda wowote ...wakuu wote wa vyombo Vya Usalama ( Polisi ,Usalama ,magereza ,zimamoto etc ) yeye Ndio joint chief ..au mwenyekiti wa ulinzi na Usalama ( national security council )

Kwa Nguvu kubwa alionayo ...anatakiwa kuwa humble ...ili asionekane..kuwazidi waziri wake ,waziri Mkuu na Makamu HADHARANI ....kwenye Protocal arrangement ..anawapigia saluti ..lakini behind the scene wanajuwa yeye ni nani ...na anawazidi ...Sasa akianza kutembea na misafara Marefu ....na Nchi Hii ni ya kidemokrasia..atakuwa Ana send wrong message ...
Bonge la point
 
acha kudanganya watu, wewe hujui hata maana ya mwanajeshi, soma ibara ya 147(4) ya katiba ya Tanzania 1977, mwanajeshi maana yake ni askari wa majeshi yetu yote yaani polisi,magereza,jeshi la ulinzi, na jeshi la kujenga taifa. na pia unaposema JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA maana yake ni pamoja na polisi, magereza, jeshi la kudumu, maarufu hujiita jwtz kitu ambacho si sahihi kisheria, kwani wenyewe jina lao halisi ni REGULAR FORCE, huwezi kuwa na kitu TPDF kwa kuwa tenga polisi na magereza, (UNAPOSEMA TPDF NI PAMOJA NA POLISI+MAGEREZA) nenda kasome sheria ya ulinzi wa taifa (NATIONAL DEFENCE ACT 1966) Kifungu cha 10(1)a-d , pia soma sheria ya majeshi ya akiba ya mwaka 1965 part iii, (RESERVE FORCES ACT), Pia kuna kasumba ya kutamba kwamba kombati za mabakabaka zina maanisha eti ni jeshi kamili, hii kasumba haina ukweli tena inaonesha weledi mfinyu ktk masuala ya kijeshi, nguo zile za mabakabaka ni CAMOUFLAGE HASA UTAKAPOKUA UNAPIGANA MAENEO YENYE UOTO UNAO LINGANA NA VAZI HILO, (KIJANI KIBICHI CHENYE MCHANGANYIKO), HIYO ITAKUSAIDIA USISHAMBULIWE KIRAHISI NA ADUI, lakini kwa ujinga wetu tuna amini kombati za baka ndiyo uanajeshi kamili. huwezi kwenda pigana jangwani then ukavaa kombati za bakabaka , mtapigwa mchana kweupe, kwani itakuwa ni rahisi kwa adui kuwagundua kutokana na kwamba jangwani huwa akuna uoto wa kijani kibichi, kombati sahihi kwa jangwa itategemea na nature ya jangwa lenyewe na lazima itakuwa kaki, n.k
Ngoja nivitafute hizi sheria nisome halafu nitarudi
 
Umejitahidi sana kuonesha ukuu wa police kwa jwtz, safi sana maana polisi kwa sifa hukawii kusema IGP NI MKUU WA CDF
na hata hivyo polisi ndiyo wahusika wakuu wa usalama wa ndani, na kwa mfumo wa vyombo vyetu IGP anawajibika kwa Rais moja kwa moja na si mtu mwingine yeyote yule.Sanasana polisi waache tabia ya kuchukua virushwa rushwa kutoka kwa watu maskini maana hivyo ndivyo vinavyo washushia heshima kwenye jamii. polisi mnamamlaka makubwaa sanaa ambayo hata mtu kama MKURUGENZI, MEYA, DIWANI, MBUNGE, hana hivyo msijitie aibu, nyie ni watu wakubwaa sana kwenye jamii mnao paswa kuonesha njia za unyoofu, sanasana toeni maoni kwa viongozi wenu (ingawa ni ngumu kwa mifumo yenu) iliwapiganie masilahi yenu ya halali ya boreshwe ili mfanye kazi bila hofu ya njaa ya maisha.

kwa mamlaka makubwa na adhimu waliyopewa polisi na sheria zetu, kama polisi wange kuwa wa adirifu basi kusinge kuwa na haja ya kupoteza pesa kwa kuunda vyombo vingivingi mfano Takukuru, kwani polisi wanasimamia msaafu wote wa makosa ya jinai hapa ncnini, sasa rushwa si jinai? ni kwamba polisi waache kuji tia aibu kwa virushwa rushwa, iliwaweze tekeleza majukumu yao kwa ufasaha na jamii iweze pata imani na chombo hiki.

pamoja na mamlaka makubwa waliyo pewa na sheria bado jeshi la polisi la hitaji kufumuliwa lote kwani inaonekana mifumo kandamizi na mifumo ya rushwa imeota sugu ndani ya jeshi hili, hata utoaji wa vyeo vyao bado niwa kiupendeleo na rushwarushwa tuu, Askari wa jeshi hili wamesha lalamikia hili kwa muda mrefu kwenye vyombo vya habari (MAGAZETI) . hii itasaidia kuboresha utendaji, shule yeyote huitaji viranja basi hata jamii yahitaji viranja na kimsingi 'POLISI NI VIRANJA WA JAMII', "SOCIAL ORDER DEPENDS ON YOU POLICE OFFICERS"

Elimu za vijana wanao chukuliwa kuwa wanajeshi wa jeshi hili la polisi pia ziangaliwe, serikali iboreshe mishahara kisha isimamie kikamilifu ili polisi wafanye kazi kwa uadirifu bila rushwa wala upendeleo, (mtu yeyote aliye na hatia basi akamatwe na kufikishwa mahakamani na upelelezi ukamilishwe kwa haraka na kwa usahihi ili haki itendeke)
 
Haha KWA class pengine elimunilionayo kuanzia babampaka wajomba zako wanaweza wasinikaribie huko ntakuaibisha
hata maji marefu ni prof.....
unajisifia na elimu ya TZ mkuu.....
weee kaa huko huko bongo af wenzio wanabeba box ulaya wanatokaaaa............
msomi hawez kuwa CCM ever
 
Bonge la point
Mkuu wa majeshi kila anapokuwa kuna msafara ...gari yake Ina Nyota Nne ...na gari Moja au Mbili nyuma Zenye namba private ...uwepo wa kimuli muli hutegemea Hali ...especially kwa Mkuu tulie naye Hana Makuu na hutumia sweepers tu pale anapokuwa na uharaka ...Zaidi ukiwa nyuma yake hata bila sweeper traffic wanakuwa wamepewa signal na utaona wanaita Magari ya upande wake .....anapita
Hata Mkuu wa TISS naye kwa wanaojuwa wanaweza ku spot msafara wake wa Magari meusi yenye private number ...hadi UWE unajuwa Ndio utaweza ku spot ..entourage yake .

Mkuu wa Majeshi nafasi yake ni namba mbili Baada ya Rais ....yeye Ana ripoti Moja kwa Moja kwa Rais ...sio kwa waziri ,waziri Mkuu au Makamu wa Rais ...ambao anawatii tu..., Ana access na Rais 24/7 ....hata usiku akiwa amelala Anao uwezo wa kuagiza aamswe ili waongee au amuone ...ikitokea hatari yeyote ya ulinzi na Usalama au maafa ..yeye Ndio mwenye jukumu la kukusanya taarifa Za vyombo vyote na kumpelekea Rais taarifa Rasmi ..muda wowote ...wakuu wote wa vyombo Vya Usalama ( Polisi ,Usalama ,magereza ,zimamoto etc ) yeye Ndio joint chief ..au mwenyekiti wa ulinzi na Usalama ( national security council )

Kwa Nguvu kubwa alionayo ...anatakiwa kuwa humble ...ili asionekane..kuwazidi waziri wake ,waziri Mkuu na Makamu HADHARANI ....kwenye Protocal arrangement ..anawapigia saluti ..lakini behind the scene wanajuwa yeye ni nani ...na anawazidi ...Sasa akianza kutembea na misafara Marefu ....na Nchi Hii ni ya kidemokrasia..atakuwa Ana send wrong message ...
Una uhakika na hiyo paragraph ya katikati hasa kwenye maneno yenye mstari??????????
 
Mko sahihi wakuu, lakini kitu kimoja tu ni kuwa Mkuu was UWT anariport moja kwa moja kwa raisi na siyo kwa CDF kama mlivyoelezea, na ndio maana uWT wana watu wao jeshini.

Nakubaliana na wewe mkurugenzi huwa na direct line .....lakini kimfumo CDF ndie joint chief ....wa ulinzi na usalama .......hata hawa IGP, CGP ...huwa na direct line kwa President kwenye baadhi ya mambo
Na Mara nyingi imetokea viongozi wa kisiasa ..Mawaziri wanaopelekwa pale Mambo ya Ndani au Ulinzi inatokea ambao wanakuwa hawajui mipaka wakifikiri hawa wakuu wanatakiwa kuripoti Kwao Kilapilo Kitu....na inafikia baadhi ya Mawaziri hadi wanatoa maagizo ya kufukuza kazi Askari hadharani.....wanakuwa wanavuka mipaka kwakuwa haya majeshi yana mifumo na taratibu....waziri Kama hajapendezwa na jambo inatakiwa amuambie IGP ,CGF,CGP,CGI.....
Tatizo Kama Hilo ndio lilimuondoa Shamsi wizara ya ulinzi ....na pia mambo ya Ndani ...alifikiri kwakuwa alipata kuwa Waziri Kiongozi basi anaweza kuwa arrogant kwa maafisa waandamizi....Kama uraiaani akasahau kuwa kwenye hizi taasisi waziri yupo ceremonial tu lakini boss ni Amiri Jeshi Mkuu.
 
Una uhakika na hiyo paragraph ya katikati hasa kwenye maneno yenye mstari??????????
[emoji1] [emoji1] mkuu kuna vitu humu ukisoma unabaki kucheka tu.

Na kupita tu huku umeongeza siku ya kuishi.
 
Back
Top Bottom