Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

Raia umpe nafasi ya kujadili jeshi ? Raia anajua nini kuhusu jeshi ? Kama mtu huna uelewa na kitu inakuwaje unataka nafasi ya kujadili usichokijua ? Mtu mwenye nafasi ya kujadili ni yule mwenye uelewa wa hicho kinachojadiliwa , kama huna uelewa huwezi kujadili hata kidogo
Very short-sighted mind argument. It seems that your thinking capacity is below the minimum average!

Siyo kila mtu ambaye amevaa sare (uniform) za Jeshi ni Mwanajeshi, lakini pia, siyo kila Mwanajeshi ni lazima avae uniform za Jeshi ili kujitambulisha kwa watu wengine kuhusu Uanajeshi wake. Aidha, siyo kila mtu ambaye ni Mwanajeshi kwa hapa Tanzania ni yule tu ambaye amepitia mafunzo ya kijeshi ndani ya Majeshi ya Tanzania, Usione Ukadhani!
 
Kuna komandi zingine nadhani zina limitation ya cheo cha juu, kwahiyo hata ukitaka kumpa U CDF ni lazima uanze kumpandisha vyeo zaidi ambalo litamfanya awe overqualified kwenye hiyo command na kulazimika kuamishiwa Komandi nyingine.
Kama nipo sahihi Komandi kama JKT maximum rank ni Kanali, nili observe hilo nilipo kua Jitegemee kitambo
 
Kuna komandi zingine nadhani zina limitation ya cheo cha juu, kwahiyo hata ukitaka kumpa U CDF ni lazima uanze kumpandisha vyeo zaidi ambalo litamfanya awe overqualified kwenye hiyo command na kulazimika kuamishiwa Komandi nyingine.
Kama nipo sahihi Komandi kama JKT maximum rank ni Kanali, nili observe hilo nilipo kua Jitegemee kitambo
Sio kweli Mkuu, Kamandi ya JKT mkuu ni Meja Jenerali R. Mabele. Labda kama ulikua unamaanisha Mkuu wa Kikosi ndio mara nyingi wanakuwa na cheo cha Kanali.
Lakini Kamandi zote wakuu wake wana cheo cha Meja Jenerali kasoro Kamandi ya Jeshi la Akiba nadhani ni Mkuu wake ni Brigedia
 
Sio kweli Mkuu, Kamandi ya JKT mkuu ni Meja Jenerali R. Mabele. Labda kama ulikua unamaanisha Mkuu wa Kikosi ndio mara nyingi wanakuwa na cheo cha Kanali.
Lakini Kamandi zote wakuu wake wana cheo cha Meja Jenerali kasoro Kamandi ya Jeshi la Akiba nadhani ni Mkuu wake ni Kanali
Shukrani mkuu, nilikua silijui hili
 
Sio kweli Mkuu, Kamandi ya JKT mkuu ni Meja Jenerali R. Mabele. Labda kama ulikua unamaanisha Mkuu wa Kikosi ndio mara nyingi wanakuwa na cheo cha Kanali.
Lakini Kamandi zote wakuu wake wana cheo cha Meja Jenerali kasoro Kamandi ya Jeshi la Akiba nadhani ni Mkuu wake ni Kanali
Umeelezea vizuri, safi sana
 
Habari, kwanza kabisa nitoe salam zangu za pole kwa majirani zetu Kenya kwa msiba wa CDF na wafuasi wake katika ajali ya ndege ya kivita iliyotokea tarehe 19/04/2024 wakiwa katika ziara za kikazi.

Baada ya kifo cha Mkuu wa Majeshi wao (CDF) nimetokea kuvutiwa sana na utaratibu wa majirani zetu baada ya uteuzi wa CDF mpya kuteuliwa kutoka kamandi ya majini (Navy).

Swala hili likanivutia sana nikaamua kuwafuatilia kidogo, nikagundua kumbe wao wana utaratibu wa kupokezana kwa kila kamandi kutoa CDF.

Swali langu, Je mbona huku kwetu asilimia kubwa kama si zote tunatoa Mkuu wa majeshi (CDF) kutoka Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi (MMJ) pekee?

Ina maana hizi Kamandi nyingine kama Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Majini, Kamandi ya JKT na Kamandi ya Mgambo Mkuu wa Majeshi hawezi kutokea huko?

Naomba kuwasilisha.
Hivi unatumia akili yako sawasawa au ni ya kupandikizwa!
 
Habari, kwanza kabisa nitoe salam zangu za pole kwa majirani zetu Kenya kwa msiba wa CDF na wafuasi wake katika ajali ya ndege ya kivita iliyotokea tarehe 19/04/2024 wakiwa katika ziara za kikazi.

Baada ya kifo cha Mkuu wa Majeshi wao (CDF) nimetokea kuvutiwa sana na utaratibu wa majirani zetu baada ya uteuzi wa CDF mpya kuteuliwa kutoka kamandi ya majini (Navy).

Swala hili likanivutia sana nikaamua kuwafuatilia kidogo, nikagundua kumbe wao wana utaratibu wa kupokezana kwa kila kamandi kutoa CDF.

Swali langu, Je mbona huku kwetu asilimia kubwa kama si zote tunatoa Mkuu wa majeshi (CDF) kutoka Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi (MMJ) pekee?

Ina maana hizi Kamandi nyingine kama Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Majini, Kamandi ya JKT na Kamandi ya Mgambo Mkuu wa Majeshi hawezi kutokea huko?

Naomba kuwasilisha.
Mboma - Kamandi ya Anga

Mwamunyange - Kamandi ya JKT
 
Raia umpe nafasi ya kujadili jeshi ? Raia anajua nini kuhusu jeshi ? Kama mtu huna uelewa na kitu inakuwaje unataka nafasi ya kujadili usichokijua ? Mtu mwenye nafasi ya kujadili ni yule mwenye uelewa wa hicho kinachojadiliwa , kama huna uelewa huwezi kujadili hata kidogo
Kasome Military Intelligence utajuwa Raia ni nani katika Jeshi
 
Back
Top Bottom